Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

mbona kuna watu mkuu wanakula watoto wa zuri na pesa hawana ?

mimi nishakula watoto wa zuri na pesa wananipa sio mimi kuwapa

Mkuu nikujiamini vzuri tu yaan kama ukiwaelewa wanawake mzee utafaidi vingi kutoka kwao tena bure na mtu atakwambia sina haja na pesa yako
Hahaa kukimbiwa kuna husika mwana yani pesa ndo kila kitu...
Tusipokua nazo tunakula ka kiburudisho ila mwsho wa siku anaolewa kwenye uchumi
 
Siku zote mwanamke km hajakupenda hajakupenda hata ufanyie nini,,, na Siku zote pesa haiwezi kununua upendo wa dhati pesa hauwezi kununua furaha ya moyo pesa hauiwezi kununua mapenzi,,, ila pesa inaweza kununua NGONO unaweza ukawa hauna pesa na mwanamke akukupenda tena anakila sifa ya kuitwa mwanamke huna hata mia lkni karidhika na wewe,,, vile vile unaweza ukawa na pesa lkn mapenzi takakutesa vilivyo kila Siku kwako nikilio afadhali ya Jana,,,, Mapenzi si pesa vijana wenzangu tuamke tuache kudanganyana na km mababu zetu wangekuwa wanajali sana fedha wa na mabibi zetu sidhani hata sisi Leo tungekuwepo,,, mapenzi ni zaidi ya pesa.. Unaweza ukawa na pesa lkn huna furaha ya moyo lkn unaweza ukawa huna pesa lkn huoni kuwa km huna pesa kila siku wewe ni MTU wa tabasamu na niwape siri moja asilimia 50% ya wanaume wanaoimba kila siku mapnzi ni pesa hawajiamini ndiyo sababu wanaona bila pesa huwezi kupata mpnz mzuri wa jinsi unavyomtaka wewe,, alfu kitu kingine mazingira unayojiweka hivyo hivyo unapata mpnz kutokana na ulivyo,, naabishaye yeye jeuri, ukimpata anaye kupenda kwa dhati alafu hayupo venye unataka wewe, nenda ka mbadilishe awe jinsi utakavyo wewe hayo ni yangu akili zangu mwenywe
Mapenzi yanatengenezwa, je unakubali hivyo? Ndio maana mtu anaweza akawa anakupenda ila wewe humpendi na akakujengea mazingira ya wewe kumpenda.
Pia mapenzi hufa yanapokosa ustawi, sasa hapo kwenye ustawi ndipo papana na pesa inaingia.

Hii ya kutolea mifano mabibi na mababu zetu bila kuwa na uhakika ni bora uache tu, fuatilia familia zilizokuwa well off kipindi hicho ambavyo wanawake walikuwa wanagombania kuolewa hapo. Ndio utajua haya mambo hayakuanza leo,ni tangu enzi na enzi.

Tusidanganyane pesa ina nafasi kubwa sana katika mapenzi(ukibisha ni jeuri ila nafsi inakusuta), na ndio maana unaona inaongelewa sana. Pia pesa inaongeza kujiamini.
 
Atapenda pesa then wewe utafuata na atawapenda kwa pamoja kwa dhati kabisa.

Hiyo ni akili ya kiume, au umesahu ubongo huwaza mahusiano kwa kiasi gani? Kwahiyo ni nature hiyo mkuu. Tafuteni tu ili mtupe raha.
hahahaha mkuu umenifurahisha sana haya ngoja wazitafute ila raha haiji kwa pesa raha yaja nafsi ikisha ridhia tu

Hivi kuna watu wanaishi maisha ya chini lakini wanafuraha sana na kuna watu wanakila kitu ndani nyumba kalii usafiri mkali anakwenda anapotaka ila hana furaha

Furaha huja outmatic tu
Hahaa atleast ukiwa na pesa hazitakupita mkuu utapata hta kama ata kucheat
 
Someone tell ladies that they can't get rich sleeping with rich men. Wealth is not sexually transmitted.
 
