Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Aaah..., Me ndio maana sitaki kabisa kuanzisha mahusiano na mwanaume ninaye mzidi umri..! Nikigundua tuu nimemzidi hata mwaka mmoja, najitoa mapeeeema kwa sababu hata mie nafsi yangu hairidhiki kuwa na mwanaume niliyemzidi umri..! Ndugu yangu, usije ukamtesa dada wa watu mbeleni, kama vipi mwambie tuu ukweli ili usije ukaishi maisha ya kukosa amani..!

Tumeshaliongelea hilo. Yeye na mimi, ye anasema kwa yeye each and everything iko fine tuu. She doesn't mind
The whole task iko kwangu.
 
Tumeshaliongelea hilo. Yeye na mimi, ye anasema kwa yeye each and everything iko fine tuu. She doesn't mind
The whole task iko kwangu.

Ndio na mimi nakwambia wewe...! Kama nafsi yako haioni sawa kuwa na mwanamke anayekuzidi umri basi mwache..! Kwa nini ujilazimishe kuingia kwenye maisha ya ndoa kwa shingo upande?
 
Decapitator wewe ndio unamjua huyo mpenzio..na kama walivyosema wengine hapa inawezekana unachotafuta hapa ni justification tu but inside yourself umeshaamua nini cha kufanya. Ushauri wangu jipime wewe mwenyewe kama hiyo tofauti inatakunyima amani baadaye na kama utaona ni sawa call it a time! But anywhere you go mind you..age will remain to be just numbers..it has nothing to do with true love!!
 
Last edited by a moderator:
You can't be serious.
Kutafta chicks ni uharibifu.. Tena mkubwa.

Si ndiyo hapo mkuu maana mtu unalalamika adult kukuzidi two years only si inaonesha anataka wadogo? Ajaribu undere 18 uone joto lake!!! Naona hapa leo utafanya maamuzi sahihi ya either kuendelea na huyo wa kuzidi miaka miwili tu au umwache utafute younger!!!! Nikimpenda kiukweli hata difference ya chini ya miaka kumi nachukua tu!!!! Kitu maelewano yenu wawili tu maana hata huyo wa umri wa chini yako anaweza kukupa nyongo ukafa siku si zako.
 
Mi ni Me umri haujaenda sana
Nina mpenzi wangu ambaye tumekua nae katika mahusiano tokea tuko advance, mpaka sasa nna kazi baada ya kumaliza chuo kikuu, mpenzi wangu nae kamaliza chuo lakini vyuo tofauti ye yuko nchini mi Nafanya kazi nje ya nchi lakini maisha yangu kiujumla yako Tanzania.

Sasa hvi ameniweka kidete tuende kwa wazazi tukajitambulishe.. NAMPENDA.. lakini Kanizidi umri kwa miaka miwili. hili jambo linaniumiza sana akili.

Niliwaza kuvunja mahusiano.. lakini alikua ali react tofauti sana... Yeye nikimuuliza kuhusu future ya family na hii age difference anasema kwake haoni kama ni tatizo.
Lakini kwangu nahisi ni tatizo.. tena ambalo laweza kua hata kubwa zaidi baadae. kulingana na mazingira yangu ya kifamilia(wazazi)

Kichwa kinauma nimwacheje?... au kama kuna wazo mbadala!.. Tafadhali wanajamvi.
Nakushauri vunja kabisa hayo mahusiano, then naomba namba yake ya simu niongee naye issue flani.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
what is this???? umeshamchoka huyo dada na sasa unatafuta sababu ya kumwacha.
 
Siko hapa kutafuta hzo sababu..... no,,,, nikupima uzito wa hzo sababu na kupata mawazo mbadala
 
age is just a number,kama mnapendana ni bora mkamirishe ndoto yenu mlio ianza mlipokuwa watoto
 
Mimi nakwambia watu wanakuja juu kusema wao walioa au kuolewa na first lovers wao.

Hivi kwa nini watu hampendi kujifunza kuwa ndoa ni lazima i base kwenye love.

Wengi wameoa kwa sababu ya huruma...oooh nimemzalisha siwezi kumwacha...oooh nimepoteza muda wake....

Sasa subiri shughuli itakayofuata baada ya ndoa...ooh mke nilichaguliwa...ooh aliniganda....ooh alijipatisha mimba...hizo ndo justification za kuchiti.

