Nakubaliana na weweZari is a huge fan of celebrity lifestyle. Hiyo kitu ilimfanya hadi awe mwanamuziki japo kipaji hana, bado hakuwa celebrity, akahangaika sn kuwa socialite, Ivan hakuweza kumpa celebrity lifestyle. Mwishoe ndio akaangukia kwa Chibu ambae anamtimizia hiyo lifestyle ya kuonekana kwenye kininga na kuzungumzwa kwa media houses. Nasema haya si kwa kukisia, niliwahi kukutana na kupiga story na Dafe Louis ambae alikua ni Manager wa Boss Lady.
Kumbuka Zari hn njaa kabisa kabisa. Miradi yote ya Ivan ana shares zake. Mwisho wa siku kila mtu anaishi maisha yanayompendeza. Pesa ni superglue kwa madem wenye njaa.
Hizi pesa zimekutwa kwenye chumba kimoja maalum kwenye nyumba aliyokuwa akiishi mume wa zamani wa zari (Ivan )mpaka nimejiuliza sana kwa nini zari aliachana na mume wake ?
Nimegudua mapenzi sio pesa![]()
Matrion mambo?[emoji1][emoji1][emoji1]Oh mukama katonda mulabe omwana waafe ivan.
We ajuza mimi nimekopi mahali...Hivi uongo huwa unawasaidia nini?
Hiyo picha na hizo pesa story yake ipo CNN ni mambo ya Mkuu wa Polisi wa Nigeria.
Hii hapa: Nigeria's spy chief suspended after $43 million seized from apartment - CNN.com
Punguani wahe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Hivi uongo huwa unawasaidia nini?
Hiyo picha na hizo pesa story yake ipo CNN ni mambo ya Mkuu wa Polisi wa Nigeria.
Hii hapa: Nigeria's spy chief suspended after $43 million seized from apartment - CNN.com
Punguani wahe
We ajuza mimi nimekopi mahali...
Hapo nimetoka kapa.Oh mukama katonda mulabe omwana waafe ivan.
Omwakile omugyirile embazi omusasile ahalabe yakushobize nebirungyi ebiyakorele abantu waabe. Ahumure aizina rya yesu kristo omwana wawe nyamunegyere. Amina.
Hizi pesa zimekutwa kwenye chumba kimoja maalum kwenye nyumba aliyokuwa akiishi mume wa zamani wa zari (Ivan )mpaka nimejiuliza sana kwa nini zari aliachana na mume wake ?
Nimegudua mapenzi sio pesa![]()
Asante kwa taarifa.. Maana hyo Ivan anavyokuzwa hapana.... Alikuwa na pesa kweli lakin hizo radio mbao ukizisikiza unaweza kujiuliza kuwa huenda ile orodha ya Madon wa dunia badala ya kuandika IVAN SSEMWAGA wakakosea wakaweka ALIKO DANGOTEHivi uongo huwa unawasaidia nini?
Hiyo picha na hizo pesa story yake ipo CNN ni mambo ya Mkuu wa ujasusi wa Nigeria.
Hii hapa: Nigeria's spy chief suspended after $43 million seized from apartment - CNN.com
Punguani wahe
Unanilipa,mbona umekomaa hivyoUsiwe punguani.
Ulionesha kuwa umekopi "mahali"? Si umeandika "sasa umegundua"? Au umeshajisahau?
Pesa makaratasDaaaah hasara roho.