Siku zote mwanamke km hajakupenda hajakupenda hata ufanyie nini,,, na Siku zote pesa haiwezi kununua upendo wa dhati pesa hauwezi kununua furaha ya moyo pesa hauiwezi kununua mapenzi,,, ila pesa inaweza kununua NGONO unaweza ukawa hauna pesa na mwanamke akukupenda tena anakila sifa ya kuitwa mwanamke huna hata mia lkni karidhika na wewe,,, vile vile unaweza ukawa na pesa lkn mapenzi takakutesa vilivyo kila Siku kwako nikilio afadhali ya Jana,,,, Mapenzi si pesa vijana wenzangu tuamke tuache kudanganyana na km mababu zetu wangekuwa wanajali sana fedha wa na mabibi zetu sidhani hata sisi Leo tungekuwepo,,, mapenzi ni zaidi ya pesa.. Unaweza ukawa na pesa lkn huna furaha ya moyo lkn unaweza ukawa huna pesa lkn huoni kuwa km huna pesa kila siku wewe ni MTU wa tabasamu na niwape siri moja asilimia 50% ya wanaume wanaoimba kila siku mapnzi ni pesa hawajiamini ndiyo sababu wanaona bila pesa huwezi kupata mpnz mzuri wa jinsi unavyomtaka wewe,, alfu kitu kingine mazingira unayojiweka hivyo hivyo unapata mpnz kutokana na ulivyo,, naabishaye yeye jeuri, ukimpata anaye kupenda kwa dhati alafu hayupo venye unataka wewe, nenda ka mbadilishe awe jinsi utakavyo wewe hayo ni yangu akili zangu mwenywe
Dah umezungumza point mpaka raha ...

Mnazawadi yako ,

wanawake wote wangekuwa hivi dunia hii ingekuwa sehemu tulivu ya kuishi kiumbe anaetwa mwanaume
 
Nyie milikini hela na mademu wakali,,hao hao wakali sisi tunawachapa kwa hela zako mwenyewe,,, tukishapiga mazoez na misupu ya wale samaki mwenye mamikia mingi mingi baadae tukapata na vumbi la congo( kasongo) wanawatukaneni balaa,,kwa kichapo mubashara kutoka kwa kapuku tusio na pesa..
 
Mapenzi yanatengenezwa, je unakubali hivyo? Ndio maana mtu anaweza akawa anakupenda ila wewe humpendi na akakujengea mazingira ya wewe kumpenda.
Pia mapenzi hufa yanapokosa ustawi, sasa hapo kwenye ustawi ndipo papana na pesa inaingia.

Hii ya kutolea mifano mabibi na mababu zetu bila kuwa na uhakika ni bora uache tu, fuatilia familia zilizokuwa well off kipindi hicho ambavyo wanawake walikuwa wanagombania kuolewa hapo. Ndio utajua haya mambo hayakuanza leo,ni tangu enzi na enzi.

Tusidanganyane pesa ina nafasi kubwa sana katika mapenzi(ukibisha ni jeuri ila nafsi inakusuta), na ndio maana unaona inaongelewa sana. Pia pesa inaongeza kujiamini.
Espy kila kitu kina nafasi yake ikiwemo pesa tunachokataa kuipa pesa nafasi kubwa kuliko nafasi yake yenyewe hiyo pesa

Mapenzi Sio pesa ila pesa ina kajisehemu kadogo kwenye ustawi wa mapenzi

Tusiipe pesa nafasi kubwa ya kutawala mapenzi na ndomana siku ikiondoka huwa na penzi linasambaratika .

Sababu kubwa penzi lenu kubebwa na pesa na kuimarishwa kwahiyo nguzo inapoanguka lazima penzi nalo lianguke
 
hahahaha mkuu umenifurahisha sana haya ngoja wazitafute ila raha haiji kwa pesa raha yaja nafsi ikisha ridhia tu

Hivi kuna watu wanaishi maisha ya chini lakini wanafuraha sana na kuna watu wanakila kitu ndani nyumba kalii usafiri mkali anakwenda anapotaka ila hana furaha

Furaha huja outmatic tu
Na kuna watu wanaishi maisha ya chini na hawana furaha kabisaaa( ni wengi zaidi)
Kwahiyo kuwa na pesa au kutokuwa nayo hakukupi guarantee ya furaha, ila mwenye pesa ananafasi nzuri zaidi ya kuwa na furaha kama atazichanga karata zake vizuri.

Iko hivi why wenye pesa wanaonekana hawana furaha?
*Kwanza hii ni mentality waliojijengea wasio na pesa ili wajifariji.
*Pili mwenye pesa kwakuwa anaatract sana wanawake( ukweli usiopingika) asipokuwa makini atajikuta anachagua chaguo lisilo sahihi kwakuwa wengi wanapenda kuwa nae, kwahiyo kufake hapo kunakuwa kwingi.
*Tatu wenye pesa wengi mentality yao inakomea kuwa mwanamke anachohitaji ni pesa pekee kwahiyobakishampa pesa amemaliza(tatizo linaanzia hapo)
*Nne mwenye pesa yupo busy sana unlike kapuku ambae muda wa kubebishana ni mwingi zaidi.
*Tano................

