Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Mapenzi yanatengenezwa, je unakubali hivyo? Ndio maana mtu anaweza akawa anakupenda ila wewe humpendi na akakujengea mazingira ya wewe kumpenda.
Pia mapenzi hufa yanapokosa ustawi, sasa hapo kwenye ustawi ndipo papana na pesa inaingia.

Hii ya kutolea mifano mabibi na mababu zetu bila kuwa na uhakika ni bora uache tu, fuatilia familia zilizokuwa well off kipindi hicho ambavyo wanawake walikuwa wanagombania kuolewa hapo. Ndio utajua haya mambo hayakuanza leo,ni tangu enzi na enzi.

Tusidanganyane pesa ina nafasi kubwa sana katika mapenzi(ukibisha ni jeuri ila nafsi inakusuta), na ndio maana unaona inaongelewa sana. Pia pesa inaongeza kujiamini.
Mi nakataa
 
Kuna watu wamekalia kipesapesa tu hahaha sio kimapenz mapenz.kazi kwelikweli.ina maana siku akifilisika ndo siku io io utamkimbia sio.wanaopenda pesa siku zote ndoa zao hazidumu,mana siku mwanaume akifilisika hehehe utaona mwanamke atavobadilika kama kinyonga,na mdomo kama umetiwa betri atavoporoja
 
Aliyewaambia pesa sio muhimu kwenye mapenzi dunia ya leo nani?..
Mfano; mtu kama diamond angekuwa hana pesa angeweza kumpata zari bosslady?..
Huyo harmo rapa katukanwa na wema sepenga!!...hivi angekuwa na pesa sepenga angekuwa anachekacheka tu kwa ile ya harmo rapa ila kisa hana mshiko tumesikia "unikome we harmo rapa unashushia hadhi,unajua nimetumia muda gani kujenga jina wewe"...maneno hayo ya wema sepenga!..
Haya k-lyn angekubali kuchukuliwa na babu wa itv?,kama babu asingekuwa na kisu...
Acheni maneno nyie pesa inaamisha mlima.....achana na noti walahi nawaambieni
Noti sawa na mtama kama unataka kukamata njiwa....
 
Michangu imejaa sinza bao elfu 5 mizuriiii Kama malkia wa shebaaaa
 
Aliyewaambia pesa sio muhimu kwenye mapenzi dunia ya leo nani?..
Mfano; mtu kama diamond angekuwa hana pesa angeweza kumpata zari bosslady?..
Huyo harmo rapa katukanwa na wema sepenga!!...hivi angekuwa na pesa sepenga angekuwa anachekacheka tu kwa ile ya harmo rapa ila kisa hana mshiko tumesikia "unikome we harmo rapa unashushia hadhi,unajua nimetumia muda gani kujenga jina wewe"...maneno hayo ya wema sepenga!..
Haya k-lyn angekubali kuchukuliwa na babu wa itv?,kama babu asingekuwa na kisu...
Acheni maneno nyie pesa inaamisha mlima.....achana na noti walahi nawaambieni
Noti sawa na mtama kama unataka kukamata njiwa....
Hujaelewa mini maana ya mapenzi,,,, siku njema
 
Kila mwanaume ndoto yake kubwa katika mapenzi ni kuoa au kumiliki mpenzi ambaye ni mzuri wa sura na mrembo. Japo wahenga walisema mwanamke Tabia usemi huu umetupiliwa mbali na vijana wa leo wanaoamini kuwa Tabia inafundishika.

Sasa kwa maisha ya sasa na jinsi minavyowaona wadada wa kileo kama ukimiliki msichana mrembo wa kuvutia na hauna hela ujue kuna mambo mawili, kwanza yawezekana una zali la mentali, ambalo kwa miaka hii ya karibuni limepotea, pili unasaidiwa pia kula chakula cha ndoa na mtu mwingine mwenye pesa.

Ili kuondokana na kero hii njia kuu ni moja kupigana kiume, usiku na mchana kuzisaka pesa, ukizipata utapata mrembo wa aina ile unayemtaka vinginevyo kumiliki binti mrembo na mzuri wa sura ni ndoto za alinacha.

Kama wanaume tukiwa wavivu kujituma tutegemee mambo mawili kwanza kukumbatia ule useme wa mwanamke tabia na kutumia usemi huu kama kimbilio letu la kujitenga na mabinti warembo au tusubiri zali la mentali.
Mchawi shoo tu... Hakuna kingine mkuu
 
Fikra za kitoto hizo, fuatilia hao mnaoona ni warembo unakuta wanaume wanapiga mara kadhaa halafu wanawatema.
 
Watu hawana pesa na wanawake wazuri wanapata.......Wanawake wanahitajika mwanaume anayejua mapenzi......handsome....mwenye maneno matamu na anauejua kufikisha kileleni.....
Pesa ni factor ndogo sana kwenye mapenzi....Unaweza kuwa nazo na kila siku hao wazuri Wanakukimbia.
unajipa moyo poyoyo mkubwa............
 
inamana mkuu wenye pesa wake zao hawaliwi?

Ifike mahali tusidanganyane mkuu mwanamke ni akuridhie mwenyewe ila swala la kumiliki mwanamke kisa pesa hapa tunafeli sana mkuu ,maana wenye pesa kila siku wanachapiwa na tunashuhudia mitaani ..

Kuwa napesa hakusababishi mwanamke wenye kujielewa kukubali


huwa tunashindwa kuelewa kuna mwanamke na kijimwanamke


ALL IN ALL....YOU WILL NEVER KNOW WITH WOMEN..........
 
Back
Top Bottom