Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kiongozi ukiona hausikilizwi basi ujue kuna mahali unakosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, so unataka nambia hata sisi tunavyotenda dhambi it means kuna sehemu MUNGU anakosea au ni viburi vyetu na utashi wa kuajiamlia tunavyotaka sababu tunajua MUNGU anatupenda na atatusamehe makosa yetu?!


Kama swala ni hilo mbona mwanaume akiamua kumuadabisha mwanamke wake tena mnamkimbilia kusema unyanyasaji wa wanawake?!
 
Suala hapa siyo fikira wala msitafute wa kuwatupia lawama! Siku hizi kila jinsia inajifanya imevurugwa na mapenzi kila mtu anaingia kwenye mahusiano akiwa na maslahi yake!

Huyu anataka ngono huyu anataka fedha hakuna mwenye muda na mwenzie! Wanaume msitake kujifanya mko innocent sana kwenye mahusiano na kwamba ati wanawake tu ndiyo wako guilty kila siku!

Wanaume na wanawake wenye mapenzi ya dhati bado wapo! Lakini wengi sasa hivi hawana mapenzi siyo wanaume siyo wanawake!

Hivi wanaume kwanini huwa hampendi kukubali makosa yenu? Kwanini kila kitu lazima msingizie wanawake ndiyo chanzo kwamba ninyi hamnaga makosa kabisa au?
Siku mtakapoanza kukubali lawama zetu ndio siku na sisi tutaanza kujitathimini matendo yetu.

By nature mwanaume hawezi kujishusha kwa mwanamke asiyejishusha..... So mkitaka huu mtanange wa mahusiano kwenda mrama uishe then ninyi ndio mjirekebishe kwanza kwa kukubali yale tunayowalaumu kila siku kisha mtaona namna sisi tutaanza kuwaelekea vema.

By the way, katika kukinzana huku muathirika mkubwa ni mwanamke sio mwanaume. Mwanaume anapata very short side effects ila mwanamke ni continuous damage..... Fanya utafiti utagundua..... Its nature....
 
Sio kweli, so unataka nambia hata sisi tunavyotenda dhambi it means kuna sehemu MUNGU anakosea au ni viburi vyetu na utashi wa kuajiamlia tunavyotaka sababu tunajua MUNGU anatupenda na atatusamehe makosa yetu?!


Kama swala ni hilo mbona mwanaume akiamua kumuadabisha mwanamke wake tena mnamkimbilia kusema unyanyasaji wa wanawake?!
Kwani Mungu humsikilizi? Basi una matatizo mazito sana.

Unamuadabishaje? Kuna namna ya kumuadabisha bila kutweza utu wake. Kama haujafanya hivyo basi ndio ujue shida ni nyie sio sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama utakumbuka maneno ya baba wa taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, kuwa miongoni mwa maadui wa kuwapiga vita usiku na mchana na kuhakikisha wametokomea basi UMASIKINI ni nambari one.

Sababu umasikini ukitapakaa kwenye jamii utatengeneza njia kwa mambo mengi sana mbaya kuingia, mfano tamaa, njaa, maradhi, uhasama, chuki, usaliti, rushwa, na kadhalika.

Hili la watoto wa kike kupenda sana pesa lina uhusiano na insecurities zitokanazo na umasikini wa hali na akili huko walipotoka yaani makwao na familia zao.

Binti aliyelelewa kwa maadili ya utu hawezi kuwa na tamaa za mali au pesa ya mwanaume ambaye si mume wake. Mabinti wa sasa wanatoka familia zenye mentality za kimasikini sana yaani baba na mama wanataka kupata maisha kupitia mtoto wao, haijalishi anatoa wapi.

Kuna vitu vingi vinawaponza watoto wa kike, mfano, kutaka kuonekana mrembo kwa mavazi ya kisasa, kumiliki simu za bei, kuhang maeneo ya bata ya gharama ili kuweza kupiga picha za kupost kwenye social networks na social media. Pesa za kumudu haya yote unadhani wanatoa wapi na wanatoka familia za kipato cha chini kabisa.....

Lakini mbaya zaidi ni pressure ya familia wanazotoka hawa mabinti kuwaambia kuwa mwanaume ambaye hana pesa hana cha kukupa katika maisha, nyuma ya pazia, ni hii familia ya binti kutafuta mfadhili kupitia binti yao awatatulie matatizo yao ya ndani ya kifamilia.

Tukirejea miaka ya nyuma kidogo, si kwamba watu walikuwa na pesa sana, lahasha, bali utu ulishika nafasi yake na umasikini haukuwa na nafasi katika jamii.

Kukosa pesa sio umasikini bali ni hali ya kiuchumi ya kutokuwa na kipato. Ila umasikini ni tamaa ya kutaka kuwa na miliki isiyo stahiki yako ukilinganisha na jitihada zako wewe binafsi. Na ndio maana hata watu wezi, mafisadi, wadangaji, mbele ya safari huishia kufilisika sababu ndani ya nafsi zao ni masikini.

Uamasikini unaambukiza (contagious), umasikini ni hali ya akili kuamini mafanikio ni muujiza na sio uhalisia wa matokeo ya jitihada.

Umasikini unapigwa vita kwa kutafuta namna tofauti tofauti za kujitafutia kipato bila kudharau ni kiasi gani unaingiza bali muhimu ni malengo ya leo, kesho na kesho kutwa kipato kinakupeleka wapi kukutoa hapo ulipo.

Tunaposema umasikini ni adui wa taifa haya ndo matokeo ya kudharau hiyo kauli. Unakutana na binti anatumia mwili kama qualifications ya kufanya maisha na wewe ila ukikaa nae ndani hana mchango katika swala la kupigana na umasikini cha zaidi atavuta familia yake waje karibu yenu wamsaidie kukuambukiza umasikini.

Ukiona mwanamke hana elements za productivity kwa namna yoyote basi jua unaandaa kizazi au familia ya watu masikini. Mwanamke mwenye maradhi ya umasikini hatokei familia ya watu wa kipato cha chini, anatokea familia ya watu wasio na utu na wenye uchu na tamaa, hao ni masikini pure, aidha wawe na pesa au mafukara umasikini utaugundua kwao kupitia tabia zao za tamaa na uchu na husuda za kukurudisha nyuma wewe ili wao kupata.

