MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,617
- 41,680
explain kicheko chako kwanza[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nimekumiss kipenzi.
kisha tuendelee kumissiana
explain kicheko chako kwanza[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nimekumiss kipenzi.
Haya maneno ya kujipa moyo tu, kama wengi wasemavyo uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu....Whoopi alianza kushika pesa kabla ya Beyoce lakini hamfikii Beyonce kwa uzuri! Oprah ni billionare lakini hamfikii Beyonce kwa uzuri.....Hakuna mwanamke mbaya kwenye pesa!mtunze ukiyenae atakuwa mzuri kama Cleopatra
Umeelewa nilichoandika?Haya maneno ya kujipa moyo tu, kama wengi wasemavyo uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu....Whoopi alianza kushika pesa kabla ya Beyoce lakini hamfikii Beyonce kwa uzuri! Oprah ni billionare lakini hamfikii Beyonce kwa uzuri.....
Mwaaaaaaaaa yani nimekutafutia zawadi nyingine nimekosa[emoji182] [emoji182]inamana mkuu wenye pesa wake zao hawaliwi?
Ifike mahali tusidanganyane mkuu mwanamke ni akuridhie mwenyewe ila swala la kumiliki mwanamke kisa pesa hapa tunafeli sana mkuu ,maana wenye pesa kila siku wanachapiwa na tunashuhudia mitaani ..
Kuwa napesa hakusababishi mwanamke wenye kujielewa kukubali
huwa tunashindwa kuelewa kuna mwanamke na kijimwanamke
unamaanisha kwamba kalewa alichoandika?Umeelewa nilichoandika?
Hahaha utakosaje mkuu zawadi jaman ya kunipa sema tu basi hutaki (hahahaha)Mwaaaaaaaaa yani nimekutafutia zawadi nyingine nimekosa[emoji182] [emoji182]
Kila mwanaume ndoto yake kubwa katika mapenzi ni kuoa au kumiliki mpenzi ambaye ni mzuri wa sura na mrembo. Japo wahenga walisema mwanamke Tabia usemi huu umetupiliwa mbali na vijana wa leo wanaoamini kuwa Tabia inafundishika.
Sasa kwa maisha ya sasa na jinsi minavyowaona wadada wa kileo kama ukimiliki msichana mrembo wa kuvutia na hauna hela ujue kuna mambo mawili, kwanza yawezekana una zali la mentali, ambalo kwa miaka hii ya karibuni limepotea, pili unasaidiwa pia kula chakula cha ndoa na mtu mwingine mwenye pesa.
Ili kuondokana na kero hii njia kuu ni moja kupigana kiume, usiku na mchana kuzisaka pesa, ukizipata utapata mrembo wa aina ile unayemtaka vinginevyo kumiliki binti mrembo na mzuri wa sura ni ndoto za alinacha.
Kama wanaume tukiwa wavivu kujituma tutegemee mambo mawili kwanza kukumbatia ule useme wa mwanamke tabia na kutumia usemi huu kama kimbilio letu la kujitenga na mabinti warembo au tusubiri zali la mentali.
Na mimi nachokataa utafute pesa kwa ajili ya mwanamke ..Bidii hiyo inaambatana na pesa. Mwanamke huamua mwenyewe kutulia kwahiyo palipo na uhakika wa pesa na penzi la dhati atatulia tu. Mnachokosea ni ile kudhani ukiwa na pesa umemaliza, tafuta pesa(ni security) then mpende mkeo uone kama mtalialia tena.
Usitafute kwa nia ovu ya kujikusanyia wanawake,tafuta kwa nia ya kuwa na maisha bora na mkeo/wakezo(kwa waislamu) na familia yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usijali one day kungekuwa jf baada lbd km mwaka tunaandaa kaparty kidogo tunakutana ingekuwa bomba kweli hapo ndiyoy ningekupa zawadi bombaHahaha utakosaje mkuu zawadi jaman ya kunipa sema tu basi hutaki (hahahaha)
Nashkuru kwa hii i wish ingekuwa in real life aisee[emoji117] [emoji182]
Nahisi ningeanguka na kupiteza fahamu hapo hapo
Hahaa atleast ukiwa na pesa hazitakupita mkuu utapata hta kama ata kucheatinamana mkuu wenye pesa wake zao hawaliwi?
Ifike mahali tusidanganyane mkuu mwanamke ni akuridhie mwenyewe ila swala la kumiliki mwanamke kisa pesa hapa tunafeli sana mkuu ,maana wenye pesa kila siku wanachapiwa na tunashuhudia mitaani ..
Kuwa napesa hakusababishi mwanamke wenye kujielewa kukubali
huwa tunashindwa kuelewa kuna mwanamke na kijimwanamke
Atapenda pesa then wewe utafuata na atawapenda kwa pamoja kwa dhati kabisa.Na mimi nachokataa utafute pesa kwa ajili ya mwanamke ..
kwanza ifahamike swala la kutafuta pesa kwa mwanaume ni wajibu yaani ni lazima ila nachokataa isiwe kwa ajili ya mwanamke hapo hapana .
Na mimi huwa sitaki kumshawishi mwanamke apende pesa yangu nachotaka anipende mimi kama mimi pesa ije baadae
hahaha itabidi tu tutaandaa party yetu wallah maana siwezi kosa mambo mazuri kisa jf hawaandai party[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usijali one day kungekuwa jf baada lbd km mwaka tunaandaa kaparty kidogo tunakutana ingekuwa bomba kweli hapo ndiyoy ningekupa zawadi bomba
mbona kuna watu mkuu wanakula watoto wa zuri na pesa hawana ?Hahaa atleast ukiwa na pesa hazitakupita mkuu utapata hta kama ata kucheat