Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

laz
Umri na uzoefu Mdogo unatusumbua, kila mtu anachangia according to uzoefu wake hivyo hatuwezi kupata fact. Ipo hivi inategemea na background ya mtu, tabia, insentives zake. Wengi wa wanawake waabudu pesa wamekulia maisha ya kimaskini, au uswahilini, au middle class life ambako pesa ndiyo tatizo. Wengi waliokulia kwenye afadhali pesa haziwi kigezo sio kwa sababu wana pesa hapana ni kwa sababu wanajua Luna vitu enjoyable zaidi kuliko pesa, wao wanataka mtu wa kumpenda, sex, kumsikiliza, kumheshimu, gentleman, nk. Hawa wanajua kuwa na pesa nyingi kunaambatana na shida zake, wengi wa wenye pesa hawana muda na wake zao, wapo under pressure muda mwingi, hawana amani muda mwingi anawaza kuvamiwa, kuibiwa, kodi, kufilisika nk.
Nimekuwa na wanawake zaidi ya 500, wa uswahilini sex for money na starehe, waliokulia wenye kipato hawahangaiki na mastarehe, mavazi, simu Kali, saloon, magari nk, wao wanataka a man to.love, hawa hata sex ya maana itabidi usiwe na haraka yaani inabidi vitu vingi umfundishe.
 
mahusiano na wanawake wa kisasa sawa na kubet tuu.... kwa zama hizi....😎😎😎
 
Mnadanganyana, unaweza kumpa pesa na kumfanya awe tajiri kama Bill Gates, ukawa unamsugua mpaka huko chini panawaka Moto...

Akaja kumpenda Shamba Boy na akamegwa hata Chooni au kwenye Bustani ya Migomba!
 
Nipo hapa nawashikaji tunapiga stori mbili tatu, ghafla kuna prado inapaki mbele yetu anashuka mshikaji wetu Side ambaye tumefahamiana kutokana na mihangaiko ya hapa na pale huku yeye akiwa ni mgeni mtaani kwetu, mlango wa pili anashuka mwanamke "mkali sana" mweupe peee amepakata mtoto, mwanamke huyo amevaa kijigauni cheupee kimeishia magotini. Side anatusalimia pale na kututambulisha huyu ndo shemeji yenu, tunamsalimia kisha Side anampatia funguo funguo ya gari shemeji yetu na kuondoka zake.

tumebaki na Side tunapiga stori na kumsifia kwa kupata chombo kikali namna ile, wakati wa stori nikanukuu maneno haya mawili ambayo hadi sasa nayatafutia ukweli, Side alisema hawa wanawake ukitaka kuwadhibiti lazima uwe na vitu viwili kati ya hivi
  1. Pesa za kumtunza
  2. Kukidhi haja yake ya mwili kikamilifu
ukifanikiwa kwa hivyo, mwanamke yeyote hakupi tabu tena.
.....Side ananyanyuka zake na kuondoka zake......

Mkuu, inategemea na hulka ya mtu. Unaweza kumpatia mwanamke Kila kitu pamoja na kukidhi hata yake ya kimwili, na bado akachapuka tu. Hawa viumbe hawanaga formula aisee
 
mwanamke akiamua hata umtunze na kukidhi vipi haja zake atachoropoka tu.Tamaa mbaya sana
 
Wapo wanaopewa kila kitu na wakaenda kuchepuka na mwenye six pack..... u will never satisfy a woman!!!bora ukalima kuliko kukariri izo mambo....mkuu
 
Jinsia ya kike ni ngumu Sana kuilewa kama wao wenyewe hawajielewi unafikili hivyo ndivyo vitawafanya watulie? Nina kisa kimoja ambacho kuna mshikaji alinipa nitakisimulia baadae
Kabisa mkuu,mi mwanamke sitakagi kumridhisha sabab wenyew sura zao tu halisi wanatia makeup,kucha za bandia, mawigi,mtu kama huyo utampa nini aridhike
 
Ila tukumbuke kukojozwa na pesa sio guarantee ya amani ya moyo.
Ndio maana hata Zamaradi kasepa kaacha pesa na mtalimbo kwa Ruge. Bila amani ya moyo hivyo viwili ni pointless mfano una mwanamke unamkaza na hela unampa lakini ni kicheche na kiburi sana.
Una mwanaune ambae zipu mbovu ila anaweza mapenzi na hela anazo.
Ruge ana mtalimbo,ruge mwenyewe amekondeana yule hayupo strong,
 
Jamaa; Unanikumbuka?

Dada,; We kaka jmn tulimaliza kipind kile me ciitaj mchumba

Jamaa; jamani nakupenda tafadhar

Dada; Asant

Jamaa; N mda mrefu sana nimevumilia japo Niko mbali miaka imepita bado sijakupoteza akilini usije nitesa my dear!

Dada; Pole, Tafta mwngne km unaxhda na mke me ciitaj wala ctaft mpenz xawa

Jamaa; Nimekutafuta wewe ndo moyo umependa kwako, najua huwenda hutafuti mpnz kweli lakin nina haki pia my dear kukupemda na kusema kilichopo moyoni mwangu.nisamehe bure kama nakukosea.

Dada; We kwa mawazo yako cna mchumba au n nn

Jamaa; Kwa kweli mm n mapenz ya chat ndo yanayonisukumua tangu zamani nilivokuona sijawahi kufikiria kuhusu we we kuwa na mchumba my dear! Ila binafsi nakupenda nausemea moyo wangu

Dada; Ok poa me ckuitaj xx
Jamaa; Mmmhhh!!! umekasirika?
Dada; Hata, Xx kp cha kunkacrixha
Jamaa; Labda unaona nakusumbua!
Dada; Km unanpenda ntumie 20000 xaiv mpesa
Jama; Mbona kwa sasa sina hiyo 20000 my dear
Dada; Bas acha na tucxumbuane nna mambo meng yakufanya xawa

Jamaa; Mmmhh aisee kwani pesa ndo mapenz my dear? Twende taratibu Unweza kupata nyingi zaidi ya hiyo ulosema, Kutuma pesa sio tatizo ila tatizo n kuwa naemtumia pesa ananipenda?????.

Dada; Pesa ndo kla ktu kwang, Bas kama uwez acha cio lazma

Jamaa; sawa sijakataa lakin Leo ndo tumeanza kuwasiliana jamani sikujua kama unaweza kuwa na uhitaji wa pesa haraka kiasi hicho! Basi naomba nikuahidi nitakupa maana c bado tunawasiliana! Au unataka sasahivi tu kama hamna na mapenz hakuna pia sio.?

Nimeikuta sehemu! so hot conversation [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Wanaume tutafute pesa!
 
Back
Top Bottom