Nilishawahi ona familia ya mzee ambae hana uwezo sana, ni mkulima tu wa kipato cha chini, binti yake ameolewa na kijana ana uwezo wa kipato cha kati. Ila yule mzee kila mwezi alikuwa anafunga kiroba cha mahindi, unga, na gallon kubwa ya mafuta ya alizeti kumtumia binti yake na mumewe kutoka kwenye ghala yake. Na akifanya mauzo ya mazao yake ya kilimo anatoa sehemu ya pesa anamtumia kijana na binti yake.

Imagine huyu mzee utamwita ni masikini?! Au huyu binti anatoka familia ya kimasikini?! Umasikini ni akili au fikra ya kuendekeza tabia ya kuelemea wengine ile hali unaweza kupambana kujitafutia na ukasaidia wengine.

Sasa leo, kupitia elimu, tumezalisha kundi kubwa la vijana makabwela na mafukara wa hiyari wasio na mawazo ya maendeleo hata kidogo. Hebu wazia ni kwa namna hii tutafikia malengo ya taifa kweli ya kuwa uchumi wa kisasa na kuwa na idadi ndogo sana ya watu wa kipato cha chini.....?!

So ndugu, kumalizia tu niseme, ukiona binti analeta mazoea ya kuomba pesa usipepese macho wala kuona aibu, mwambie ukweli, mwambie aache tamaa na kuendekeza akili za kimasikini, kama anataka kupata mahitaji kwako kwanza ajue wajibu wake kwako katika vita na umasikini miili ya ngono hii isikuponze ukatumia pesa yako uliyoipata kwa shida sana kirahisi rahisi kisa unafuata maneno ya mjini kuwa sijui mwanaume wa kweli sio bahiri kwa mwanamke.

Mtawalaumu hawa mabinti wanaodanga ila ukweli ni kuwa sisi wanaume baadhi yetu ndio tunachangia huu utomvu wa maadili na nidhamu kukua. Imagine kama wanaume wote tukaweka azimio la kutotoa pesa za matumizi katika maswala ya ngono nje ya kusaidia, utaona kama hawa wadangaji watakuwapo.

Kwanza familia zitaimarika, ndoa zitaheshimika, na wanawake watajua umuhimu wa ndoa. Hivi viburi vyao vinakuja sababu wahongaji na mabwege wa kutoa hela mpo wengi, na mimi nasema nikikuta mwanaume ambaye hajaoa mwanamke ila alikuwa ana muhudumia kama mke kisha huyo mwanamke akapata mtu mwingine akapita hivi, mimi nitatetea huyo mwanamke, sababu yupo sahihi hawezi olewa na mwanaume mpuuzi anayetoa pesa nje ya familia au nje ya ndoa.

Huwa tunawaona wanawake ni wakatili kwa kuwakimbia watu waliowahudumia ile hali hawakuwa wanaume wao wa ndoa. Ila ngoja nikwambie wanawake wenye akili huwa wakiona mwanaume ni bahiri wanajua huyu sasa ni mwanaume wa ndoa maana pesa zake hazitachezewa na wadangaji.

Sasa nyie mnaojiita laki si pesa endeleeni kupoteza pesa kwa mshahara wa ngono na maradhi, wenzenu wanajenga siku hizi, akipata maboya yake kama sita akijisikia usiku anayapigia kuwa anafukuzwa kodi yanatoa laki tatu kila boya moja anajipatia 1.8 ya fasta. Wewe unajikuta mwanaume kumbe fala tu, ndio maana siku hizi watoto wa kike maisha kwao ni utelezi tu akiwa na mwili wa kudatisha.... Sasa wewe endelea kusema laki si pesa honga, watoto wako kwenye mipumbu yako unawadhurumu urithi wao sababu ya kutaka kuonekana mwamba fala m'moja wewe......

Hayo ni maneno tu ila ukweli ni kuwa mwanamke ambaye sio mkeo kumpatia fedha ni hisani tu, ila sio jambo la lazima au msingi kutoa pesa kwake hata kama ni buku ya vocha. Wacha wakuite bahiri sijui mkono mfupi, but usiwe under pressure kutoa pesa ambayo haupo tayari kutoa kwasababu unataka kuonekana mwanaume, but kama ni mkeo mnaishi nyumba moja then atajua matumizi na kipato chako so hawezi omba hovyo........
Umenena vyema mkuu.
 
Kwani Mungu humsikilizi? Basi una matatizo mazito sana.

Unamuadabishaje? Kuna namna ya kumuadabisha bila kutweza utu wake. Kama haujafanya hivyo basi ndio ujue shida ni nyie sio sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hilo swali umeniuliza jiulize wewe nafsi yako. Kama unaona kuna walakini mimi kufuata maagizo ya MUNGU then mbona hauoni ajabu ya mwanamke kutomtii mwanaume wake na kusikilizana nae hadi unasema sisi tunakosea.... Je ni wapi umeeelekezwa kuwa mwanaume akipotea basi na wewe uanze kuleta maruhani yako yaani ujitoe ufahamu kama silaha ya kujibu mashambulizi kwa mwenendo wake wa hovyo?!

Kwan mwanaume akiwa mkorofi au akiwa na shida wewe si ndie rafiki yake wa kwanza kumsaidia kurekebika kama vile ninyi wanawake tunapowasitiri mkileta wehu wenu wa aina tofuti tofuti?!
 
Siku mtakapoanza kukubali lawama zetu ndio siku na sisi tutaanza kujitathimini matendo yetu.

By nature mwanaume hawezi kujishusha kwa mwanamke asiyejishusha..... So mkitaka huu mtanange wa mahusiano kwenda mrama uishe then ninyi ndio mjirekebishe kwanza kwa kukubali yale tunayowalaumu kila siku kisha mtaona namna sisi tutaanza kuwaelekea vema.

By the way, katika kukinzana huku muathirika mkubwa ni mwanamke sio mwanaume. Mwanaume anapata very short side effects ila mwanamke ni continuous damage..... Fanya utafiti utagundua..... Its nature....
Tatizo lenu kubwa ndiyo hilo! Kila kitu huwa mnawaza ushindani tu!

