....mapenzi + pesa = ngono.mkuu malizia maswali yako....
2. kwanini siku hizi wanaume wanapenda kuzini zaidi kuliko kuwapenda wanawake?
Unahonga hela nyingi alafu akikupa breki yako ni Pumbuuunahonga ela myingi afu akikupa mzigo ukipiga ni PWAAA PWAAA
Unapendaje mtu ambaye hakupendi wewe kama wewe bali anapenda kile ulichonacho kwaajiri ya matumizi yake binafsimkuu malizia maswali yako....
2. kwanini siku hizi wanaume wanapenda kuzini zaidi kuliko kuwapenda wanawake?
Nadhani ni kitu baadhi ya wanaume wamejiaminisha Ila Hakuna ukweliRafiki ni kweli kuwa siku hizi hamtaki tena hata kulowa ni hela tu mmeweka mbele?[emoji38][emoji38][emoji38]
Ntakuloga ujue wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijasoma nakwambia na huna la kunifanya....khaaa uwe unafupisha bwana
Huku nje ya ndoa mtaambulia mimba tu na hela za chipsi, ukitaka utulivu wa maisha tafuta ndoa....
"Hela za chipsi"Huku nje ya ndoa mtaambulia mimba tu na hela za chipsi, ukitaka utulivu wa maisha tafuta ndoa....
Mipango yako tu na malengo yako. Huwezi ukawa unatafuta mwanaume wa kukupa mahitaji ya starehe za mwili na akili yako halafu utegemee mwanaume huyu huyu awe na akili ya kuweka malengo na wewe.Siku hizi mapenzi hakuna! Yani ni mwendo wa kuviziana tu!
Huyu anataka sex huyu anataka money! Huyu anampotezea mwenzie muda huyu anampotezea mwenzie pesa!
Bwawa, eh?unahonga ela myingi afu akikupa mzigo ukipiga ni PWAAA PWAAA
Kumbe tunavyolalamika hapa kila siku wanawake wa siku hizi mna akili na mitazamo ya kitoto unadhani tunakuwa tuna maanisha jambo gani?!
Tunafanana na wanaume wa siku hizi.Kumbe tunavyolalamika hapa kila siku wanawake wa siku hizi mna akili na mitazamo ya kitoto unadhani tunakuwa tuna maanisha jambo gani?!
Eneo gani kwa mfano huo ufafanio upo?!
Nyie si ndio viongozi wetu, au mnajisahaulisha?Eneo gani kwa mfano huo ufafanio upo?!
Sasa toka lini tukaongoza mtu asiyezikiliza?! Maana hamtusikilizi mnashindana sana na sisi hadi tunakosa pozi kwakweli.Nyie si ndio viongozi wetu, au mnajisahaulisha?
Hivyo mnavyotuona ndivyo, tunatakiwa tuwe maana ndio tunaendana nanyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi hayana issue mzeeWanawake wengi Sasa hivi hawataki hata umfanyie romance kushikana shikana hawataki ili uke utoe majimaji ya kulainisha wenyewe wanataka uingize tu umalize haja zako umpe pesa namzungumzia mpenzi kabisa na sio Malaya wa kukodisha, wakati nakumbuka zamani kipindi Ni mwanafunzi nilikuwa nikipata mwanamke namchezea Kwanza na ananipa vitu bure siku hizi Mambo yamebadilika wengi hisia zimewaisha.wamekuwa rahisi kuwapata lakini vigumu kuwa enjoy.
Kiongozi ukiona hausikilizwi basi ujue kuna mahali unakosea.Sasa toka lini tukaongoza mtu asiyezikiliza?! Maana hamtusikilizi mnashindana sana na sisi hadi tunakosa pozi kwakweli.
Suala hapa siyo fikira wala msitafute wa kuwatupia lawama! Siku hizi kila jinsia inajifanya imevurugwa na mapenzi kila mtu anaingia kwenye mahusiano akiwa na maslahi yake!Mipango yako tu na malengo yako. Huwezi ukawa unatafuta mwanaume wa kukupa mahitaji ya starehe za mwili na akili yako halafu utegemee mwanaume huyu huyu awe na akili ya kuweka malengo na wewe.
It starts with you...... Ukiwa na fikra za kuharibu basi jua utaharibu, ukiwa na fikra za kujenga utajenga.
Wanawake wakituliza akili ni rahisi sana kufanya nao maisha. Shida wanawake wa siku hizi wenge ni jingi sana. Hawana mitazamo chanya ya maisha wana na wenge sana.
Ila wasichana wazuri wa kujenga nao familia wapo, ni swala la kutafuta tu. Sisi tunapambana kuwaatafuta.