Lazima ujipime kama kweli huyo ni mke unayetaka ku spend the reeeest of your life with. Ndoa ni kifungo ujue hasa kwetu sisi wakristo...usikurupuke ...kama roho inasita chapa lapa. Hata hao wanaokunanga walishakuwa na wasichana/wavulana lukuki kabla ya kuoa.

Mimi ndio maana nikiona bi harusi ni mja mzito nakuwa na mawazo kichwani...'is it love or sympathy?'


Ndio na mimi nakwambia wewe...! Kama nafsi yako haioni sawa kuwa na mwanamke anayekuzidi umri basi mwache..! Kwa nini ujilazimishe kuingia kwenye maisha ya ndoa kwa shingo upande?
 
umri c o issue km mnapendana,bt labda km kuna issue nyingine,unaoa na kwnd kuishi nae ni ww ss hao wazazi inakuwaje?kwan wao ndo wataishi na mkeo?
 
hukumpenda. Heri umuache atapata atakayempenda bila kujali umri
 
Umri sometime ni tatizo, inategemea na mwili wa mtu, mtaani kwangu kuna jamaa ana miaka 50 lakini mkewe tayari ni mzee na ukimkisia umri ni anaonekana kama yuko over 60, tusidanganayane hapa, wanawake waliowengi wanazeeka haraka after 45 of age.
 
Mi ni Me umri haujaenda sana
Lakini kwangu nahisi ni tatizo.. tena ambalo laweza kua hata kubwa zaidi baadae. kulingana na mazingira yangu ya kifamilia(wazazi)

Kichwa kinauma nimwacheje?... au kama kuna wazo mbadala!.. Tafadhali wanajamvi.

kwa kuwa wewe bado mtoto wa familia/wazazi basi bado hujakua achana na habari za kuoa/kuolewa. hizo ni shughuli za watu wazima, waliokomaa kiumri na kiakili, na wana uwezo wa kufanya maamuzi yao bila kuogopa eti watu/wazazi/ familia watasema nini. ushauri wangu wa bure acha kumpotezea muda mwenzako, mwambie ukweli kwamba hauko comfortable na umri wake mkubwa na kwamba huna uwezo wa kutoa maamuzi kuhusu maisha yako mwenyewe na hivyo hao wanaokutolea maamuzi hawataafiki, itamuuma ndio lakini itamsaidia kusonga mbele rather than now anapoteza tu muda na mtu ambaye huna future nae! I hate that kind of people ambao hawawezi kusemea nafsi zao mpaka mwingine aseme wao wanafuata, cant you be a manager of your ownselfl????!!! ghhhhhrrrr:embarassed2:
:A S embarassed::A S embarassed:
 
Umri sometime ni tatizo, inategemea na mwili wa mtu, mtaani kwangu kuna jamaa ana miaka 50 lakini mkewe tayari ni mzee na ukimkisia umri ni anaonekana kama yuko over 60, tusidanganayane hapa, wanawake waliowengi wanazeeka haraka after 45 of age.

What's your point mkuu, kwamba she aint fit for him? na kwamba ni afadhali aachane nae kwa kuwa wanawake wanazeeka haraka? Na umetoa mfano wa mtaani kwako, ila ungetuypa na background ya maisha yao ingekuwa poa, maana najua hali ya maisha inasabababisha hilo, so usitake kugeneralize.

Mi ni Me umri haujaenda sana
Nina mpenzi wangu ambaye tumekua nae katika mahusiano tokea tuko advance, mpaka sasa nna kazi baada ya kumaliza chuo kikuu, mpenzi wangu nae kamaliza chuo lakini vyuo tofauti ye yuko nchini mi Nafanya kazi nje ya nchi lakini maisha yangu kiujumla yako Tanzania.

Sasa hvi ameniweka kidete tuende kwa wazazi tukajitambulishe.. NAMPENDA.. lakini Kanizidi umri kwa miaka miwili. hili jambo linaniumiza sana akili.

Niliwaza kuvunja mahusiano.. lakini alikua ali react tofauti sana... Yeye nikimuuliza kuhusu future ya family na hii age difference anasema kwake haoni kama ni tatizo.
Lakini kwangu nahisi ni tatizo.. tena ambalo laweza kua hata kubwa zaidi baadae. kulingana na mazingira yangu ya kifamilia(wazazi)

Kichwa kinauma nimwacheje?... au kama kuna wazo mbadala!.. Tafadhali wanajamvi.