Na ndiyo maana nikasema siku hizi ni mwendo wa kuviziana tu na kupimiana nani aanze! Badala ya kila jinsia kujitathmini na kubadilika kwa nafasi yake!

Hapa hatusemi eti nani ajishushe wala nani awe juu! Wanawake waangalie wanakosea wapi na wakati huo huo wanaume waangalie wanakosea wapi na siyo kupimiana kama hivi!

Halafu mnaposema wanawake ndiyo tunaumia zaidi huwa nashangaa sana! Inakuwaje ninyi ambao mna side effects ndogo ndiyo mnalalamika sana kuliko hao wenye side effects kubwa!

Utasingizia eti mnatupenda ndiyo maana mnatuambia lakini hapa nitakupinga kwa sababu wanaume hamjawahi kusimamia kidete suala lolote ambalo halina maslahi kwenu binafsi! Yaani bado hamjafikia kuwa na upendo huo wala msitufanye watoto!

Hebu ninyi ambao hamna side effects zozote acheni kulalamika halafu tuone hii hali itaendaje! Hebu kaeni kimya kama wanawake walivyokaa kimya halafu tuone itakuwaje maana ninyi siku zote si hamnaga cha kupoteza bwana!
 
Sasa hilo swali umeniuliza jiulize wewe nafsi yako. Kama unaona kuna walakini mimi kufuata maagizo ya MUNGU then mbona hauoni ajabu ya mwanamke kutomtii mwanaume wake na kusikilizana nae hadi unasema sisi tunakosea.... Je ni wapi umeeelekezwa kuwa mwanaume akipotea basi na wewe uanze kuleta maruhani yako yaani ujitoe ufahamu kama silaha ya kujibu mashambulizi kwa mwenendo wake wa hovyo?!

Kwan mwanaume akiwa mkorofi au akiwa na shida wewe si ndie rafiki yake wa kwanza kumsaidia kurekebika kama vile ninyi wanawake tunapowasitiri mkileta wehu wenu wa aina tofuti tofuti?!
Hivi sio nyie huwa mnasema nyie ndio vichwa vya familia? Sasa mnatafutaje wa kumlaumu kama mmetufanya tukawa hivi tulivyo mkiwa kama viongozi wetu?
Tunawarekebishaje bwana wakati nyie ndio vichwa bwana, kwani lini mmeanza kukosea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu kubwa ndiyo hilo! Kila kitu huwa mnawaza ushindani tu!

Na ndiyo maana nikasema siku hizi ni mwendo wa kuviziana tu na kupimiana nani aanze! Badala ya kila jinsia kujitathmini na kubadilika kwa nafasi yake!

Hapa hatusemi eti nani ajishushe wala nani awe juu! Wanawake waangalie wanakosea wapi na wakati huo huo wanaume waangalie wanakosea wapi na siyo kupimiana kama hivi!

Halafu mnaposema wanawake ndiyo tunaumia zaidi huwa nashangaa sana! Inakuwaje ninyi ambao mna side effects ndogo ndiyo mnalalamika sana kuliko hao wenye side effects kubwa!

Utasingizia eti mnatupenda ndiyo maana mnatuambia lakini hapa nitakupinga kwa sababu wanaume hamjawahi kusimamia kidete suala lolote ambalo halina maslahi kwenu binafsi! Yaani bado hamjafikia kuwa na upendo huo wala msitufanye watoto!

Hebu ninyi ambao hamna side effects zozote acheni kulalamika halafu tuone hii hali itaendaje! Hebu kaeni kimya kama wanawake walivyokaa kimya halafu tuone itakuwaje maana ninyi siku zote si hamnaga cha kupoteza bwana!
Nani kakwambia hatuna benefits kwa mwanamke mwenye mwenendo mzuri...... Benefits tunazo sana.... Sababu kwanza katika kundi la wanawake kuna mabinti zetu, dada zetu wadogo zetu wa kike, lakini muhimu zaidi wanawake tutakaokuja wao ili watulelee watoto wetu.

Upuuzi ukifanya wewe kama mwanamke mimi utakuja gharimu familia yangu. Mfano sasa hivi mnatoa sana ujauzito unaotakana tabia zenu za kulala na wanaume sita nyakati tofauti ndani ya masaa 24 kisha mnameza P2 ili kuzuia ujauzito usio na matarajio nao, hii kwangu ni hatari sababu nikiwa sijui history yako siku nimekuoa nakuweka ndani nitakuja pata fedheha nikija taka kupata nawe mtoto lakini pia nikitaka kuishi nawe kuna fedheha ya mimi kujua kuna wanaume waliopita na wewe na wapo wanatuona, kuna raha gani kushikana mikono na mwanamke ambaye katika kila sehemu nitakwenda nae kutakuwa na watu watakaokuwa walishamvmvua chupi na kuingiza mijusi yao katika mji wake wa uzazi na kuacha shahawa zao ndani yake.

Hebu wazia siku nakuja na rafiki yangu kwangu nakutambulisha kwake anastuka ni mwanamke ambae alishawahi kumtafuna kirahisi siku za nyuma au pengine si yeye tu ila ni ikatokea pia na washkaji wengine walikutafuna nyakati na maeneo tofauti sasa now wewe ndio uwe mke wangu, heshima inatoka wapi.

Hii aibu mimi nitaweka wapi sura yangu sababu ya tabia za udangaji za mwanamke naharibiwa heshima yangu.

Wazia pia kama wewe ni muadilifu ila rafiki yako ndio hajatulia, siku unamleta nyumbani kwetu kumbe ni binti ambaye nimeshamla sana huko nje na katoa mimba zangu kadhaa unakuja mtambulisha kwangu kama shemeji hivi unaona madhara yake sasa na kwann wanaume tunakemea sana wanawake tabia zenu.


Haya wewe unaongea tu hapa, umesoma juzi gazeti la mwananchi makala maalumu kuhusu report za madaktari pale muhimbili juu ya watoto wa kike wengi kupatwa na matatizo ya vizazi, kushindwa kushika ujauzito na hata vizazi kuoza.....je umewahi kujiuliza hayo madhara yanawahusu wanaume katika eneo gani?! Wewe ukidhurika wale uliokuwa ukiwadangia watasogea unadhani, huo si ni msala wako na familia yako, nani atakujali hapo nje ya familia yako, huyo unae mdangia si anakwenda tafuta binti mwingine mbichi anaanza nae upya?!

