Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Wanawake wengi Sasa hivi hawataki hata umfanyie romance kushikana shikana hawataki ili uke utoe majimaji ya kulainisha wenyewe wanataka uingize tu umalize haja zako umpe pesa namzungumzia mpenzi kabisa na sio Malaya wa kukodisha, wakati nakumbuka zamani kipindi Ni mwanafunzi nilikuwa nikipata mwanamke namchezea Kwanza na ananipa vitu bure siku hizi Mambo yamebadilika wengi hisia zimewaisha.wamekuwa rahisi kuwapata lakini vigumu kuwa enjoy.
Ukikojoa inatoshoa hayo mengine nyongeza mkuu
 
Utaratibu unaotakiwa ni kupeana mapenzi na kuwa loyal to each other. Ila hivyo vipengele havizingatiwi wala.

Mapenzi yamekuwa conditional sikuhizi. Yanategemea sana financial status ya ME na wenyewe mnajipaishaga kuwa huwezi kumiliki pisikali bila kutoa hela. Huna hela ya kunimiliki wewe!

Ni utamaduni ambao KE mmeujenga ili kutufanya kuona kumiliki mpenzi kuna uspesho flani lazma uwe nao esp. kipato kizuri. Maslahi makubwa kwenye uhusiano sio utu na mapenzi tena bali uwezo wa kifedha ndio mnachozingatia zaidi. Hata humu jukwaani ukimwambia mwanamke ukweli unaomuuma lazma akimbilie kusema tafta hela. Utaona kwa hali ilipofikia mapenzi yamekuwa ni kama biashara sasa.
Yote hiyo ni kwa sababu wanaume mmezidi umalaya! Ninyi si ndiyo mnajisifu kuwa hamuwezi kutulia na mwanamke mmoja na kwamba unaweza kuwa na wanawake kumi lakini kati ya hao wote hakuna mwenye uhakika kuwa utamuoa maana utakayemuoa unamjua wewe mwenyewe mwanaume!

Kwahiyo mwanamke akishajua hivyo anaona kama hapo kwako unampotezea muda tu anajua tu kuwa anatumiwa na mwisho wa siku ataachwa sasa na yeye afanyaje! Anaona bora na yeye achune pesa zako ili mwisho wa siku wote muwe mmepoteza kitu yaani yeye umempotezea muda na wewe kakupotezea pesa maana ninyi wanaume hampotezewagi muda ninyi si mnaoa tu hata mkiwa wazee bwana!
 
Vitu ambavyo tunavitaka na kuvitarajia ni upendo na loyalty. Ila tunavyokutana navyo ni mizinga na bill zisizo na ukomo. Yani wanawake wa sikuhizi mnatia sana aibu sana!

Mtu hata kama ulikuwa na nia njema na mtoto wa mtu unabadili gia angani. Unachapa unasepa maana hamna ushawishi wa ku push further!
Aiseee hivi kuna mwanamke anayeweza kumpenda mtu ambaye anakwambia hawezi kuwa na mwanamke mmoja? Extrovert wewe una wanawake zaidi ya watatu na wote hao kila mmoja anajijua kuwa hayuko peke yake sasa hapo nani mwenye uhakika kuwa yeye ndiyo anapendwa kweli na una nia nzuri naye maana wote utawaaminisha unawapenda!

Siku wanaume mtakapojua kutulia na kuwekeza kwa mwanamke mmoja ndipo hata wanawake wataanza kuwa na uhakika na kuanza kuonesha mapenzi ya dhati kwenu! Hii ya kujifanya unampenda mtoto wa mtu kumbe hana mpango na wewe ni ngumu sana kwa kweli tusilaumiane tu bure hata wewe tu jiulize kati ya wanaume kupenda ngono kuliko mapenzi na wanawake kupenda fedha kuliko mapenzi ni kipi kilianza tangu zamani kati ya hivyo viwili?
 
Aiseee hivi kuna mwanamke anayeweza kumpenda mtu ambaye anakwambia hawezi kuwa na mwanamke mmoja? Extrovert wewe una wanawake zaidi ya watatu na wote hao kila mmoja anajijua kuwa hayuko peke yake sasa hapo nani mwenye uhakika kuwa yeye ndiyo anapendwa kweli na una nia nzuri naye maana wote utawaaminisha unawapenda!

