Kwahiyo masikini wao maua yao hastawi kabisa.penzi ni UA.
pesa ni MAJI AU MBOLEA.
MkuuToa maelekezo mazuri bas mkuuuu
Nikuelewe
Nimeishakuja mkuu, ni za kumwagaNgoja waje wanaotumia pesa kwenye mapenzi
Kuna kitu kinaitwa Evolution.Hakika naamin
Kuna kitu kinaitwa Evolution.Hakika naamin
Kuna kitu kinaitwa Evolution.Hakika naamin
Haapa mkuu. Hapo kwenye hidden agenda ndo unapo kosea.Kuna kitu kinaitwa Evolution.
Hiki kimebadilisha mfumo wa maisha kabisa!
Wakati ule tukienda mashuleni kwa mguu, viatu miguuni hakuna hats mambo mengi ya anasa hayakuwepo.
Sasaivi katika wasichana 10.....7 .wana smart phone wametoa wapi? Ni bei gani hiyo Simu.....laki kuendelea navnyingi walizonazo sio laki malaki!
Ninyi mmeleta hii nyuzi kuwa enjoy watu na kujua kinachoendelea. You have a hidden agenda.
Hapo mkuu sasa inategemeana.Mkuu
Mtu anakaa mbezi Beach, Girl friend wake anakaa Kinyerezi na anafanya kazi ya kuchambua Sigara TCc.
Yeye anafanya kazi kibaha accounts clerk kibaha kwenye kikampuni cha vipodozi na ni kapuro tu baskeli hana.
Girl friend wake in malaria inamsumbua kampigia Simu dispensary wamemrefer muhimbili mfukoni jamaa ana 3000/= ya kurudia mbezi.
Tufafanulie hapo anafanyaje?
Mimi Niko sawa...Mtu wa mainstrument nimemkuta Huyo mtoto good shed nimemchota na Prado yangu AC tu inamletea malaria nyingine, nimembeba mpaka Regency 25,000/= consultation fees dawa 30000/=. After treatment puuuuu...kinyerezi! Kumshusha 50000/= na Business card na tutaonana.
Hapo fadhila nini? Kumbuka Boy friend alioshaleta viswahili na 3000/= ! Bibi akaamua kufa kiviake!.....pesa hakuna!
Hahahahaha.hPesa ni catalyst ya nyege
Haziwezi kujaHahahahaha.h
Kwa wasio nazo wao genye haziji kabisa????
Haziwezi kujaHahahahaha.h
Kwa wasio nazo wao genye haziji kabisa????
Inamaana maskini huzaa bila kufanya???Haziwezi kuja
Kuna kitu kinaitwa Evolution.Hakika naamin
Hayo ya kuzaa ni mengine! Naongelea kistarehe zaidi, teh..Inamaana maskini huzaa bila kufanya???
Mbona wana watoto
Wao zakwao zina itwaje?
Hhahahahaha.Hayo ya kuzaa ni mengine! Naongelea kistarehe zaidi, teh..