Je, ulisoma kuhusu report ya afya ya uzazi wanawake kuonyesha kuingiliwa nyuma kinyume na maumbile kiasi kwamba inaonekana ni janga jipya kwasasa?!

Sasa tukikemea wewe unasema sisi ndio tunaathirika, hivi unaongea hivi sababu unataka kushindana kubishana au umefanya tafiti?!

Hivi unajua kuna tatizo kubwa la ongezeko la maambukizi vimelea vya mgonjwa ya zinaa, (STI's) especially kwa wanawake miaka hii, kama UTI, PID infection , Herpes, Fungus, yeast, na mengine mengi, na chanzo kikibainika wazi ni kuwa na mahusiano na watu wengi kwa wakati m'moja?!

Hapo sijagusia maswala ya kutanuka kwa uke, hivi sasa kumeanza tatizo la baadhi wanawake kupatwa na hali ya njia ya uke kutoa mlio kama kujamba (queefing) jambo ambalo linaweza mwaibisha mhusika ikitokea mazingira ya watu wengi hii imehusishwa na maswala ya uzazi lakini ni pamoja na kujihusisha na mahusiano na wanaume wengi wenye maumbile tofauti. Ukitaka kulijua hili vema nenda youtube katazame video za confession za porn actresses waliostaafu kuigiza porn utaona wanaelezea changamoto wanazokutana nazo kutokana na kuingiliwa na wanaume kwa idadi kubwa.

Pia kuna swala la wanawake kuzaa na wanaume kisha kubakia kulea wenyewe wanaume wanaowachagua ambao ni vilaza huwaacha solemba na kuwaacha na mzigo wa malezi ya watoto pekee yao jambo linalowaathiri kisaikolojia na kiuchumi pia lakini mbaya zaidi watoto hawa hukosa malezi bora na kuingia ulimwengu wa maasi mapema katika umri mdogo.


Nadhani unachofeli ni kulinganisha uhalisia na hoja zako. Usiishie kusoma hoja za mtandaoni wanazoandika akina joyce kiria na wanawake wengine ambao ni wapotoshaji, bali wewe kwa utashi wako jaribu kufuatilia kinachotokea mitaani utaona ukweli.

Watoto wa kiume wanajitahidi sana kuwalinda lakini tamaa zenu watoto wa kike zinawatoa katika reli ya maisha mnapotoka mnaingia ulimwengu wa dunia hii ya mateso na fedheha. Siku zinavyokwenda mtakuja kuyaelewa haya ila sasa wacha tufanye kubishana tu ila mtaelewa tu.

Sasa wewe hebu nambie madhara gani anapatwa nayo mtoto wa kiume tukitoa magonjwanya zinaa na kupoteza pesa. Mwanaume akilala na mabinti hata 100 anabakia kuwa mwanaume na hakuna maksi zinashuka, ila wewe lala na wanaume hata 20 tu tofauti carelessly utanambia outcome yake.
 
Nani kakwambia hatuna benefits kwa mwanamke mwenye mwenendo mzuri...... Benefits tunazo sana.... Sababu kwanza katika kundi la wanawake kuna mabinti zetu, dada zetu wadogo zetu wa kike, lakini muhimu zaidi wanawake tutakaokuja wao ili watulelee watoto wetu.

Upuuzi ukifanya wewe kama mwanamke mimi utakuja gharimu familia yangu. Mfano sasa hivi mnatoa sana ujauzito unaotakana tabia zenu za kulala na wanaume sita nyakati tofauti ndani ya masaa 24 kisha mnameza P2, hii kwangu ni hatari sababu nikiwa sijui history yako siku nimekuoa nakuweka ndani nitakuja pata fedheha.

Hebu wazia siku nakuja na rafiki yangu kwangu nakutambulisha kwake anastuka ni mwanamke ambae alishawahi kutafuta siku za nyuma pengine ikatokea washkaji watatu walikutafuna nyakati na maeneo tofauti.

Hii aibu mimi nitaweka wapi sura yangu sababu ya tabia za udangaji za mwanamke naharibiwa heshima yangu.

Wazia pia kama wewe ni muadilifu ila rafiki yako ndio hajatulia, siku unamleta nyumbani kwetu kumbe ni binti ambaye nimeshamla sana huko nje na katoa mimba zangu kadhaa unakuja mtambulisha kwangu kama shemeji hivi unaona madhara yake sasa na kwann wanaume tunakemea sana wanawake tabia zenu.


Haya wewe unaongea tu hapa, umesoma juzi gazeti la mwananchi makala maalumu kuhusu report za madaktari pale muhimbili juu ya watoto wa kike wengi kupatwa na matatizo ya vizazi, kushindwa kushika ujauzito na hata vizazi kuoza.....

Je, ulisoma kuhusu report ya afya ya uzazi wanawake kuonyesha kuingiliwa nyuma kinyume na maumbile kiasi kwamba inaonekana ni janga jipya kwasasa?!

Sasa tukikemea wewe unasema sisi ndio tunaathirika, hivi unaongea hivi sababu unataka kushindana kubishana au umefanya tafiti?!

Hivi unajua kuna tatizo kubwa la ongezeko la maambukizi vimelea vya mgonjwa ya zinaa, (STI's) especially kwa wanawake miaka hii, kama UTI, PDI, Herpes, Fungus, yeast, na mengine mengi, na chanzo kikibainika wazi ni kuwa na mahusiano na watu wengi kwa wakati m'moja?!

Hapo sijagusia maswala ya kutanuka kwa uke, hivi sasa kumeanza tatizo la baadhi wanawake kupatwa na hali ya njia ya uke kutoa mlio kama kujamba (queefing) jambo ambalo linaweza mwaibisha mhusika ikitokea mazingira ya watu wengi hii imehusishwa na maswala ya uzazi pamoja kulala na wanaume tofauti nyakati tofauti.

