goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,153
[emoji85] [emoji87] [emoji125] [emoji125]Huhuhu
[emoji85] [emoji87] [emoji125] [emoji125]Huhuhu
Sababu mwisho wa siku atazizoea hizo hela but chemistry hakuna so.lazima atarudi tu kwa yule wa zamani haijalishi wewe unapesa kiasi gani au una dyu kama la.mandingoHata mi nakuunga mkono.kwa mfano mmoja hai.mwanamke kama ulimkuta na jamaa yake ambaye choka mbaya kisha we ukamkwapua na hela zako na magari yako!hata umuoneshe mahaba ya aina gani lazima ataenda kwa yule ambae chemistry zao zinaendana
PESA KWENYE MAPENZI NI KAMA TIMU PINZANI IPEWE KADI NYEKUNDU ....INGAWA MPO 11 KWA 10 BADO HAIKUPI UHAKIKA WA KUSHINDA[emoji4][emoji4][emoji4][emoji3]
Aisee, hii inadhihirisha viwili vyote vipo kwa mumeo. Safi salama.Kasema kweli kabisa ,namshukuru Mungu
Anavyo vingi mno mpaka nahisi sijui ni malaikaAisee, hii inadhihirisha viwili vyote vipo kwa mumeo. Safi salama.
Maana atateseka akijua,penye penzi la kweli hakuna kuangalia kipato.penzi LA unafiki siku zote pesa mbele,Zamani mama zetu waliolewa kwa kupenda na walikuwa wanalima kutosheleza familia,Leo kitu pesa mbele penzi nyuma,ukiona demu pesa mbele sepa achana nae,kwani pesa ni matokeo lakini penzi ni kama imani yakoKama hujui bora usijue tu
Kwa kifupi kuna mshikaji alikuwa hana pesa wa kitandani hakuwa vizuri kuna mwanamke alikuwa hasikii wala haelewewiTIRIRIKA HAPA