Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Pesa haina nafasi kabisa katika mapenzi. Ila watu ndiyo huihusisha directly kwenye mapenzi. Na kwa sasa watu sasa tumeipa kipaumbele kwenye mapenzi.

Ndiyo maana true love imebakia vijijini tu ila mjini hasa tunaihusha pesa na mapenzi ndiyo mambo yanazidi kuharibika zaidi.
true fact..
Nakuabali 100%
√√√√√
 
*VIGEZO VYA KUTOA PESA KWA MWANAMKE AMBAYE SIYO DADA YAKO WALA MAMA YAKO:*

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

1) Lazima awe mpenzi wako na asiwe mpenzi wa maneno yaani lazima uwe Na ukaribu naye wakutosha



Haya mambo ya tutaonana tu mara samahani naomba nitumie 10,000 au 20,000 unatoa utachukia wanawake bila sababu kwani ukiwaendekeza utatoa hizo wakati dada zako hata hela za chupi hawana, *WAAMBIE SINA*



2) Mwanamke wa kumpa PESA ni Yule ambaye ukimtaka unampata na wakati mwingine anakuwa na hamu ya kuwa na wewe na siyo yule aliyekupa kwa bahati mbaya hajarudi tena halafu unasumbuka kutuma hela itafika wakati utamtukana, *MWAMBIE SINA USIUMIZE KICHWA*



3) Umemtokea mtoto wa kike ameonyesha uelekeo lakini ubize haumuishi, MUACHE ABAKI KUWA rafiki ila PESA usitoe sababu mpo kama 50 hivi wote anacheza na akili zenu



4) Demu anayetakiwa kupewa PESA ni yule ambaye siku zote yupo hapo kwa ajili yako yaani hata kama ana wengine usijali na usitake kujua, ila ukimtaka unampata na wakati mwingine anakutafuta wewe BABY I MISS YOU mpe pesa hata km hajaomba



5.Mwanamke ambaye hawezi kukwambia bebi nina hamu na wewe na akauliza lini upo na muda nije na akaja



6.Mwanamke ambaye ukimuonyesha kuwa unamuhitaji Kwa sex sababu haziishi MFANYE AWE rafiki SABABU HAKUFAI HUYO yupo na wewe kwa sababu ya PESA na si kingine



*NI SOMO RAHISI LISILO HITAJI HATA TWISHENI*

Mpaka nimetamani uendelee na somo
Shukrani mkuuu
Nimekupata vilivyo
 
inategemea na victims wa mahusiano wanapatikana katika mazingira yapi ""??

kama ni vijijini sitimbi huko hapo pesa "" haina umuhimu kabisaa""" kwa sbabu pana uhaba wa vituo vya afya ..usafiri " mavazi " mapambo "" mawasiliano "" etc ...

lakini kama nimjini baba """ KAMA HUNA PESA WEW TULIA TU "" MAANA KWA MJINI HATA KAMA UMEOA THEN IKATOKEA GHAFLA KIPATO CHAKO KIKAYUMBA JIANDAE KUGONGEWA MPKA NA WAUZA NYAMA"" JIANDAE KUISHI KWA MANYANYASO PIA """
MAANA UTASHINDWA KUSIMAMIA VYEMA HUDUMA ZOTE MUHIMU AMBAZO ZINASTAHIKI NYUMBANI """
WAWEZA KUWA UNAMLAANI MUNGU KWANINI ALIWEKA USIKU ...MAAANA ITAFIKIA WAKATI HATA KURUDI NYUMBANI KWAKO MWENYEW INAKUBIDI URUDI KWA MWENDO WA KUNYATA ...HAHAAA"""
 
Mpenzi wako anahitaji kuvaa.... Kula....matibabu pindi atakapoumwa... Vipodozi vya kumfanya apendeze.... Unadhani hivi vitu vinaokotwa jalalani?????
Kwani Kama sija muoa hayo yote yanatoka wapi ikiwa bado anaishi kwao????
Ina maana ntakua nime ingilia majukumu ya baba ake mzaz
 
Sio kwamba ikikosekana mapenzi hayata kuwepo bali ni catalyst inayofanya mapenzi yanoge zaidi,maisha tunayoishi bila ya kuwa na pesa yanakuwa ni magumu sana kwani karibu kila kitu ni lazima ununue,sasa inapokosekana hali ya upendo na mapenzi inakuwa ni ngumu sana kuyatekeleza...
 
Sio kwamba ikikosekana mapenzi hayata kuwepo bali ni catalyst inayofanya mapenzi yanoge zaidi,maisha tunayoishi bila ya kuwa na pesa yanakuwa ni magumu sana kwani karibu kila kitu ni lazima ununue,sasa inapokosekana hali ya upendo na mapenzi inakuwa ni ngumu sana kuyatekeleza...

But haitumiki Kama kipaumbele cha kufanya upendo uwepo so ndio?
 
Back
Top Bottom