Pia kuna swala la wanawake kuzaa na wanaume kisha kubakia kulea wenyewe wanaume wanaowachagua ambao ni vilaza huwaacha solemba na kuwaacha na mzigo wa malezi ya watoto pekee yao jambo linalowaathiri kisaikolojia na kiuchumi pia lakini mbaya zaidi watoto hawa hukosa malezi bora na kuingia ulimwengu wa maasi mapema katika umri mdogo.


Nadhani unachofeli ni kulinganisha uhalisia na hoja zako. Usiishie kusoma hoja za mtandaoni wanazoandika akina joyce kiria na wanawake wengine ambao ni wapotoshaji, bali wewe kwa utashi wako jaribu kufuatilia kinachotokea mitaani utaona ukweli.

Watoto wa kiume wanajitahidi sana kuwalinda lakini tamaa zenu watoto wa kike zinawatoa katika reli ya maisha mnapotoka mnaingia ulimwengu wa dunia hii ya mateso na fedheha. Siku zinavyokwenda mtakuja kuyaelewa haya ila sasa wacha tufanye kubishana tu ila mtaelewa tu.

Sasa wewe hebu nambie madhara gani anapatwa nayo mtoto wa kiume tukitoa magonjwanya zinaa na kupoteza pesa. Mwanaume akilala na mabinti hata 100 anabakia kuwa mwanaume na hakuna maksi zinashuka, ila wewe lala na wanaume hata 20 tu tofauti carelessly utanambia outcome yake.
So point yako hapo ni nini hebu sasa tuache kuzunguka na tuende straight to the point? Wewe unataka wanawake ndiyo wabadilike ila wanaume waendelee na maovu yao siyo?
 
Kama utakumbuka maneno ya baba wa taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, kuwa miongoni mwa maadui wa kuwapiga vita usiku na mchana na kuhakikisha wametokomea basi UMASIKINI ni nambari one.

Sababu umasikini ukitapakaa kwenye jamii utatengeneza njia kwa mambo mengi sana mbaya kuingia, mfano tamaa, njaa, maradhi, uhasama, chuki, usaliti, rushwa, na kadhalika.

Hili la watoto wa kike kupenda sana pesa lina uhusiano na insecurities zitokanazo na umasikini wa hali na akili huko walipotoka yaani makwao na familia zao.

Binti aliyelelewa kwa maadili ya utu hawezi kuwa na tamaa za mali au pesa ya mwanaume ambaye si mume wake. Mabinti wa sasa wanatoka familia zenye mentality za kimasikini sana yaani baba na mama wanataka kupata maisha kupitia mtoto wao, haijalishi anatoa wapi.

Kuna vitu vingi vinawaponza watoto wa kike, mfano, kutaka kuonekana mrembo kwa mavazi ya kisasa, kumiliki simu za bei, kuhang maeneo ya bata ya gharama ili kuweza kupiga picha za kupost kwenye social networks na social media. Pesa za kumudu haya yote unadhani wanatoa wapi na wanatoka familia za kipato cha chini kabisa.....

Lakini mbaya zaidi ni pressure ya familia wanazotoka hawa mabinti kuwaambia kuwa mwanaume ambaye hana pesa hana cha kukupa katika maisha, nyuma ya pazia, ni hii familia ya binti kutafuta mfadhili kupitia binti yao awatatulie matatizo yao ya ndani ya kifamilia.

Tukirejea miaka ya nyuma kidogo, si kwamba watu walikuwa na pesa sana, lahasha, bali utu ulishika nafasi yake na umasikini haukuwa na nafasi katika jamii.

Kukosa pesa sio umasikini bali ni hali ya kiuchumi ya kutokuwa na kipato. Ila umasikini ni tamaa ya kutaka kuwa na miliki isiyo stahiki yako ukilinganisha na jitihada zako wewe binafsi. Na ndio maana hata watu wezi, mafisadi, wadangaji, mbele ya safari huishia kufilisika sababu ndani ya nafsi zao ni masikini.

Uamasikini unaambukiza (contagious), umasikini ni hali ya akili kuamini mafanikio ni muujiza na sio uhalisia wa matokeo ya jitihada.

Umasikini unapigwa vita kwa kutafuta namna tofauti tofauti za kujitafutia kipato bila kudharau ni kiasi gani unaingiza bali muhimu ni malengo ya leo, kesho na kesho kutwa kipato kinakupeleka wapi kukutoa hapo ulipo.

Tunaposema umasikini ni adui wa taifa haya ndo matokeo ya kudharau hiyo kauli. Unakutana na binti anatumia mwili kama qualifications ya kufanya maisha na wewe ila ukikaa nae ndani hana mchango katika swala la kupigana na umasikini cha zaidi atavuta familia yake waje karibu yenu wamsaidie kukuambukiza umasikini.

Ukiona mwanamke hana elements za productivity kwa namna yoyote basi jua unaandaa kizazi au familia ya watu masikini. Mwanamke mwenye maradhi ya umasikini hatokei familia ya watu wa kipato cha chini, anatokea familia ya watu wasio na utu na wenye uchu na tamaa, hao ni masikini pure, aidha wawe na pesa au mafukara umasikini utaugundua kwao kupitia tabia zao za tamaa na uchu na husuda za kukurudisha nyuma wewe ili wao kupata.

Nilishawahi ona familia ya mzee ambae hana uwezo sana, ni mkulima tu wa kipato cha chini, binti yake ameolewa na kijana ana uwezo wa kipato cha kati. Ila yule mzee kila mwezi alikuwa anafunga kiroba cha mahindi, unga, na gallon kubwa ya mafuta ya alizeti kumtumia binti yake na mumewe kutoka kwenye ghala yake. Na akifanya mauzo ya mazao yake ya kilimo anatoa sehemu ya pesa anamtumia kijana na binti yake.

Imagine huyu mzee utamwita ni masikini?! Au huyu binti anatoka familia ya kimasikini?! Umasikini ni akili au fikra ya kuendekeza tabia ya kuelemea wengine ile hali unaweza kupambana kujitafutia na ukasaidia wengine.

Sasa leo, kupitia elimu, tumezalisha kundi kubwa la vijana makabwela na mafukara wa hiyari wasio na mawazo ya maendeleo hata kidogo. Hebu wazia ni kwa namna hii tutafikia malengo ya taifa kweli ya kuwa uchumi wa kisasa na kuwa na idadi ndogo sana ya watu wa kipato cha chini.....?!

