Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Haya majibu ya hii thread mimi hoi!
Naona watu wameweka itikadi pembeni..
Mleta uzi nadhani sasa atakuwa mhongaji mzuri!!
 
Tatizo tamaa na choyo ya binadamu tumeigeuza na kuiita mapenzi na imekua kama kanuni ya maumbile wakati ni kitu tofauti kabisa!!
 
mh pesa ni k2 kimoja mapenzi ni kitu kingne bt tatzo linakuja kwamba wanaume wanaamini bla pesa hawezi kumpata mwanamke aliyempenda/mtamani. so ikaonekana "NO MONEY NO HONEY" ihalalishwe
 
Khaa! mwana wa laana weye, mwanaume anachuma ili akupe weye na raha msikie wote? kha umezid dhulumat we.

Inauma ee? maskini huna jinsi. .na nyie mna raha ya pekee mana nahisi mnaenjoy sana kwenye sita kwa sita zaidi yetu lol.
 
umalaya tu hao mwanamke mwenye heshima zake hawezi kufanyiwa hivyo
 
pesa ni pesa tu inapiga pande zote ingawaje kwa wanawake pesa inawadhalilisha sana,
 
Yaani nakwambia ndio maana nikawa nasema itabidi tufanye tafiti juu ya nafasi ya pesa katika mapenzi (kiumweliukweli) kwa sababu hali inatisha kana inafikia hatua wanawake tunakubali kuchanganywa mpaka watatu wanne kisa bwana ana pesa basi ukimwi hautakaa uishe.


Tena kwa hapa Bongo mnachanganywa kweli...Huyu yanki tu (Pius Rutta) anabadilisha mademu vichupi si kawaida. Sasa jiulizeni, kama hao mabwana wanaowazungusha wana ngoma (wengi wao wanao), wangapi atawamaliza?
 
pesa ni pesa tu inapiga pande zote ingawaje kwa wanawake pesa inawadhalilisha sana,


Umemaliza yote, sina la kusema pengine labda niongezee tu kuwa njaa zao na ujinga wa kutoona mbali ndio unawazalilisha pia na kutojali afya zao.
 
huo utafiti wako KIBONGOMKUTI siukubali. C) sio kweli, hao wanawake wako very independent wala hawana shida na hivyo vipesa vyenu halafu muwalete kuwaanika hapa. sanasana nyie wanaume ndio siku hizi mnataka wanawake hao, married/divorced/ spearated/single parent in mlelewe. Acha kuficha ukweli. wanaume wahongaji siku hizi wako wapi? labda huyu aliyombwa kisimu na kuja kutangaza hapa, wakati kuna wanaoombwa kodi za nyumba na magari na wala hawaoni kama ni issue ya kutangaza.

Wana jamvi nilikuwa sehemu na rafiki zangu tukisindikiza siku, ikaja hoja ya kila mtu analalamika kuhusu mizinga kutoka kwa mabinti/dadaz/wasichana/wanawake. Tumejadilia aina za mizinga nawe ongeza kwenye list kila atakae kula tunda ajiandae Wallet kufunguka huwezi kukwepa hii mishale hapo chini labda ubake make kiukweli hatuwezi kuwa mbali na hili tunda.

Mizinga kwa rika

(a) Mabinti/dadaz - Skonga /Xcul
-Vocha
-Kununuliwa simu
-Nauli
-Pesa ya Salon.

(b) Wasichana- Higher learning/Jobless/Low income earners/Gold diggers.
-Vocha
-Simu
-Salon
-Kodi ya nyumba
-Nauli
-Usafiri
-Michango ya Send off na Harusi

(c) Wanwake - Married/Divorced/Separated/Single parent
- Vocha
-Simu
-Salon
-Kodi ya nyumba
-Ada za Shule kwa wanae au ndugu
-Pesa za vyama/vikundi
-Mtaji/Msingi wa biashara
- Nauli
-Usafiri
- Michango ya Harusi, Kitchen party
-Matibabu binafsi, ndugu au watoto

Kudadeki ukicheki hiyo list hapo juu utajua ni kwanini wanaume wanaitwa wanaume kisa kisukari nyama aka K.......
 
By Sal "huo utafiti wako KIBONGOMKUTIsiukubali. C) sio kweli, hao wanawake ni very independent wala hawana shija na hivyo vipesa vyenu halafu muwalete kuwaanika hapa. sanasana nyie wanaume ndio siku hizi mnataka wanawake hao, married/divorced. spearated/single parent in mlelewe. Acha kuficha ukwel"

Ndugu yangu nakubaliana nawe kuwa sio wanawake wote wanapenda kupiga mizinga, lakini ukweli unabaki pale pale kuwa Wanawake wengi cku hizi wanapiga mizinga ya kufa mtu in da name of love. Tumia muda wako hata kwa kuwauliza watu wako/Shosti wa karibu utakubaliana nami
 
mapenzi hamna siku hizi,yalikuwa enzi za baba zetu,mwanamke wamaana mama yako.
 
Ndugu zanguni ni kweli pesa ina mvuto wa Mapenzi mpaka ikafikia kipindi mtu ukavutiwa kimapenzi na mtu flani kwa sababu ana pesa? Ni kweli pesa ni moja ya chambo katika mapenzi?

Pesa unaweza ukaitumia kuvuta wapenzi wengi na wakakubali kutokana na pesa yako?
Ni kweli pesa ina mvuto katika penzi kuliko upendo wa moyoni?

Angalia pedeshee huyu hapa chini anavyo tumia pesa yake katika mapenzi,huyu jamaa tunaweza kusema aliwazalilisha hawa mabinti kwa kuwachezea ndimi na kila aina ya uchafu kutokana na njaa zao ya pesa walikubali huku wakikata kilaji.

Wanawake kweli mnakubali kufanyiwa hivi? Angalia warembo walivyo wazuri hao.

View attachment 4328
Pedeshee Pius Rutta 'Mzee wa Pamba' akibonyeza totoz Msasani Beach club.


View attachment 4329
Hapo Pedeshee akionekana katika malavidavi.

Kwa upande wangu naona pesa inavutia tamaa tu na wala sio Mapenzi. Mapenzi ya kweli huwa hayana sababu maalum na maranyingi hutokea tu baina ya watu wawili
 
Kwa kweli Fidel kwa ndoa ambazo hazina mapenzi ya kweli ni utata tu. Huyu alogundua pesa na alaaniwe.


Pesa ni kila kitu ndani ya ndoa iwe kwa fukara au kwa maskini wote wanahitaji pesa kudumisha amani na upendo ndani ya ndoa.
 
1. Mwanamke anatakiwa kuolewa na mume mwenye pesa, siyo keshi, ila mwenye uwezo wa kutengeneza pesa, kwani ni kweli mwanamke anahitaji pesa kuliko mwanaume. fikiria, akiwa mjamzito lazima pesa ikutoke, kujifungua pale mwananyamala, pesa inahitajika, kumlea mtoto lazima mwanaume umchangie vizuri.

2. lakini siwapendi wanawake wanao taka kuchuna tuu bila kuwa na sababu yoyote.
 
Back
Top Bottom