Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Nipo hapa nawashikaji tunapiga stori mbili tatu, ghafla kuna prado inapaki mbele yetu anashuka mshikaji wetu Side ambaye tumefahamiana kutokana na mihangaiko ya hapa na pale huku yeye akiwa ni mgeni mtaani kwetu, mlango wa pili anashuka mwanamke "mkali sana" mweupe peee amepakata mtoto, mwanamke huyo amevaa kijigauni cheupee kimeishia magotini. Side anatusalimia pale na kututambulisha huyu ndo shemeji yenu, tunamsalimia kisha Side anampatia funguo funguo ya gari shemeji yetu na kuondoka zake.

tumebaki na Side tunapiga stori na kumsifia kwa kupata chombo kikali namna ile, wakati wa stori nikanukuu maneno haya mawili ambayo hadi sasa nayatafutia ukweli, Side alisema hawa wanawake ukitaka kuwadhibiti lazima uwe na vitu viwili kati ya hivi
  1. Pesa za kumtunza
  2. Kukidhi haja yake ya mwili kikamilifu
ukifanikiwa kwa hivyo, mwanamke yeyote hakupi tabu tena.
.....Side ananyanyuka zake na kuondoka zake......
mkuu mwanamke ni koumbe unayepaswa kuishi nae kwa akili zaidi,sio kuwa na pesa wala kukidhi haja zake za mwili .Prove it!

Huyo Side labda kajua mwanamke wake ili atulie ni pesa swala mapenzi anajua mwenyewe na ipo siku anaweza akaja gundua kuwa mkewe anatumia pesa zake kumhujumu kivyovyote vile[emoji2][emoji2]
 
mkuu mwanamke ni koumbe unayepaswa kuishi nae kwa akili zaidi,sio kuwa na pesa wala kukidhi haja zake za mwili .Prove it!

Huyo Side labda kajua mwanamke wake ili atulie ni pesa swala mapenzi anajua mwenyewe na ipo siku anaweza akaja gundua kuwa mkewe anatumia pesa zake kumhujumu kivyovyote vile[emoji2][emoji2]
Nakuunga mkono
Cc ABiClever Junior
 
Nipo hapa nawashikaji tunapiga stori mbili tatu, ghafla kuna prado inapaki mbele yetu anashuka mshikaji wetu Side ambaye tumefahamiana kutokana na mihangaiko ya hapa na pale huku yeye akiwa ni mgeni mtaani kwetu, mlango wa pili anashuka mwanamke "mkali sana" mweupe peee amepakata mtoto, mwanamke huyo amevaa kijigauni cheupee kimeishia magotini. Side anatusalimia pale na kututambulisha huyu ndo shemeji yenu, tunamsalimia kisha Side anampatia funguo funguo ya gari shemeji yetu na kuondoka zake.

tumebaki na Side tunapiga stori na kumsifia kwa kupata chombo kikali namna ile, wakati wa stori nikanukuu maneno haya mawili ambayo hadi sasa nayatafutia ukweli, Side alisema hawa wanawake ukitaka kuwadhibiti lazima uwe na vitu viwili kati ya hivi
  1. Pesa za kumtunza
  2. Kukidhi haja yake ya mwili kikamilifu
ukifanikiwa kwa hivyo, mwanamke yeyote hakupi tabu tena.
.....Side ananyanyuka zake na kuondoka zake......


Ukiwa na PESA ZINAZOMTOSHA MWANAMKE, UTAKUWA TAJIRI MNO, NA UKIWA TAJIRI MNO, UTAKUWA BUSY SANA NA UKIWA BUSY SANA UTASHINDWA KUKUDHI HAJA YAKE YA MWILI, DEREVA TOYO WATAKUSAIDIA.

DAWA NI KUMRUDIA MUNGU TU NA KUMHESHIMU MUNGU........
 
Unaweza kabisa kuwa na pesa lakini muuza genge akamvua picchu mkeo. Ingekuwa pesa ndiyo kila kitu ndoa za matajiri wakubwa duniani zisingevunjika.
Na waweza kumtosheleza na bado akasumbua, wanawake sio kama hesabu kwamba lazima ifwate formula moja ili upate jibu, mwanamke ni kama uandishi wa essay ulivyo
 
Kula inawakilisha tu uitaji mwingi, hakuna mwanamke asiyeangali ulichonacho, hawajaumbwa hivyo, ila anaweza analyse and take risky akitegemea future nzuri!
Ilmradi awe na security tu na sio pesa nyiing za kumiliki magari na majumba just pesa ya kawaida kukodhi mahitaji ya kawaida ni tosha sana
 
Ilmradi awe na security tu na sio pesa nyiing za kumiliki magari na majumba just pesa ya kawaida kukodhi mahitaji ya kawaida ni tosha sana

Hakunaga ndugu yangu, Muangalia Mke wa Marehemu Erasto, ana kila kitu, lakini yupo anashutumiwa kutaka kumuua wifi yake maana aliachiwa kusimamia baadhi ya vitu vya Kaka yake, HAKUNAGA HIYO kitu... WE MWOMBE MUNGU AND DO YOUR RESPONSIBILITY, HAKUNA FORMULA KWA HAWA VIUMBE
 
Hakunaga ndugu yangu, Muangalia Mke wa Marehemu Erasto, ana kila kitu, lakini yupo anashutumiwa kutaka kumuua wifi yake maana aliachiwa kusimamia baadhi ya vitu vya Kaka yake, HAKUNAGA HIYO kitu... WE MWOMBE MUNGU AND DO YOUR RESPONSIBILITY, HAKUNA FORMULA KWA HAWA VIUMBE
Mke wa erasto ni yeye asee ni jamii yao wale watu tamaa ya pesa, mimi ni raia wa kawaida nipo uraiani kwa kawaida naona maisha yanavoenda pia
 
Huo ndio ukweli halisi japo watu wanakuja na hoja za kupinga ukweli huo .. Tafuta kwanza pesa ya uhakika then miliki mwanamke wa haja na heshima zake.. Lkn pia kuna mambo ya ziada mfano you also hv to be a real gentleman ujue namna ya kuitumia pesa hiyo kumhandle mke vzr.
 
Ayo mambo hayana kanuni mzee na hayana fundi.
Hizo kanuni zinaweza zikafanya kazi kwake zisifanye kwako lakini bado pesa ni kila kitu
 
MWANAUME.... unaweza UKAWA na PESA,, ukampa MWANAMKE MAPENZI,, ukamridhisha na AKAWA anatoka NJE,,, hawakosi SABABU hawa VIUMBE,,, HAIJULIKANI wanataka nn...
 
Back
Top Bottom