So ndugu, kumalizia tu niseme, ukiona binti analeta mazoea ya kuomba pesa usipepese macho wala kuona aibu, mwambie ukweli, mwambie aache tamaa na kuendekeza akili za kimasikini, kama anataka kupata mahitaji kwako kwanza ajue wajibu wake kwako katika vita na umasikini miili ya ngono hii isikuponze ukatumia pesa yako uliyoipata kwa shida sana kirahisi rahisi kisa unafuata maneno ya mjini kuwa sijui mwanaume wa kweli sio bahiri kwa mwanamke.

Mtawalaumu hawa mabinti wanaodanga ila ukweli ni kuwa sisi wanaume baadhi yetu ndio tunachangia huu utomvu wa maadili na nidhamu kukua. Imagine kama wanaume wote tukaweka azimio la kutotoa pesa za matumizi katika maswala ya ngono nje ya kusaidia, utaona kama hawa wadangaji watakuwapo.

Kwanza familia zitaimarika, ndoa zitaheshimika, na wanawake watajua umuhimu wa ndoa. Hivi viburi vyao vinakuja sababu wahongaji na mabwege wa kutoa hela mpo wengi, na mimi nasema nikikuta mwanaume ambaye hajaoa mwanamke ila alikuwa ana muhudumia kama mke kisha huyo mwanamke akapata mtu mwingine akapita hivi, mimi nitatetea huyo mwanamke, sababu yupo sahihi hawezi olewa na mwanaume mpuuzi anayetoa pesa nje ya familia au nje ya ndoa.

Huwa tunawaona wanawake ni wakatili kwa kuwakimbia watu waliowahudumia ile hali hawakuwa wanaume wao wa ndoa. Ila ngoja nikwambie wanawake wenye akili huwa wakiona mwanaume ni bahiri wanajua huyu sasa ni mwanaume wa ndoa maana pesa zake hazitachezewa na wadangaji.

Sasa nyie mnaojiita laki si pesa endeleeni kupoteza pesa kwa mshahara wa ngono na maradhi, wenzenu wanajenga siku hizi, akipata maboya yake kama sita akijisikia usiku anayapigia kuwa anafukuzwa kodi yanatoa laki tatu kila boya moja anajipatia 1.8 ya fasta. Wewe unajikuta mwanaume kumbe fala tu, ndio maana siku hizi watoto wa kike maisha kwao ni utelezi tu akiwa na mwili wa kudatisha.... Sasa wewe endelea kusema laki si pesa honga, watoto wako kwenye mipumbu yako unawadhurumu urithi wao sababu ya kutaka kuonekana mwamba fala m'moja wewe......

Hayo ni maneno tu ila ukweli ni kuwa mwanamke ambaye sio mkeo kumpatia fedha ni hisani tu, ila sio jambo la lazima au msingi kutoa pesa kwake hata kama ni buku ya vocha. Wacha wakuite bahiri sijui mkono mfupi, but usiwe under pressure kutoa pesa ambayo haupo tayari kutoa kwasababu unataka kuonekana mwanaume, but kama ni mkeo mnaishi nyumba moja then atajua matumizi na kipato chako so hawezi omba hovyo........
Dah..
Mkuu, madini tupu haya.
Ungeweka kama uzi kabisa hili somo
 
Kama utakumbuka maneno ya baba wa taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, kuwa miongoni mwa maadui wa kuwapiga vita usiku na mchana na kuhakikisha wametokomea basi UMASIKINI ni nambari one.

Sababu umasikini ukitapakaa kwenye jamii utatengeneza njia kwa mambo mengi sana mbaya kuingia, mfano tamaa, njaa, maradhi, uhasama, chuki, usaliti, rushwa, na kadhalika.

Hili la watoto wa kike kupenda sana pesa lina uhusiano na insecurities zitokanazo na umasikini wa hali na akili huko walipotoka yaani makwao na familia zao.

Binti aliyelelewa kwa maadili ya utu hawezi kuwa na tamaa za mali au pesa ya mwanaume ambaye si mume wake. Mabinti wa sasa wanatoka familia zenye mentality za kimasikini sana yaani baba na mama wanataka kupata maisha kupitia mtoto wao, haijalishi anatoa wapi.

Kuna vitu vingi vinawaponza watoto wa kike, mfano, kutaka kuonekana mrembo kwa mavazi ya kisasa, kumiliki simu za bei, kuhang maeneo ya bata ya gharama ili kuweza kupiga picha za kupost kwenye social networks na social media. Pesa za kumudu haya yote unadhani wanatoa wapi na wanatoka familia za kipato cha chini kabisa.....

Lakini mbaya zaidi ni pressure ya familia wanazotoka hawa mabinti kuwaambia kuwa mwanaume ambaye hana pesa hana cha kukupa katika maisha, nyuma ya pazia, ni hii familia ya binti kutafuta mfadhili kupitia binti yao awatatulie matatizo yao ya ndani ya kifamilia.

Tukirejea miaka ya nyuma kidogo, si kwamba watu walikuwa na pesa sana, lahasha, bali utu ulishika nafasi yake na umasikini haukuwa na nafasi katika jamii.

Kukosa pesa sio umasikini bali ni hali ya kiuchumi ya kutokuwa na kipato. Ila umasikini ni tamaa ya kutaka kuwa na miliki isiyo stahiki yako ukilinganisha na jitihada zako wewe binafsi. Na ndio maana hata watu wezi, mafisadi, wadangaji, mbele ya safari huishia kufilisika sababu ndani ya nafsi zao ni masikini.

Uamasikini unaambukiza (contagious), umasikini ni hali ya akili kuamini mafanikio ni muujiza na sio uhalisia wa matokeo ya jitihada.

Umasikini unapigwa vita kwa kutafuta namna tofauti tofauti za kujitafutia kipato bila kudharau ni kiasi gani unaingiza bali muhimu ni malengo ya leo, kesho na kesho kutwa kipato kinakupeleka wapi kukutoa hapo ulipo.

