Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

kwa kwawida mapenzi ni;
1.kutoa zawadi
2.kumpendezesha umpendaye
3.kusafiri kumfuata umpendaye na mengine mengi.Sasa kwa maisha ya siku hizi kipi kati ya haya machache unaweza fanya bila kutumia pesa? Kwa ujumla wake MAPENZI NI GHALAMA:A S 465:
 
acheni ubahili bwanaaa, mie mshahara wangu mbona unapitia kwa acaunt ya demu wangu Kailsh.......... Japo nae ananizingua, ila asipotumia pesa yeye akatumie nani sasa >? :hatari:

Si unampaga Bao Moja!?
Lazima Upunguze Machungu Kwa Kitita!
 
mhm bora niende zangu kona bar...buku 40 napata raha bila kelele za shopping au zawadi
 
mhm bora niende zangu kona bar...buku 40 napata raha bila kelele za shopping au zawadi

Hahahaaaaaa! Gharama ghali! Buku 40, kwa mwaka bei gani? Alafu uwe mtu wa kutwa mara 3
 
mie sina mambo ya kutaka kummomoa demu...mie goli mbili kwa wiki mbili zanitosha so naweka kilo yangu kwa mwenzi for K. sina strss wala kuwaza kupitiwa mbavuni...am freee!!!
 
Ama kweli Pesa ina-run dunia.
Itabidi Ali kiba aandae remix!!!
 
Hii issue imenigusa mpaka nimeamua kuweka my first comment. Mimi nipo kwenye the same situation in the sense that mpenzi wangu amenizidi umri kwa miaka 2 na tunapendana na kuheshimiana kuliko hata nilivyokua na mpenzi wangu wa zamani ambaye nilimzidi ki-umri. Kama kweli unampenda kwa dhati na yeye anakupenda, issue ya age usiipe kipaumbele manake sio kwamba mnatofautiana kwa miaka 10. Unaweza kupata mtu ambaye ni much younger than you lakini asiwe na vigezo vingine. Tafakari kuhusu the real reasons kwanini unaona uachane nae.
 
Dah am facng the same situatn jaman my appearence is different wit ma age. Ko most f men wanaonitaka ni under my age nimejitahd kuwakataa bt akija mwng pia under age niko 2 dilema
 
Umri sometime ni tatizo, inategemea na mwili wa mtu, mtaani kwangu kuna jamaa ana miaka 50 lakini mkewe tayari ni mzee na ukimkisia umri ni anaonekana kama yuko over 60, tusidanganayane hapa, wanawake waliowengi wanazeeka haraka after 45 of age.

ko ni vibaya kudate na under age?
 
Dah am facng the same situatn jaman my appearence is different wit ma age. Ko most f men wanaonitaka ni under my age nimejitahd kuwakataa bt akija mwng pia under age niko 2 dilema
Mbona hata uandishi wako unafanana nao hao mu under age? kwahiyo ni perfect kwako.
 
lazima ufarijike unapoan mpo weng katk situatn kama hzo

Hahahahah!
Yaani Mtu Una Umaskini Ila Unafurah Kuona UMaskini Si Wa Pekeyako,
Badaya Ya Kutafuta Mbinu Za kujifariji Uonapo Matajiri Wenzako Wanaongezeka!?
 
Dah am facng the same situatn jaman my appearence is different wit ma age. Ko most f men wanaonitaka ni under my age nimejitahd kuwakataa bt akija mwng pia under age niko 2 dilema

Wewe mwenyewe una mwandiko wa ki form two B ......acha tu hao viserengeti wakufuate
 
Mbona hata uandishi wako unafanana nao hao mu under age? kwahiyo ni perfect kwako.

u define sm 1 throu maandisha hapana bwna na ukidate na hao under age ndo kama hv cku akigundua umri nao ni kigezo ndo 2naanza kutemwa bt anapokutaka hawaoni kama age yawez kuwa problm
 
kwan whats wrong with the way i wrote sihtaj ushaur wa mwandiko
Hao viserengeti boys ndio mnaelewana hata muandiko, mimi kwa muandiko huo tu you're total out of my favourite.

wanawake wenye miandiko hii ndio wale muda wote simu haziwatoki mkononi hata kama mmekaa sehemu mnatakiwa kushare maongezi na wengine.
 
Naona ni uoga wako tu (kwa kuogopa wazazi na kuogopa hisia zako)...........Hebu fikria mlivyokuwa wapenzi nani alikuwa anawa-judge kwamba unazidiwa umri?.............!

Mbona ndoa ina mchanganyiko wa vitu vingi sana ukiacha umri na huwezi kupata vyote 100% na hamuwezi kuwa compatible 100%.

Chukulia kwamba huyo kwako ni mwanamke anayekufaa kwenye ndoa ukiacha kasoro 1 tu ya umri (ambayo haijasababishwa na yeye) .

Tatizo lako ni kwamba umeshaweka kwenye mind kwamba hutoishi naye kwa hiyo unatafuta justification (pengine bila kujua).........Hebu think positively about her utaona umri sio ishu kubwa

positive thoughts to the negative minded,thanks alot mkuu.
 
what is this???? umeshamchoka huyo dada na sasa unatafuta sababu ya kumwacha.

Nakuunga mkono. Hivi anataka wanaJF wawe his guilty conscience, usitoe sababu za kumdump to feel better. Its not age that matters in relationship its the people.

WanaJF pia tunaishi katika jamii, never waste your time to judge couples, eti the woman or man is this or that. If they are not complaining its NOYB.
 
Back
Top Bottom