Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

mkuu kama huna hela "" itakuchukua week 1tu ..kuweza kuifahamu tabia halisi ya mkeo ...acha kabisaaa nizaidi ya manyanyaso kama sio ubaguzi
Ahahah sio kwa minuno utakayopewa na sonyo za hapa na pale kila unachofanya anakuona kero machoni.
 
Duuuuh. Hatare
Moja kwa moja huyo mwanamke hakua mke. Bali alikua kahaba. Na hakumpenda mshkaji Bali alipenda wallet.
Sio hivyo ni basi tu wanawake wengi akishazoea maisha mazuri ukambadilishia mtindo tu ujue una week chache za kuvumiliwa. Ikifikia mahala yale mambo ulomzoesha kumfanyia kama saluni na shopping hayapo ndani ya uwezo wako basi lazma akuchenjie tu na hatojali upo katika wakati gani!
 
Sio hivyo ni basi tu wanawake wengi akishazoea maisha mazuri ukambadilishia mtindo tu ujue una week chache za kuvumiliwa. Ikifikia mahala yale mambo ulomzoesha kumfanyia kama saluni na shopping hayapo ndani ya uwezo wako basi lazma akuchenjie tu na hatojali upo katika wakati gani!

Naamin.
Hawa viumbe n watu wa kuwaogopa Sana.
 
Nafasi ya pesa kwenye mapenzi.
1. Kumgharimia ke
2. Kumharibu ke mfano ( kumvutisha sigara, kunywa pombe kali, kutumia tigo yake )
3. Kumtumikisha sana kama mtumwa wa zanzibar enzi za ukoloni.
4. Kumnyanyasa haswaaa.
5. Kumpiga bila sababu kwa sababu hawezi kufanya lolote wakati unamgharamia hadi kwao.
6. Ukitaka unaweza kumnyonga au kumpa sumu kama alivyo fanya mwanariadha maarufu wa afrika ya kusini OSCAR PETORIA kumuua mpenzi wake akiwa bafuni kwa kumdungua risasi.
7. Kumdhalilisha mbele za watu hata bila kosa.
8. Kuwaadhibu wazazi wake kwa sababu unawagharimia.
9. Unaweza kusex na ke mwingne mbele yke na yy akatulia tu hana la kufanya.
10. Unaweza ukamfanya akakuabudu na kukusugudia daily yaani unakuwa mungu wake.

[emoji4] [emoji106]
 
Nafasi ya pesa kwenye mapenzi.
1. Kumgharimia ke
2. Kumharibu ke mfano ( kumvutisha sigara, kunywa pombe kali, kutumia tigo yake )
3. Kumtumikisha sana kama mtumwa wa zanzibar enzi za ukoloni.
4. Kumnyanyasa haswaaa.
5. Kumpiga bila sababu kwa sababu hawezi kufanya lolote wakati unamgharamia hadi kwao.
6. Ukitaka unaweza kumnyonga au kumpa sumu kama alivyo fanya mwanariadha maarufu wa afrika ya kusini OSCAR PETORIA kumuua mpenzi wake akiwa bafuni kwa kumdungua risasi.
7. Kumdhalilisha mbele za watu hata bila kosa.
8. Kuwaadhibu wazazi wake kwa sababu unawagharimia.
9. Unaweza kusex na ke mwingne mbele yke na yy akatulia tu hana la kufanya.
10. Unaweza ukamfanya akakuabudu na kukusugudia daily yaani unakuwa mungu wake.

[emoji4] [emoji106]

Yesuuuuuu.
Sasa mbona hakuna faida hapo???
 
Nimuhimu ila inategemea....raha ya mapenzi nikupeana na kusaidizana. Sio kwasababu mimi ni mwanaume ndo unikomoe kwakuni piga vibomu, wakati sisi wote tunafanya kazi. Ikitokea nakupa nawe pia unatakiwa unisameh wakati mwengine
 
Back
Top Bottom