Vyote kwa pamoja vinahitajika au hata kikiwepo kimoja wapo tu hasa namba 2?.Nipo hapa nawashikaji tunapiga stori mbili tatu, ghafla kuna prado inapaki mbele yetu anashuka mshikaji wetu Side ambaye tumefahamiana kutokana na mihangaiko ya hapa na pale huku yeye akiwa ni mgeni mtaani kwetu, mlango wa pili anashuka mwanamke "mkali sana" mweupe peee amepakata mtoto, mwanamke huyo amevaa kijigauni cheupee kimeishia magotini. Side anatusalimia pale na kututambulisha huyu ndo shemeji yenu, tunamsalimia kisha Side anampatia funguo funguo ya gari shemeji yetu na kuondoka zake.
tumebaki na Side tunapiga stori na kumsifia kwa kupata chombo kikali namna ile, wakati wa stori nikanukuu maneno haya mawili ambayo hadi sasa nayatafutia ukweli, Side alisema hawa wanawake ukitaka kuwadhibiti lazima uwe na vitu viwili kati ya hivi
ukifanikiwa kwa hivyo, mwanamke yeyote hakupi tabu tena.
- Pesa za kumtunza
- Kukidhi haja yake ya mwili kikamilifu
.....Side ananyanyuka zake na kuondoka zake......
Glass Amo,But kwa wale wasio nazo nahisi hawapati kabisa
Glass Among,
Hapana kuhisi. Nitakuambia kitu kimoja, ukipenda amini usipo usipopenda Acha.
Hakuna mwanamke papoja na hata wake za watu anaetoka ndani ya nyumba kwenda kokote! Kazini, Sokoni, chuo asiwaza kukutana na mtu msamaria atakaekutana nae ingalau asolve tatizo lake dogo moja Iwe vocha, nauli wenye tamaa Simu chochote! Tuseme wanawake unaowaona barabarani wana shida, ukimaliza shida Yake atakupenda!
Hapo pesa haijachukuwa nafasi?
Hahaha.Maana atateseka akijua,penye penzi la kweli hakuna kuangalia kipato.penzi LA unafiki siku zote pesa mbele,Zamani mama zetu waliolewa kwa kupenda na walikuwa wanalima kutosheleza familia,Leo kitu pesa mbele penzi nyuma,ukiona demu pesa mbele sepa achana nae,kwani pesa ni matokeo lakini penzi ni kama imani yako
Mkuu ya kubahatisha utapata na sio ya kudumuNdugu Kama ni hivyo basi
Sisi pangu pakavu Tia mchuzi hatuna nafasi kabosa katika mambo hayo.
Maana
Just imagen sina kipato cha kumpa hata vocha mim ntamfaa nini?
Ina maana hiyo chance watatunukiwa wenye hako ka uwezo.
Sasa Kama pesa nafasi take ni hiyo nahisi hayuna nafasi makapuku
DuuuuuhMkuu ya kubahatisha utapata na sio ya kudumu
Kweli.Hata ukiwa na ela ya mboga kama unamthani,unampenda, unamjali unamsikiliza atabaki na wewe tu.
Mbona kuna mafukara na wana ndoa zao mpaka uzeeni? Maisha hayana kanuni maalumu.
Huo ni mtazamo wako.Hiyo ni zamani miaka ya uhuru sio sasa
Utumwa huu upumbafu mtupuNipo hapa nawashikaji tunapiga stori mbili tatu, ghafla kuna prado inapaki mbele yetu anashuka mshikaji wetu Side ambaye tumefahamiana kutokana na mihangaiko ya hapa na pale huku yeye akiwa ni mgeni mtaani kwetu, mlango wa pili anashuka mwanamke "mkali sana" mweupe peee amepakata mtoto, mwanamke huyo amevaa kijigauni cheupee kimeishia magotini. Side anatusalimia pale na kututambulisha huyu ndo shemeji yenu, tunamsalimia kisha Side anampatia funguo funguo ya gari shemeji yetu na kuondoka zake.
tumebaki na Side tunapiga stori na kumsifia kwa kupata chombo kikali namna ile, wakati wa stori nikanukuu maneno haya mawili ambayo hadi sasa nayatafutia ukweli, Side alisema hawa wanawake ukitaka kuwadhibiti lazima uwe na vitu viwili kati ya hivi
ukifanikiwa kwa hivyo, mwanamke yeyote hakupi tabu tena.
- Pesa za kumtunza
- Kukidhi haja yake ya mwili kikamilifu
.....Side ananyanyuka zake na kuondoka zake......
Malaika...!!!Anavyo vingi mno mpaka nahisi sijui ni malaika