Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Mi ni Me umri haujaenda sana
Nina mpenzi wangu ambaye tumekua nae katika mahusiano tokea tuko advance, mpaka sasa nna kazi baada ya kumaliza chuo kikuu, mpenzi wangu nae kamaliza chuo lakini vyuo tofauti ye yuko nchini mi Nafanya kazi nje ya nchi lakini maisha yangu kiujumla yako Tanzania.

Sasa hvi ameniweka kidete tuende kwa wazazi tukajitambulishe.. NAMPENDA.. lakini Kanizidi umri kwa miaka miwili. hili jambo linaniumiza sana akili.

Niliwaza kuvunja mahusiano.. lakini alikua ali react tofauti sana... Yeye nikimuuliza kuhusu future ya family na hii age difference anasema kwake haoni kama ni tatizo.
Lakini kwangu nahisi ni tatizo.. tena ambalo laweza kua hata kubwa zaidi baadae. kulingana na mazingira yangu ya kifamilia(wazazi)

Kichwa kinauma nimwacheje?... au kama kuna wazo mbadala!.. Tafadhali wanajamvi.
 
Mi ni Me umri haujaenda sana
Nina mpenzi wangu ambaye tumekua nae katika mahusiano tokea tuko advance, mpaka sasa nna kazi baada ya kumaliza chuo kikuu, mpenzi wangu nae kamaliza chuo lakini vyuo tofauti ye yuko nchini mi Nafanya kazi nje ya nchi lakini maisha yangu kiujumla yako Tanzania.

Sasa hvi ameniweka kidete tuende kwa wazazi tukajitambulishe.. NAMPENDA.. lakini Kanizidi umri kwa miaka miwili. hili jambo linaniumiza sana akili.

Niliwaza kuvunja mahusiano.. lakini alikua ali react tofauti sana... Yeye nikimuuliza kuhusu future ya family na hii age difference anasema kwake haoni kama ni tatizo.
Lakini kwangu nahisi ni tatizo.. tena ambalo laweza kua hata kubwa zaidi baadae. kulingana na mazingira yangu ya kifamilia(wazazi)

Kichwa kinauma nimwacheje?... au kama kuna wazo mbadala!.. Tafadhali wanajamvi.

You can't be serious.
 
Fikiria future yako,familia mtayoitengeneza,ongea na parents zako kwa ushauri,kaa mzungmze na mueleweshe kuhusu age yake etc
 
Nina dingi mkubwa wangu mke wake alimemzidi miaka 2,kile kipindi anamtambulisha kwa babu ikabidi wadanganye umri,leo wako zaidi ya miaka 40 kwenye ndoa..kama kuna mapenz ya kweli kila kitu kinawezekana.
 
umesema tatizo wewe ni kuwa amekuzidi umri....sasa hujaeleza y wewe kuzidiwa umri ni tatizo kwako. ebu nipe reasons zako?
 
umesema tatizo wewe ni kuwa amekuzidi umri....sasa hujaeleza y wewe kuzidiwa umri ni tatizo kwako. ebu nipe reasons zako?

Hivi katika maisha haya ya saa hizi.. Inaonesha picha ghan pale mama anapomzidi baba umri katika familia?
Hapa najaribu kuwaza maisha ya baadae..sii ya sasa. Tuko pamoja saa hizi.
 
sasa wewe tangia uko nae advance,chuo mpaka sasa mna kazi ulikuwa hujui umri wake? hukuona hiyo tofauti ya umri?? na unadai unampenda....NAHISI HUJUI ULITAKALO!!
 
sasa wewe tangia uko nae advance,chuo mpaka sasa mna kazi ulikuwa hujui umri wake? hukuona hiyo tofauti ya umri?? na unadai unampenda....NAHISI HUJUI ULITAKALO!!

Nlitakalo nalijua vzuri.
Actually that is the mistake i'm talking about.
Leaving her as earlier as possible.
With university life sikuhisi ugumu wake saana. Nlijipa moyo wa kumuacha baadae.
Now baadae has just come. Tatizo ni kubwa than how i thought ingeweza kua.

Obvious mi ndie nlieboronga. Solution ya tatizo ndio inahitajika belinda.
 
Unahisi tofauti ya umri italeta matatizo gani huko mbeleni..........Kwa mtazamo wako lakini
 
Unahisi tofauti ya umri italeta matatizo gani huko mbeleni..........Kwa mtazamo wako lakini
Nahsi yapo mengi tuu kwa mtazamo wa KAWAIDA.
Mazingira ya wazazi kwanza ni tatizo hata kabla mi me personally ninavyo feel about it.
"No longer such a thing ya kudanganya umri. Kwa hyo huo mwonekano utakuepo wazi tuu.
Kwa maisha yetu ya kiafrika kuna vitu ambavyo vnatubana kimazingira na inabidi twendane navyo tuu.
 
Nahsi yapo mengi tuu kwa mtazamo wa KAWAIDA.
Mazingira ya wazazi kwanza ni tatizo hata kabla mi me personally ninavyo feel about it.
"No longer such a thing ya kudanganya umri. Kwa hyo huo mwonekano utakuepo wazi tuu.
Kwa maisha yetu ya kiafrika kuna vitu ambavyo vnatubana kimazingira na inabidi twendane navyo tuu.

Naona ni uoga wako tu (kwa kuogopa wazazi na kuogopa hisia zako)...........Hebu fikria mlivyokuwa wapenzi nani alikuwa anawa-judge kwamba unazidiwa umri?.............!

Mbona ndoa ina mchanganyiko wa vitu vingi sana ukiacha umri na huwezi kupata vyote 100% na hamuwezi kuwa compatible 100%.

Chukulia kwamba huyo kwako ni mwanamke anayekufaa kwenye ndoa ukiacha kasoro 1 tu ya umri (ambayo haijasababishwa na yeye) .