Okay mkuu, let us get back to the drawing board,

1. Mmekuwa pamoja tokea advance (2 years), na sasa umemaliza chuo kikuu (3 years) unafanya kazi. tuseme that is 5 years of being together.

2. Amekuwekea kidete mwende kwa wazazi. (of course miaka 5 sio kidogo kwa namna yoyote ile)

3. Unahisi tatizo la age difference linaweza kuwa kubwa baadae kulingana na mazingira ya familia yako, yaani wazazi. Lakini ujue anayeoa sio mzazi, na Biblicaly wewe unao na kwenda kuuanza mji wako, hutoishi na wazazi forever, but mke wako ndiye unaishi naye forever.

4. Unasema ulijipa hope ya kumuacha soon, ila sasa hali ni ngumu, kichwa kinakuuma umwacheje..
That signifies kwamba haukuwa na mpango naye, but rather 'part time'.

Kwa maelezo yote hayo niliiyasoma, naona ni kama kuna driving force behind, na si kigezo cha umri. Nina rafiki yangu amezidiwa 4 years na mchumba wake, and they are processing ndoa. Wewe miaka miwili unaona nongwa, ama hujui kwamba yuko matured enough kukulea wewe na watoto wenu.

kama naamua kutafuta teenage, hawa hawa ambao mostly wanahangaika na viblackberry na vi-iphone, then goodluck. Ila kama unataka mke mwema, ingia magotini muulize Mungu. Umri sio sababu kubwa, unaoa mtu, sio umri.

All in all, we huan beings do not know what we have until when it is gone, asipokuwepo ndio labda utaona kuwa alikuwa na uzuri wake, ambao hakuna mwenye nao, maana sijasikia ukisema kuwa ni kikojozi, kidokozi, fuska, kiruka njia, mlozi, nk.

All the best katika maamuzi yako, ila usisahau kwamba ni wewe ndiye unayeoa, sio wazazi, wala JF members. Hilo ni la kwako, pima na ufanye maamuzi sahihi brother.
 
Pengine uko kweny e wimbi la matatizo ya mpenzi kisa mmoja wenu kuw ana hela zaidi usiteke
mtafutie bank huyo mwambie akafunge anyo ndoa kula zako konaa acha kuteseka mapenzi ya pesa ayaishi mwenzangu haya
 
pesa cyo mapenzi ila kiungo cha kunogesha penzi!!
 
acheni ubahili bwanaaa, mie mshahara wangu mbona unapitia kwa acaunt ya demu wangu Kailsh.......... Japo nae ananizingua, ila asipotumia pesa yeye akatumie nani sasa >? :hatari:
 
Hahahaaaaa! NGOJA NIKOPROPOSE KWA BOT A.K.A LENDER OF LAST RESORT!!!! LOL! Longolongo Tupa Kule, tuacheni MASIKHARA! Pesa bwana ndio CATALYSIT ya mapenzi. Mambo gani ya ku do vigesti vya uchochoroni, taulo nyeusi, feni limekwama, maji yamo kwenye pipa? Mambo gani ya ku beepiana kila mkimisiana? Mambo gani ya kuumia roho kila mashosti zako wakikuonesha mizawadi waliyopewa na mipedeshee yao? Mambo gani ya kunywea bia nyumbani kwa mawazo? Mambo gani ya kushinda ndani weekend nzima, game kwa kwenda mbele coz hamuwez ku afford starehe zingine! Mambo gani ya kuwindow shop daily? HAPANAAAAAA! MY BOT I WILL LOVE YOU FOREVER, NA KIDUMU CHANGU CITY BANK!!!!! WAWEZA PITIA MAFUNZO HAYO YA KIJESHI N STILL UKAACHWA!!! HAPO NDO UNAPOAMUA KURUDISHA KADI KWA HIARI KWA SIR GOD!!! SUMU YA PANYA TARATIIIIIIBU!!!!! ILA HUKU BOT, SIKU UKIACHWA UNAHESABU MAPATO NA MATUMIZI YA MWAKA HUO WA FEDHA!!! LOL! NANI KANUNA!!!!!!
 
Back
Top Bottom