Siku wanaume mtakapojua kutulia na kuwekeza kwa mwanamke mmoja ndipo hata wanawake wataanza kuwa na uhakika na kuanza kuonesha mapenzi ya dhati kwenu! Hii ya kujifanya unampenda mtoto wa mtu kumbe hana mpango na wewe ni ngumu sana kwa kweli tusilaumiane tu bure hata wewe tu jiulize kati ya wanaume kupenda ngono kuliko mapenzi na wanawake kupenda fedha kuliko mapenzi ni kipi kilianza tangu zamani kati ya hivyo viwili?
Kupenda ngono ni asili, iko toka katika mwanzo wa dunia na ndio msingi wa uumbaji. Kupenda pesa ndio jambo la mwisho au lilifouata katika vizazi hivi vya kisasa.
 
Utaratibu unaotakiwa ni kupeana mapenzi na kuwa loyal to each other. Ila hivyo vipengele havizingatiwi wala.

Mapenzi yamekuwa conditional sikuhizi. Yanategemea sana financial status ya ME na wenyewe mnajipaishaga kuwa huwezi kumiliki pisikali bila kutoa hela. Huna hela ya kunimiliki wewe!

Ni utamaduni ambao KE mmeujenga ili kutufanya kuona kumiliki mpenzi kuna uspesho flani lazma uwe nao esp. kipato kizuri. Maslahi makubwa kwenye uhusiano sio utu na mapenzi tena bali uwezo wa kifedha ndio mnachozingatia zaidi. Hata humu jukwaani ukimwambia mwanamke ukweli unaomuuma lazma akimbilie kusema tafta hela. Utaona kwa hali ilipofikia mapenzi yamekuwa ni kama biashara sasa.
SCENARIO 1

Yaaani mtu umekutana na mdada wa watu, mapenzi humuonyeshi, au kuna kauli unatoa anaanza kuona hapa hamna ndoa. Kwanini asikuombe hela yani niwe loyal kwa kidudu washa asubutuuu si bora niombe pesa tu mwisho wa siku hata ukimuacha kuna kitu kapata.

SCENARIO 2
Mkaka umemuona mdada ukampenda ila yeye hata time na wewe hanaa anaona wa kuchuna tuu, mpe pesa akupe mapenzi maana ndoa hataki kutoka kwako.

SCENARIO 3
Mkaka sasa umempata mdada ila sio pisi kali kiviiile sema mchapa kazi, anajua kutafuta pesa, na hakuombi hela. Ila wewe mkaka sasa unaamua kutafuta pisi kali yako huko nje unahongaaa na magari unampa, biashara unamfungulia na mambo kede kede. Unadhani huyu dada wa watu ambaye sio pisi kali akitoka kwenye hayo mahusiano akianza mahusiano mapya ataweka nini mbele? Penzi au pesa?
 
SCENARIO 1

Yaaani mtu umekutana na mdada wa watu, mapenzi humuonyeshi, au kuna kauli unatoa anaanza kuona hapa hamna ndoa. Kwanini asikuombe hela yani niwe loyal kwa kidudu washa asubutuuu si bora niombe pesa tu mwisho wa siku hata ukimuacha kuna kitu kapata.

SCENARIO 2
Mkaka umemuona mdada ukampenda ila yeye hata time na wewe hanaa anaona wa kuchuna tuu, mpe pesa akupe mapenzi maana ndoa hataki kutoka kwako.

SCENARIO 3
Mkaka sasa umempata mdada ila sio pisi kali kiviiile sema mchapa kazi, anajua kutafuta pesa, na hakuombi hela. Ila wewe mkaka sasa unaamua kutafuta pisi kali yako huko nje unahongaaa na magari unampa, biashara unamfungulia na mambo kede kede. Unadhani huyu dada wa watu ambaye sio pisi kali akitoka kwenye hayo mahusiano akianza mahusiano mapya ataweka nini mbele? Penzi au pesa?
Sahizi yote mashenzi tu, yote yako kibiashara hayo ma pisi kali na ma dumuzi!😂😂😂

Biashara iliopo ni kupigana mizinga tu mwanzo mwisho.
 