Tunaposema umasikini ni adui wa taifa haya ndo matokeo ya kudharau hiyo kauli. Unakutana na binti anatumia mwili kama qualifications ya kufanya maisha na wewe ila ukikaa nae ndani hana mchango katika swala la kupigana na umasikini cha zaidi atavuta familia yake waje karibu yenu wamsaidie kukuambukiza umasikini.

Ukiona mwanamke hana elements za productivity kwa namna yoyote basi jua unaandaa kizazi au familia ya watu masikini. Mwanamke mwenye maradhi ya umasikini hatokei familia ya watu wa kipato cha chini, anatokea familia ya watu wasio na utu na wenye uchu na tamaa, hao ni masikini pure, aidha wawe na pesa au mafukara umasikini utaugundua kwao kupitia tabia zao za tamaa na uchu na husuda za kukurudisha nyuma wewe ili wao kupata.

Nilishawahi ona familia ya mzee ambae hana uwezo sana, ni mkulima tu wa kipato cha chini, binti yake ameolewa na kijana ana uwezo wa kipato cha kati. Ila yule mzee kila mwezi alikuwa anafunga kiroba cha mahindi, unga, na gallon kubwa ya mafuta ya alizeti kumtumia binti yake na mumewe kutoka kwenye ghala yake. Na akifanya mauzo ya mazao yake ya kilimo anatoa sehemu ya pesa anamtumia kijana na binti yake.

Imagine huyu mzee utamwita ni masikini?! Au huyu binti anatoka familia ya kimasikini?! Umasikini ni akili au fikra ya kuendekeza tabia ya kuelemea wengine ile hali unaweza kupambana kujitafutia na ukasaidia wengine.

Sasa leo, kupitia elimu, tumezalisha kundi kubwa la vijana makabwela na mafukara wa hiyari wasio na mawazo ya maendeleo hata kidogo. Hebu wazia ni kwa namna hii tutafikia malengo ya taifa kweli ya kuwa uchumi wa kisasa na kuwa na idadi ndogo sana ya watu wa kipato cha chini.....?!

So ndugu, kumalizia tu niseme, ukiona binti analeta mazoea ya kuomba pesa usipepese macho wala kuona aibu, mwambie ukweli, mwambie aache tamaa na kuendekeza akili za kimasikini, kama anataka kupata mahitaji kwako kwanza ajue wajibu wake kwako katika vita na umasikini miili ya ngono hii isikuponze ukatumia pesa yako uliyoipata kwa shida sana kirahisi rahisi kisa unafuata maneno ya mjini kuwa sijui mwanaume wa kweli sio bahiri kwa mwanamke.

Mtawalaumu hawa mabinti wanaodanga ila ukweli ni kuwa sisi wanaume baadhi yetu ndio tunachangia huu utomvu wa maadili na nidhamu kukua. Imagine kama wanaume wote tukaweka azimio la kutotoa pesa za matumizi katika maswala ya ngono nje ya kusaidia, utaona kama hawa wadangaji watakuwapo.

Kwanza familia zitaimarika, ndoa zitaheshimika, na wanawake watajua umuhimu wa ndoa. Hivi viburi vyao vinakuja sababu wahongaji na mabwege wa kutoa hela mpo wengi, na mimi nasema nikikuta mwanaume ambaye hajaoa mwanamke ila alikuwa ana muhudumia kama mke kisha huyo mwanamke akapata mtu mwingine akapita hivi, mimi nitatetea huyo mwanamke, sababu yupo sahihi hawezi olewa na mwanaume mpuuzi anayetoa pesa nje ya familia au nje ya ndoa.

Huwa tunawaona wanawake ni wakatili kwa kuwakimbia watu waliowahudumia ile hali hawakuwa wanaume wao wa ndoa. Ila ngoja nikwambie wanawake wenye akili huwa wakiona mwanaume ni bahiri wanajua huyu sasa ni mwanaume wa ndoa maana pesa zake hazitachezewa na wadangaji.

Sasa nyie mnaojiita laki si pesa endeleeni kupoteza pesa kwa mshahara wa ngono na maradhi, wenzenu wanajenga siku hizi, akipata maboya yake kama sita akijisikia usiku anayapigia kuwa anafukuzwa kodi yanatoa laki tatu kila boya moja anajipatia 1.8 ya fasta. Wewe unajikuta mwanaume kumbe fala tu, ndio maana siku hizi watoto wa kike maisha kwao ni utelezi tu akiwa na mwili wa kudatisha.... Sasa wewe endelea kusema laki si pesa honga, watoto wako kwenye mipumbu yako unawadhurumu urithi wao sababu ya kutaka kuonekana mwamba fala m'moja wewe......

Hayo ni maneno tu ila ukweli ni kuwa mwanamke ambaye sio mkeo kumpatia fedha ni hisani tu, ila sio jambo la lazima au msingi kutoa pesa kwake hata kama ni buku ya vocha. Wacha wakuite bahiri sijui mkono mfupi, but usiwe under pressure kutoa pesa ambayo haupo tayari kutoa kwasababu unataka kuonekana mwanaume, but kama ni mkeo mnaishi nyumba moja then atajua matumizi na kipato chako so hawezi omba hovyo........
Akili kubwa sana hii , Agreed [emoji817][emoji110]
 
Siku hizi maisha yanebadilika sana. Mahitaji yameongezeka sana na yanazidi kadri muda unavyokwenda.
Hapo zamani, hakukuwa na smartphone, hakukuwa na accesories za urembo kama sasa hivi, hakukuwa na social networks. Hivyo basi kutokana na utandawazi wanawake wanalazimika kuconform na kile kinachotazamiwa na wengi kuwa ni muhimu. Siku hizi mwanamke atatamani awe na mikoba 10, pair za viatu 20, magauni ya kubadili kila siku. Hivyo vyote vinampa mwanamke pressure kwa sababu anataka awe wa kisasa aendane na muda. Kutokana na mahitani hayo na mwanamke hana uwezo analazimika kulazimisha maisha yaliyo nje ya uwezo wake. Atakuomba hela ya vocha, hela ya kusuka, hela ya kodi, hela ya gari kama umejaaliwa fedha, na vingine vingi anavyotazamia ni mahitaji yake.
Mwanamke hata kama ana upendo wa dhati na wewe kama huna pesa na akatokea mwanaume mwenye uwezo kukushinda wewe, basi mwanamke atalazimika kuwa na mahusiano na huyo mtu ili aweze kupata mahitaji yake.
Huyo sio tuu mwanamke ni mwanamke wa hovyo ...
 
