Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Naungana na comment ya gfsonwin... Kutojiamini ndio problem kwako. Unahisi atakutawala? Au unaogopa marafiki zako watasema una sugamamy?..unaeoa ni wewe au hao ndugu na marafiki?? Isijekuwa umeshaona pengine sasa hapa unatafuta tu mtu wa kukutia nguvu ili ummwage yule vizuri..... Hebu kaa na ulinganishe kat ya mazur mliyowah kufanya pamoja na ukayakubali na hiyo shida ya umri unayoiona..halafu discuss na roho yako!
 
Last edited by a moderator:
Age is nothing but numbers. Tatizo lako bwana mdogo inanekana ni la kufikirika zaidi kuliko kuwa halisi na naweza kusema umelitengeneza wewe mwenyewe na kwa hiyo unaweza kulitatua wewe mwenyewe kwa kuwa na msimamo tu. Suala la wazazi inaonekana linakusumbua, kwani huyo mke ni wa wazazi au ni wa kwako, na je, unaoa ili kuwafurahisha wazazi au unatafuta rafiki wa karibu ambaye mtashirikina mambo yote katika maisha? Inaonekana kama unampenda huyo dada ila tatizo hujiamini. Jambo la muhimu fanya uamuzi tu unaouona unakufaa wewe ili kuepuka matatizo ambayo yanaweza kutokea huko baadae kutokana na kutokuwa na msimamo kwako
 
Kichwa kinauma nimwacheje?... au kama kuna wazo mbadala!.. Tafadhali wanajamvi.

Hivi katika maisha haya ya saa hizi.. Inaonesha picha ghan pale mama anapomzidi baba umri katika familia?QUOTE]

Nlitakalo nalijua vzuri.
Actually that is the mistake i'm talking about.
Leaving her as earlier as possible.

Nahsi yapo mengi tuu kwa mtazamo wa KAWAIDA.
Mazingira ya wazazi kwanza ni tatizo hata kabla mi me personally ninavyo feel about it

Ukiangalia mtazamo wako kwa hizo comments hapo juu...tayari umeshaamua kumuacha...ila una 'guilty conscious' ambayo inakusumbua unakuja hapa ili upate support...nobody at JF will support such a stupid excuse to leave someone you have been with for years!

Kama umeamua kumuacha muache tu...kwani sasa unampotezea 'something very precious..that she doesn't have'....TIME!
 
Tatizo lako nimehsalijua bro...penzi liliisha zamani...kama lilikuwepo at first place.

Ushauri wangu ni "follow your heart" bora umuumize sasa hivi kwa kumwambia ukweli kuliko kuoa in the name of huruma badala ya love. Wewe wa kwanza kuacha bana...tena hata home hajatambulishwa...chapa lapa.

penzi halikuisha zamani.. Lipo hata sasa hivi.. Tatizo ndilo hilo.. Ila linapungua kulingana na hayo mambo ambayo yapo ahead of us.
 
Naungana na comment ya gfsonwin... Kutojiamini ndio problem kwako. Unahisi atakutawala? Au unaogopa marafiki zako watasema una sugamamy?..unaeoa ni wewe au hao ndugu na marafiki?? Isijekuwa umeshaona pengine sasa hapa unatafuta tu mtu wa kukutia nguvu ili ummwage yule vizuri..... Hebu kaa na ulinganishe kat ya mazur mliyowah kufanya pamoja na ukayakubali na hiyo shida ya umri unayoiona..halafu discuss na roho yako!

I'm not here for the justification of what we so call wrong. Nope...
We are still dating. Yap...
Niko hapa kujua which is likely to be the right path to take... Kwa sababu kuna kitu kinasugua kichwani..
Kupanga kumuacha doesn't mean nishamuacha no hapana..
Nahitaji kujua usahihi wa maamuzi ntakayo chukua mda mfupi ujao.. Either marry or break up..
 
Last edited by a moderator:
I'm not here for the justification of what we so call wrong. Nope...
We are still dating. Yap...
Niko hapa kujua which is likely to be the right path to take... Kwa sababu kuna kitu kinasugua kichwani..
Kupanga kumuacha doesn't mean nishamuacha no hapana..
Nahitaji kujua usahihi wa maamuzi ntakayo chukua mda mfupi ujao.. Either marry or break up..

sikiliza moyo wako......nini bana kukwazana.......kaa nae umwambie ukweli.....rohoni kama haikuingii usijilazimishe.....tafuta unayemtaka.......simple.....
 
Nlitakalo nalijua vzuri.
Actually that is the mistake i'm talking about.
Leaving her as earlier as possible.
With university life sikuhisi ugumu wake saana. Nlijipa moyo wa kumuacha baadae.
Now baadae has just come. Tatizo ni kubwa than how i thought ingeweza kua.

Obvious mi ndie nlieboronga. Solution ya tatizo ndio inahitajika belinda.

NINACHOKIONA HUMPENDI KABISA ILA YEYE ANAJIPENDEKEZA, KAMA UNAMPENDA UMRI HAUMATI KABISA..KAMA VIPI MWAMBIE TU KWAMBA HUJAJIPANGA NA HUWEZI KUOA KWA SASA LABDA MPAKA MIAKA KADHAA IJAYO +YEYE KUJIONGEZA=ATAPATA MAJIBU, JAPO UTAMWUMIZA....SHUKURU TU KWAMBA DADA ZETU HAWAJUI SHERIA, KATIKA SHERIA PROMISE OF MARRIAGE NI MKATABA NA UNAFUNGWA, KWANI UMEMPOTEZEA MUDA NA KUMCHEZEA HALI UKIJUA HUNA FUTURE NAYE.
 
