Hahahha.Pesa na mapenzi nisawa na mond na kiba,
Havipatani hataa!
Kivipi tena???Mimi naona unaulizia mkia wa Mbwa wakati umeushika.
Hahahahhhah.ndo maana ikaitwa sabuni ya roho, ikiwepo kila wakati unajiona mwenye furaha
Nimuhimu ila inategemea....raha ya mapenzi nikupeana na kusaidizana. Sio kwasababu mimi ni mwanaume ndo unikomoe kwakuni piga vibomu, wakati sisi wote tunafanya kazi. Ikitokea nakupa nawe pia unatakiwa unisameh wakati mwengine
JackyPesa lazma itmke kuborexha mahusiano kuanzia nyanja ya mawasliano vacations na mamb meng 2 ambpo bla pexa hayawez kwenda xawa
Jacky
Hawa watu wengine hawalioni hilo?
Mbona wamenz'ang'ania kitu kisichoeleweka? Mwanamke hats vitabu vya Dino vinasema atamtegemea mwanaume, duniani vitu vizuri ndivyo kila MTU anakimbilia havipatikani bila pesa!
Mwanaume mzuri kwa mwanamke no mwenye pesa!
Ili mwanamke spate anachokihitaji kikamilifu awe na mwanaume mwenye pesa!
Hakuna hadithi nyingine.
MkuuDuuuuj
So pesa Ina hitajika katima mapenza ili kueanunua?
HahahhhaMkuu
Ikibidi kuyanunua na kuyastawisha!
Unamtokezea mwanamke anakutamani ni vile ulivyokaa kipesa! Shati nzuri 6,500/= na kuendelea ..Ksh ulinunua Lords Nairobi suruali kadhalika, mokasini chini $250 unaendesha Crown Royal saloon....nyeusi hiyo si ni pesa? Kivutio kwanza, ukimpata na kumwendelezea maisha hayo aje mwenye umaarufu wakati akinuka jasho kama mwana anaweza kusema nae!
Wazee pesa Maua!
MTU aliyepanga maisha yake kuishiwa ni Sikh anazikwaHahahhha
Kam ulivyo sema ndio sikatai pesa maua zinavhanua na kunyauka.
Ukisha zikosa hakyanan utawaona wanawake n wachungu
Bora akuzooee katika hal yako ya kawaida sio azoee wew n MTU wa pesa.
Utalia na wa kwenu kiama kikifika
Hahaha.MTU aliyepanga maisha yake kuishiwa ni Sikh anazikwa
Lakin zote zinaitwa pilau mkuuumapenz bila pesa ni sawa na pilau bila nyama
Fafanua zaidi tukueleweina nafasi kubwa kama gorofa la bashite
tehe tehe tehe nashindwa jinsi ya kufafanuaFafanua zaidi tukuelewe