Wanawake wengi Sasa hivi hawataki hata umfanyie romance kushikana shikana hawataki ili uke utoe majimaji ya kulainisha wenyewe wanataka uingize tu umalize haja zako umpe pesa namzungumzia mpenzi kabisa na sio Malaya wa kukodisha, wakati nakumbuka zamani kipindi Ni mwanafunzi nilikuwa nikipata mwanamke namchezea Kwanza na ananipa vitu bure siku hizi Mambo yamebadilika wengi hisia zimewaisha.wamekuwa rahisi kuwapata lakini vigumu kuwa enjoy.
Mambo yako vile vile toka zamani.

Bila shaka ushajiuliza wakati vijana wa kiume wanajadili kuhusu wanawake na mambo ya kuzingatia kuhusu mke mwema, unajua wanawake wanajadili masuala yapi kama kiashiria cha mume bora?

Amini nakwambia pesa ima Mali zina maksi nyingi huko karibu na 99.9. Hili sio la jipya.
 
Nani kakwambia hatuna benefits kwa mwanamke mwenye mwenendo mzuri...... Benefits tunazo sana.... Sababu kwanza katika kundi la wanawake kuna mabinti zetu, dada zetu wadogo zetu wa kike, lakini muhimu zaidi wanawake tutakaokuja wao ili watulelee watoto wetu.

Upuuzi ukifanya wewe kama mwanamke mimi utakuja gharimu familia yangu. Mfano sasa hivi mnatoa sana ujauzito unaotakana tabia zenu za kulala na wanaume sita nyakati tofauti ndani ya masaa 24 kisha mnameza P2, hii kwangu ni hatari sababu nikiwa sijui history yako siku nimekuoa nakuweka ndani nitakuja pata fedheha.

Hebu wazia siku nakuja na rafiki yangu kwangu nakutambulisha kwake anastuka ni mwanamke ambae alishawahi kutafuta siku za nyuma pengine ikatokea washkaji watatu walikutafuna nyakati na maeneo tofauti.

Hii aibu mimi nitaweka wapi sura yangu sababu ya tabia za udangaji za mwanamke naharibiwa heshima yangu.

Wazia pia kama wewe ni muadilifu ila rafiki yako ndio hajatulia, siku unamleta nyumbani kwetu kumbe ni binti ambaye nimeshamla sana huko nje na katoa mimba zangu kadhaa unakuja mtambulisha kwangu kama shemeji hivi unaona madhara yake sasa na kwann wanaume tunakemea sana wanawake tabia zenu.


Haya wewe unaongea tu hapa, umesoma juzi gazeti la mwananchi makala maalumu kuhusu report za madaktari pale muhimbili juu ya watoto wa kike wengi kupatwa na matatizo ya vizazi, kushindwa kushika ujauzito na hata vizazi kuoza.....

Je, ulisoma kuhusu report ya afya ya uzazi wanawake kuonyesha kuingiliwa nyuma kinyume na maumbile kiasi kwamba inaonekana ni janga jipya kwasasa?!

Sasa tukikemea wewe unasema sisi ndio tunaathirika, hivi unaongea hivi sababu unataka kushindana kubishana au umefanya tafiti?!

Hivi unajua kuna tatizo kubwa la ongezeko la maambukizi vimelea vya mgonjwa ya zinaa, (STI's) especially kwa wanawake miaka hii, kama UTI, PDI, Herpes, Fungus, yeast, na mengine mengi, na chanzo kikibainika wazi ni kuwa na mahusiano na watu wengi kwa wakati m'moja?!

Hapo sijagusia maswala ya kutanuka kwa uke, hivi sasa kumeanza tatizo la baadhi wanawake kupatwa na hali ya njia ya uke kutoa mlio kama kujamba (queefing) jambo ambalo linaweza mwaibisha mhusika ikitokea mazingira ya watu wengi hii imehusishwa na maswala ya uzazi pamoja kulala na wanaume tofauti nyakati tofauti.

Pia kuna swala la wanawake kuzaa na wanaume kisha kubakia kulea wenyewe wanaume wanaowachagua ambao ni vilaza huwaacha solemba na kuwaacha na mzigo wa malezi ya watoto pekee yao jambo linalowaathiri kisaikolojia na kiuchumi pia lakini mbaya zaidi watoto hawa hukosa malezi bora na kuingia ulimwengu wa maasi mapema katika umri mdogo.


Nadhani unachofeli ni kulinganisha uhalisia na hoja zako. Usiishie kusoma hoja za mtandaoni wanazoandika akina joyce kiria na wanawake wengine ambao ni wapotoshaji, bali wewe kwa utashi wako jaribu kufuatilia kinachotokea mitaani utaona ukweli.

Watoto wa kiume wanajitahidi sana kuwalinda lakini tamaa zenu watoto wa kike zinawatoa katika reli ya maisha mnapotoka mnaingia ulimwengu wa dunia hii ya mateso na fedheha. Siku zinavyokwenda mtakuja kuyaelewa haya ila sasa wacha tufanye kubishana tu ila mtaelewa tu.

Sasa wewe hebu nambie madhara gani anapatwa nayo mtoto wa kiume tukitoa magonjwanya zinaa na kupoteza pesa. Mwanaume akilala na mabinti hata 100 anabakia kuwa mwanaume na hakuna maksi zinashuka, ila wewe lala na wanaume hata 20 tu tofauti carelessly utanambia outcome yake.
Mkubwa itoshe kusema kichwani uko vizuri ...hawa wanaopinga wanaleta ujuaji tuu but deep down wanakubaliana na ww [emoji817]
 
So point yako hapo ni nini hebu sasa tuache kuzunguka na tuende straight to the point? Wewe unataka wanawake ndiyo wabadilike ila wanaume waendelee na maovu yao siyo?
Unapokuwa unazungumza swala la uovu wa wanaume, sijajua ni kwann unafanya kuwa ni ajenda ambayo kuna mtu anaitetea au kuipendekeza.....

Umeshasema ni uovu why sasa nipende uendelee......?!
 
Back
Top Bottom