Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,162
- 137,243
Ooooh safi sana, vipi hauhitaji msaada huko? Maana niko vizuri kwa shughuli hiyo.
Wewe tena....?
Nambie unakuja lini nikutumie nauli tu.
Ooooh safi sana, vipi hauhitaji msaada huko? Maana niko vizuri kwa shughuli hiyo.
Umeongea ukwel mkuu ila unanihisi ukiwa na pesa utachapiwa kama ambavyo usipokuwa na pesa...!?inamana mkuu wenye pesa wake zao hawaliwi?
Ifike mahali tusidanganyane mkuu mwanamke ni akuridhie mwenyewe ila swala la kumiliki mwanamke kisa pesa hapa tunafeli sana mkuu ,maana wenye pesa kila siku wanachapiwa na tunashuhudia mitaani ..
Kuwa napesa hakusababishi mwanamke wenye kujielewa kukubali
huwa tunashindwa kuelewa kuna mwanamke na kijimwanamke
Msaada unahitajika lini?Wewe tena....?
Nambie unakuja lini nikutumie nauli tu.
Pengine pesa anayo lakini ana kibamia grade 1 mdada akipiga chafya kinachomoka!Teh teh teeeeh!!!
Pesa muhimu sanaaaa zitafuteni tu, hayo ya kuchapiwa ni mambo mengine.
natania tuOoooh!! Basi tuma nauli, isije tu kuwa danganya toto kama ulivyonidanganya kwenye candy!!ASAP![]()
![]()
Pengine pesa anayo lakini ana kibamia grade 1 mdada akipiga chafya kinachomoka!natania tu

Hivi candy hukupata?Ooooh!! Basi tuma nauli, isije tu kuwa danganya toto kama ulivyonidanganya kwenye candy!!
Sikupata kabisa, nilichagua hiiHivi candy hukupata?
Ulichagua aina gani vile?
I'll make it up for you Espy!
Cotton candy, sweetie go, lemme see your tootsie rollSikupata kabisa, nilichagua hii
![]()

Point Notedinamana mkuu wenye pesa wake zao hawaliwi?
Ifike mahali tusidanganyane mkuu mwanamke ni akuridhie mwenyewe ila swala la kumiliki mwanamke kisa pesa hapa tunafeli sana mkuu ,maana wenye pesa kila siku wanachapiwa na tunashuhudia mitaani ..
Kuwa napesa hakusababishi mwanamke wenye kujielewa kukubali
huwa tunashindwa kuelewa kuna mwanamke na kijimwanamke
Siku zote mwanamke km hajakupenda hajakupenda hata ufanyie nini,,, na Siku zote pesa haiwezi kununua upendo wa dhati pesa hauwezi kununua furaha ya moyo pesa hauiwezi kununua mapenzi,,, ila pesa inaweza kununua NGONO unaweza ukawa hauna pesa na mwanamke akukupenda tena anakila sifa ya kuitwa mwanamke huna hata mia lkni karidhika na wewe,,, vile vile unaweza ukawa na pesa lkn mapenzi takakutesa vilivyo kila Siku kwako nikilio afadhali ya Jana,,,, Mapenzi si pesa vijana wenzangu tuamke tuache kudanganyana na km mababu zetu wangekuwa wanajali sana fedha wa na mabibi zetu sidhani hata sisi Leo tungekuwepo,,, mapenzi ni zaidi ya pesa.. Unaweza ukawa na pesa lkn huna furaha ya moyo lkn unaweza ukawa huna pesa lkn huoni kuwa km huna pesa kila siku wewe ni MTU wa tabasamu na niwape siri moja asilimia 50% ya wanaume wanaoimba kila siku mapnzi ni pesa hawajiamini ndiyo sababu wanaona bila pesa huwezi kupata mpnz mzuri wa jinsi unavyomtaka wewe,, alfu kitu kingine mazingira unayojiweka hivyo hivyo unapata mpnz kutokana na ulivyo,, naabishaye yeye jeuri, ukimpata anaye kupenda kwa dhati alafu hayupo venye unataka wewe, nenda ka mbadilishe awe jinsi utakavyo wewe hayo ni yangu akili zangu mwenywe
TanxPoint Noted
Asante sana.....unajipa moyo poyoyo mkubwa............
Mwanaume wa kweliMie natafuta pesa ili kuwa na familia bora yenye furaha na amani...kutafuta pesa kwa ajili ya kuwa na malaya wazuri kuna hasara zake maradhi kushindwa kujipanga kimaisha nk ila mwanaume mke mmoja nyumbani ukirudi unakula vizuri watoto wanasoma wanayafurahia maisha ndani hakuna kuhisiana vibaya sijui nitataka nini zaidi yakumuomba Mungu anijaalie pepo,maisha ya anasa duniani ni mabaya hututenga na Muumba wetu maisha yenyewe haya miaka 50 tunaitafuta kwa kwa mawani.
Mwanaume wa kweliMie natafuta pesa ili kuwa na familia bora yenye furaha na amani...kutafuta pesa kwa ajili ya kuwa na malaya wazuri kuna hasara zake maradhi kushindwa kujipanga kimaisha nk ila mwanaume mke mmoja nyumbani ukirudi unakula vizuri watoto wanasoma wanayafurahia maisha ndani hakuna kuhisiana vibaya sijui nitataka nini zaidi yakumuomba Mungu anijaalie pepo,maisha ya anasa duniani ni mabaya hututenga na Muumba wetu maisha yenyewe haya miaka 50 tunaitafuta kwa kwa mawani.