Sasa kama unampenda kwa nini unaruhusu mambo ya umri bla bla bla yaingilie mahusiano yenu?Ivi watu weng labda hatujui upendo wa ukweli ni upi manake naamini kama unampenda mtu na najua naye ananipenda,i wont let him go coz to find a perfect guy ni ndoto.Kama unampenda kwa dhati how can you thnk of age?Ila kama haumfill kivile then let her go.
 
Hivi katika maisha haya ya saa hizi.. Inaonesha picha ghan pale mama anapomzidi baba umri katika familia?QUOTE]





Ukiangalia mtazamo wako kwa hizo comments hapo juu...tayari umeshaamua kumuacha...ila una 'guilty conscious' ambayo inakusumbua unakuja hapa ili upate support...nobody at JF will support such a stupid excuse to leave someone you have been with for years!

Kama umeamua kumuacha muache tu...kwani sasa unampotezea 'something very precious..that she doesn't have'....TIME!

i've got your point.. Time..i also know that
Haya mambo yote ni ya kufikirika, may be zinaweza kua stupid thoughts... Now i need some one to figure something out.. How stupid they are.doesn't count.
Ningeteneza thread ambayo inauliza tuu nimuache au nisimuache.. Nsingeweza kutimiza lengo.
Nimeji bias kimawazo already(breaking up).
But we can still do something better.so long as we'll be happy altogether.
 
hivi mkiwa mnafunga ndoa kanisani au msikitini mnaulizwa umri?????? Mpaka sasa kama mtu sijaamua kumwambia umri wangu ataujua siku nikifa wakisoma historia sasa wewe mpenzi wako haoni tabu kuhusu umri na yupo tayari wewe una wasiwasi gani? Umri sio mapenzi unaweza umpate uliyemzidi ikawa shida, we nyamaza na kama ana umbo dogo hakuna atakayeuliza umri. wewe ukiwa na wasiwasi hata wazazi wako utawapa shida. Jiamini Kijana.
 
Mleta mada, hivi huo umriri wa mchumbako umejiandika usoni au?
Kama Nyumba Kubwa alivyosema ulishamuacha siku nyingi sasa unatafutasababubu tu, watu wanaona mwanamke anamzidi mume miaka 3, 4 na maisha yanaenda leo wewe miaka 2 unahaha. Penzi lako kwake halipo tena so muache kwa amani tu usije kumuumiza dada wa watu bure!
 
@plotozoom bado yupo ndani ya box anajidaidi kumuelmish jamaa wakati yeye jamaa ashamtema dada wawatu long time, nyumba kubwa upo correat big up.
Tatizo dada zangu hawa wanazani mwanaume akikuambia anakupenda ndo anataka kukuowa hyo ni kama salam ktk vinywa vya wanaume mbele ya wanawake.

Unatoa siri za chama sio
 
Yaani mke anakuzidi miaka miwili halafu unalialia? Wenzako mke amewazidi hata miaka mitano na maisha fiti kabisa. Watu wengine sijui mnaleta mada ili iweje? Mbona unatandika hukuona hiyo miaka? Kwa kawaida wanawake ndiyo wanaona vibaya kuolewa na mume mdogo ila kwa wanaume sioni tabu kama mwanamke amekubali. Du kwa hili nakupa pole. Tafuta 15 years kabisa (chicks).
 
Mimi sioni kama umri ni tatizo mana mimi mwenyewe nimemzidi umri mume wangu tho ni miezi sita tu but hilo kwetu halikuwa tatizo sana an I can tell you we are enjoying our marriage na tusipokwambia huwezi jua kuwa mi ni mkubwa kwake! Love and age are two diffrent issues and they never collerate or affect each other! Unless kama humpendi huyo mdada but kama kweli unampenda sioni kama umri ni tatizo kwa kweli!
 
Yaani mke anakuzidi miaka miwili halafu unalialia? Wenzako mke amewazidi hata miaka mitano na maisha fiti kabisa. Watu wengine sijui mnaleta mada ili iweje? Mbona unatandika hukuona hiyo miaka? Kwa kawaida wanawake ndiyo wanaona vibaya kuolewa na mume mdogo ila kwa wanaume sioni tabu kama mwanamke amekubali. Du kwa hili nakupa pole. Tafuta 15 years kabisa (chicks).

You can't be serious.
Kutafta chicks ni uharibifu.. Tena mkubwa.
 
Aaah..., Me ndio maana sitaki kabisa kuanzisha mahusiano na mwanaume ninaye mzidi umri..! Nikigundua tuu nimemzidi hata mwaka mmoja, najitoa mapeeeema kwa sababu hata mie nafsi yangu hairidhiki kuwa na mwanaume niliyemzidi umri..! Ndugu yangu, usije ukamtesa dada wa watu mbeleni, kama vipi mwambie tuu ukweli ili usije ukaishi maisha ya kukosa amani..!
 
Back
Top Bottom