Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

We kama unapenda warembo ukizipata utamfanya tu mwanamke wako mrembo sio lazima ukatafute wengi wako ki maslahi zaidi.
 
Ungesema nitafute pesa kwa maendeleo yangu, demu akijipendeleza analiwa bure, ningekuelewa. Siwezi kutafuta pesa kwa ajili ya Mrembo, Kwani huyo mrembo atakuwa ananiingizia pesa?
 
Bidii hiyo inaambatana na pesa. Mwanamke huamua mwenyewe kutulia kwahiyo palipo na uhakika wa pesa na penzi la dhati atatulia tu. Mnachokosea ni ile kudhani ukiwa na pesa umemaliza, tafuta pesa(ni security) then mpende mkeo uone kama mtalialia tena.

Usitafute kwa nia ovu ya kujikusanyia wanawake,tafuta kwa nia ya kuwa na maisha bora na mkeo/wakezo(kwa waislamu) na familia yako.

Espy
 
Nilipotelea kwenye majaruba ya mpunga huku Ikungulyabashashi.

Najishughulisha na kilimo siku hizi.

Totoz...
Ooooh safi sana, vipi hauhitaji msaada huko? Maana niko vizuri kwa shughuli hiyo.
 
Back
Top Bottom