Tatizo lako ni kwamba umeshaweka kwenye mind kwamba hutoishi naye kwa hiyo unatafuta justification (pengine bila kujua).........Hebu think positively about her utaona umri sio ishu kubwa
 
Mi ni Me umri haujaenda sana
Nina mpenzi wangu ambaye tumekua nae katika mahusiano tokea tuko advance, mpaka sasa nna kazi baada ya kumaliza chuo kikuu, mpenzi wangu nae kamaliza chuo lakini vyuo tofauti ye yuko nchini mi Nafanya kazi nje ya nchi lakini maisha yangu kiujumla yako Tanzania.

Sasa hvi ameniweka kidete tuende kwa wazazi tukajitambulishe.. NAMPENDA.. lakini Kanizidi umri kwa miaka miwili. hili jambo linaniumiza sana akili.

Niliwaza kuvunja mahusiano.. lakini alikua ali react tofauti sana... Yeye nikimuuliza kuhusu future ya family na hii age difference anasema kwake haoni kama ni tatizo.
Lakini kwangu nahisi ni tatizo.. tena ambalo laweza kua hata kubwa zaidi baadae. kulingana na mazingira yangu ya kifamilia(wazazi)

Kichwa kinauma nimwacheje?... au kama kuna wazo mbadala!.. Tafadhali wanajamvi.


If being with or without her is dependent on her age, or that such a trivial thing is even a matter of concern to you, then perhaps the relationship is not worth it in the first place.
 
Tatizo lako nimehsalijua bro...penzi liliisha zamani...kama lilikuwepo at first place.

Ushauri wangu ni "follow your heart" bora umuumize sasa hivi kwa kumwambia ukweli kuliko kuoa in the name of huruma badala ya love. Wewe wa kwanza kuacha bana...tena hata home hajatambulishwa...chapa lapa.


Nlitakalo nalijua vzuri.
Actually that is the mistake i'm talking about.
Leaving her as earlier as possible.
With university life sikuhisi ugumu wake saana. Nlijipa moyo wa kumuacha baadae.
Now baadae has just come. Tatizo ni kubwa than how i thought ingeweza kua.

Obvious mi ndie nlieboronga. Solution ya tatizo ndio inahitajika belinda.
 
Tatizo lako nimehsalijua bro...penzi liliisha zamani...kama lilikuwepo at first place.

Ushauri wangu ni "follow your heart" bora umuumize sasa hivi kwa kumwambia ukweli kuliko kuoa in the name of huruma badala ya love. Wewe wa kwanza kuacha bana...tena hata home hajatambulishwa...chapa lapa.

@plotozoom bado yupo ndani ya box anajidaidi kumuelmish jamaa wakati yeye jamaa ashamtema dada wawatu long time, nyumba kubwa upo correat big up.
Tatizo dada zangu hawa wanazani mwanaume akikuambia anakupenda ndo anataka kukuowa hyo ni kama salam ktk vinywa vya wanaume mbele ya wanawake.
 
Last edited by a moderator:
Yaani toka mnadate yeye alikuwa anaongezeka umri while umesimama?
Unachokitafuta utakipata! Hivi ukipeleka mchumba home unaonyesha birth certificate? Does she look 15?
 
Hivi katika maisha haya ya saa hizi.. Inaonesha picha ghan pale mama anapomzidi baba umri katika familia?
Hapa najaribu kuwaza maisha ya baadae..sii ya sasa. Tuko pamoja saa hizi.

hivi kwani mdogo wangu wewe unadhani kama kakuzidi miaka hiyo miwili basi atakuwa dada kwako wewe uwe mdogo wake?

unasumbuliwa na tatizo la kutojiamini as a man na unahofu sana na mamlaka utakayokuwa nayo juu ya familia yako ila mie naweza kusema wanaume wengi wako kama wewe hata wale ambao wanaumri kuzidi wake zao na sion tabu kuwaita insecure men ingawa kwenye hili kundi hawaingii kwenye sifa zote.

mambo ya msingi ya kuangalia unapotaka kuoa ni haya, heshima, upendo wa dhati, uaminifu, kujali, matumizi bora ya kipato, tabia zisizo vumilika kama ulevi na umbea,uwajibikaji na ucha Mungu. mambo mengine yote hayana maana kwa wakati huo.

uzuri hudanganya na upendeleo ni ubatili ndio maana sikuviweka hapo juu.

sasa jiangalie kama sifa hizo zipo kwake basi na wewe ondoa sifa za woga, kutokujiamini, na kutokua na msimamo ili maisha yasonge mbele. nakushauri kiukweli if still unaona bado huwez kujiamin kama mwanaume na bado uko insecure in terms of kutawaliwa basi better not marry the woman mtatesana tu labda hapa babu Dark City na Asprin watakuelezea vizuri zaid.
 
Naona ni uoga wako tu (kwa kuogopa wazazi na kuogopa hisia zako)...........Hebu fikria mlivyokuwa wapenzi nani alikuwa anawa-judge kwamba unazidiwa umri?.............!

Mbona ndoa ina mchanganyiko wa vitu vingi sana ukiacha umri na huwezi kupata vyote 100% na hamuwezi kuwa compatible 100%.

Chukulia kwamba huyo kwako ni mwanamke anayekufaa kwenye ndoa ukiacha kasoro 1 tu ya umri (ambayo haijasababishwa na yeye) .

Tatizo lako ni kwamba umeshaweka kwenye mind kwamba hutoishi naye kwa hiyo unatafuta justification (pengine bila kujua)........Hebu think positively about him utaona umri sio ishu kubwa

hapo kwenye blue wmwl wako wa kiingereza snowhite atakuekea kosa shauri yako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom