Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hao hawafai kua wake... Hawafai kabisa unajua ukijua kwamba kuna mwanamke na mke utaweza kutofautisha kati ya pesa na mahisiano.. Relationship.. Chombo cha mahusiano,meli ya uhusiano ambayo haiiangalii una nn wala huna nn,na mkumbuke upendo hauna sababu kwa sababu,sababu yenyewe ni kupenda tu,na huwez kudifine love,kwa kua huamui kupenda ila inakuja yenyewe,so kama inakuja yenyewe unaiwekeje ktk kigezo cha pesa?

Mbona vitu vdogo sana mnashindwa kung'amua hivi? Unadhan kuna mtu anapenda pesa ktk dunia hii lah hasha watu hawahitaji sana fedha bali wanahitaji vtu ambavyo fedha inaweza kununua,pesa haipendwi ila inahitajika tu..upendo hauangalii cxhte ni hisia zinazochoma na zisizochoka.. Ubongo una mambo manne tu unayoyatamani hela haipo

Exactly true fact
 
inategemea na victims wa mahusiano wanapatikana katika mazingira yapi ""??

kama ni vijijini sitimbi huko hapo pesa "" haina umuhimu kabisaa""" kwa sbabu pana uhaba wa vituo vya afya ..usafiri " mavazi " mapambo "" mawasiliano "" etc ...

lakini kama nimjini baba """ KAMA HUNA PESA WEW TULIA TU "" MAANA KWA MJINI HATA KAMA UMEOA THEN IKATOKEA GHAFLA KIPATO CHAKO KIKAYUMBA JIANDAE KUGONGEWA MPKA NA WAUZA NYAMA"" JIANDAE KUISHI KWA MANYANYASO PIA """
MAANA UTASHINDWA KUSIMAMIA VYEMA HUDUMA ZOTE MUHIMU AMBAZO ZINASTAHIKI NYUMBANI """
WAWEZA KUWA UNAMLAANI MUNGU KWANINI ALIWEKA USIKU ...MAAANA ITAFIKIA WAKATI HATA KURUDI NYUMBANI KWAKO MWENYEW INAKUBIDI URUDI KWA MWENDO WA KUNYATA ...HAHAAA"""
Aisee hiki ni kisa cha kweli na kilimtokea mwalimu wangu mmoja wa chuo, lecturer ambae alikumbwa na upepo wa vyeti feki. Kimsingi hakuwa na vyeti feki ila tu majina yalipishana kidogo katika vyeti vyake system ikamkataa.

Kilichotokea alismamishwa kazi kwa muda kabla ya ku verify vyeti vyake kwa miezi 6 bila mshahara. Kilichotokea nyumbani kwake ilikuwa ni balaa! Mwanamke alimpa stress za kufa mtu kelele haziishi mpaka lecturers wenzake wakaanza mchangia elfu 50 kila mwezi walau aendeshe familia.

Pesa ni muhimu sana hasa kwa wanawake wanaithamini kuliko kitu chochote usijidanganye unapendwa kama huna hela na humu hudumii mpenzio ni swala la mda ukweli mchungu utakufikia.
 
Japo maisha siyo kutesa kila siku... Ila pesa ndiyo kila kitu...

Pesa ina nafasi yake kwenye mapenzi... Pesa ndiyo inayofanya mambo yaende...

Pesa ni mbolea kwenye mapenzi...


Cc: mahondaw
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Aisee hiki ni kisa cha kweli na kilimtokea mwalimu wangu mmoja wa chuo, lecturer ambae alikumbwa na upepo wa vyeti feki. Kimsingi hakuwa na vyeti feki ila tu majina yalipishana kidogo katika vyeti vyake system ikamkataa.

Kilichotokea alismamishwa kazi kwa muda kabla ya ku verify vyeti vyake kwa miezi 6 bila mshahara. Kilichotokea nyumbani kwake ilikuwa ni balaa! Mwanamke alimpa stress za kufa mtu kelele haziishi mpaka lecturers wenzake wakaanza mchangia elfu 50 kila mwezi walau aendeshe familia.

Pesa ni muhimu sana hasa kwa wanawake wanaithamini kuliko kitu chochote usijidanganye unapendwa kama huna hela na humu hudumii mpenzio ni swala la mda ukweli mchungu utakufikia.
mkuu kama huna hela "" itakuchukua week 1tu ..kuweza kuifahamu tabia halisi ya mkeo ...acha kabisaaa nizaidi ya manyanyaso kama sio ubaguzi
 
mkuu kama huna hela "" itakuchukua week 1tu ..kuweza kuifahamu tabia halisi ya mkeo ...acha kabisaaa nizaidi ya manyanyaso kama sio ubaguzi

Inategemea hasa alikupenda kwa kigezo kipi?
Kama n pesa lazima utajuta
 
Aisee hiki ni kisa cha kweli na kilimtokea mwalimu wangu mmoja wa chuo, lecturer ambae alikumbwa na upepo wa vyeti feki. Kimsingi hakuwa na vyeti feki ila tu majina yalipishana kidogo katika vyeti vyake system ikamkataa.

Kilichotokea alismamishwa kazi kwa muda kabla ya ku verify vyeti vyake kwa miezi 6 bila mshahara. Kilichotokea nyumbani kwake ilikuwa ni balaa! Mwanamke alimpa stress za kufa mtu kelele haziishi mpaka lecturers wenzake wakaanza mchangia elfu 50 kila mwezi walau aendeshe familia.

Pesa ni muhimu sana hasa kwa wanawake wanaithamini kuliko kitu chochote usijidanganye unapendwa kama huna hela na humu hudumii mpenzio ni swala la mda ukweli mchungu utakufikia.
Duuuuh. Hatare
Moja kwa moja huyo mwanamke hakua mke. Bali alikua kahaba. Na hakumpenda mshkaji Bali alipenda wallet.
 
Aisee hiki ni kisa cha kweli na kilimtokea mwalimu wangu mmoja wa chuo, lecturer ambae alikumbwa na upepo wa vyeti feki. Kimsingi hakuwa na vyeti feki ila tu majina yalipishana kidogo katika vyeti vyake system ikamkataa.

Kilichotokea alismamishwa kazi kwa muda kabla ya ku verify vyeti vyake kwa miezi 6 bila mshahara. Kilichotokea nyumbani kwake ilikuwa ni balaa! Mwanamke alimpa stress za kufa mtu kelele haziishi mpaka lecturers wenzake wakaanza mchangia elfu 50 kila mwezi walau aendeshe familia.

Pesa ni muhimu sana hasa kwa wanawake wanaithamini kuliko kitu chochote usijidanganye unapendwa kama huna hela na humu hudumii mpenzio ni swala la mda ukweli mchungu utakufikia.
Duuuuh. Hatare
Moja kwa moja huyo mwanamke hakua mke. Bali alikua kahaba. Na hakumpenda mshkaji Bali alipenda wallet.
 
Pesa ina nafasi yake katika mapenzi..na ukiona mwanamke wako hakuombi pesa basi ujue kuna sehemu anapata
 
Back
Top Bottom