SCENARIO 1

Yaaani mtu umekutana na mdada wa watu, mapenzi humuonyeshi, au kuna kauli unatoa anaanza kuona hapa hamna ndoa. Kwanini asikuombe hela yani niwe loyal kwa kidudu washa asubutuuu si bora niombe pesa tu mwisho wa siku hata ukimuacha kuna kitu kapata.

SCENARIO 2
Mkaka umemuona mdada ukampenda ila yeye hata time na wewe hanaa anaona wa kuchuna tuu, mpe pesa akupe mapenzi maana ndoa hataki kutoka kwako.

SCENARIO 3
Mkaka sasa umempata mdada ila sio pisi kali kiviiile sema mchapa kazi, anajua kutafuta pesa, na hakuombi hela. Ila wewe mkaka sasa unaamua kutafuta pisi kali yako huko nje unahongaaa na magari unampa, biashara unamfungulia na mambo kede kede. Unadhani huyu dada wa watu ambaye sio pisi kali akitoka kwenye hayo mahusiano akianza mahusiano mapya ataweka nini mbele? Penzi au pesa?
Ila kosa kubwa ni ku mistreat watu, hii dhana ya kulipiza visasi kwa watu wapya ndio mnazidi kubomoa badala ya kujenge.

Regardless all your worst experiences treat your next patner in the very best way.
 
Sahizi yote mashenzi tu, yote yako kibiashara hayo ma pisi kali na ma dumuzi![emoji23][emoji23][emoji23]

Biashara iliopo ni kupigana mizinga tu mwanzo mwisho.
Si mnapenda sana ngono ndio maana. Acha mpigwe vizinga tu shubaamit zenu tena wawachune hadi mkumbuke kwenu
 
Ila kosa kubwa ni ku mistreat watu, hii dhana ya kulipiza visasi kwa watu wapya ndio mnazidi kubomoa badala ya kujenge.

Regardless all your worst experiences treat your next patner in the very best way.
Ah wewe hiyo ni kwenye maandishi tu ulimwengu hauko hivyo
 
Suala hapa siyo fikira wala msitafute wa kuwatupia lawama! Siku hizi kila jinsia inajifanya imevurugwa na mapenzi kila mtu anaingia kwenye mahusiano akiwa na maslahi yake!

Huyu anataka ngono huyu anataka fedha hakuna mwenye muda na mwenzie! Wanaume msitake kujifanya mko innocent sana kwenye mahusiano na kwamba ati wanawake tu ndiyo wako guilty kila siku!

Wanaume na wanawake wenye mapenzi ya dhati bado wapo! Lakini wengi sasa hivi hawana mapenzi siyo wanaume siyo wanawake!

Hivi wanaume kwanini huwa hampendi kukubali makosa yenu? Kwanini kila kitu lazima msingizie wanawake ndiyo chanzo kwamba ninyi hamnaga makosa kabisa au?
Nilichopenda zaidi ni fairness yako katika kujenga hoja douta.
.. naendelea kusoma maoni yako[emoji39][emoji23]
 
Hahahahah hayo ni maneno ya mke aliyechoka kupigwa matukio na mume 😂😂😂
Si mnapenda sana ngono ndio maana. Acha mpigwe vizinga tu shubaamit zenu tena wawachune hadi mkumbuke kwenu
 
Siku hizi mapenzi hakuna! Yani ni mwendo wa kuviziana tu!

Huyu anataka sex huyu anataka money! Huyu anampotezea mwenzie muda huyu anampotezea mwenzie pesa!
Agiza birianii ya kuku unitumie bili
 
Ah wewe hiyo ni kwenye maandishi tu ulimwengu hauko hivyo
Trust me huwa sina kinyongo na mtu. Utavyoingia ndivyo navyokupokea ila ukibadilika ujue kabisa kwamba na mimi ntabadilika na hutakaa ufurahie.
Kwahio ni mara mia adabu ulioanza nayo iongezeke maradufu kuliko kuleta mazoea ya kijinga maana mtu akichoka drama zako unaeza ujute.
 
Back
Top Bottom