Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,701
You will chase those you feel are worth chasing
What ya mean ??
You will chase those you feel are worth chasing
Kwann mkuuuKama hujui bora usijue tu
We unatumia nn?Ngoja waje wanaotumia pesa kwenye mapenzi
Bado sijajua nafasi yakeUmeuliza swali huku ukijua jibu lake aisee
Pesa ndio mpango mzima.[/QUO
Mmmh. Kivipi?????
Katika kufanya mapenz ya noge au????Karne ya 21 pesa Ina asimilia 100
Toa maelekezo mazuri bas mkuuuuUkijua nafasi ya chumvi kwenye mboga au mchuzi, utajua nafasi ya pesa kwenye mapenzi.
Duuuuh.Mmh me sijui usema ukweli ila nimekuwa nimekuta hivyo hivyo mboga bila chumvi uwezi kula nahata ukila utakula kwashida sana namapenzi bila pesa sio virahisi nahata ikitokea basi nikwashidashida tu sasa sijui wakina nani walianzisha hii system