Kwahiyo basi pesa ni lazima, yaani hatuikwepi kabisaaaa, ila cha msingi ni kuevaluate wapi tunakosea hadi hiyo furaha inayoimbwa isiwepo? Tukumbuke tu furaha inatengenezwa haiji tu kama usiku na mchana.
 
Kila mwanaume ndoto yake kubwa katika mapenzi ni kuoa au kumiliki mpenzi ambaye ni mzuri wa sura na mrembo. Japo wahenga walisema mwanamke Tabia usemi huu umetupiliwa mbali na vijana wa leo wanaoamini kuwa Tabia inafundishika.

Sasa kwa maisha ya sasa na jinsi minavyowaona wadada wa kileo kama ukimiliki msichana mrembo wa kuvutia na hauna hela ujue kuna mambo mawili, kwanza yawezekana una zali la mentali, ambalo kwa miaka hii ya karibuni limepotea, pili unasaidiwa pia kula chakula cha ndoa na mtu mwingine mwenye pesa.

Ili kuondokana na kero hii njia kuu ni moja kupigana kiume, usiku na mchana kuzisaka pesa, ukizipata utapata mrembo wa aina ile unayemtaka vinginevyo kumiliki binti mrembo na mzuri wa sura ni ndoto za alinacha.

Kama wanaume tukiwa wavivu kujituma tutegemee mambo mawili kwanza kukumbatia ule useme wa mwanamke tabia na kutumia usemi huu kama kimbilio letu la kujitenga na mabinti warembo au tusubiri zali la mentali.
Kweli mkuu una mtizamo hasi sana na kama watu wengi wana mawazo kama yako nchi kupiga hatua ni kazi, yaani wanaume watafute Pesa ili wamiliki wanawake wazuri badala ya kujikwamua kimaisha na familia zao. Mwanamke unayemuona mzuri ww mwenziwe wanaweza kumuona wa kawaida so fanya juhudi hiyo mwenyewe cc tunatafuta hela tuishi maisha standard wanawake wapo tu ndio maana ME awe na hela au asiwe nazo kumpata KE ni juhudi zake tu, unaowazungumzia ww hao ni malaya tu wanaotaka kuhongwa ila KE anayejielewa na kujiheshimu hawezi kuwa na ME kwa ajili ya hela tu vinginevyo akiteterwka kiuchumi bac na ndoa itavunjika.
 
Na kuna watu wanaishi maisha ya chini na hawana furaha kabisaaa( ni wengi zaidi)
Kwahiyo kuwa na pesa au kutokuwa nayo hakukupi guarantee ya furaha, ila mwenye pesa ananafasi nzuri zaidi ya kuwa na furaha kama atazichanga karata zake vizuri.

Iko hivi why wenye pesa wanaonekana hawana furaha?
*Kwanza hii ni mentality waliojijengea wasio na pesa ili wajifariji.
*Pili mwenye pesa kwakuwa anaatract sana wanawake( ukweli usiopingika) asipokuwa makini atajikuta anachagua chaguo lisilo sahihi kwakuwa wengi wanapenda kuwa nae, kwahiyo kufake hapo kunakuwa kwingi.
*Tatu wenye pesa wengi mentality yao inakomea kuwa mwanamke anachohitaji ni pesa pekee kwahiyobakishampa pesa amemaliza(tatizo linaanzia hapo)
*Nne mwenye pesa yupo busy sana unlike kapuku ambae muda wa kubebishana ni mwingi zaidi.
*Tano................

Kwahiyo basi pesa ni lazima, yaani hatuikwepi kabisaaaa, ila cha msingi ni kuevaluate wapi tunakosea hadi hiyo furaha inayoimbwa isiwepo? Tukumbuke tu furaha inatengenezwa haiji tu kama usiku na mchana.
Nashkuru kwamba tunaelekea sehemu moja japo njia tulizotumia kufika tunapokwenda ni njia tofauti

Shukran nimekuelewa sana maana kuna upande umeamuwa kuuchukuwa na kuwangalia kwa kina faida na madhara hata na mie pia ila tuko katika njia moja
 
Kila mwanaume ndoto yake kubwa katika mapenzi ni kuoa au kumiliki mpenzi ambaye ni mzuri wa sura na mrembo. Japo wahenga walisema mwanamke Tabia usemi huu umetupiliwa mbali na vijana wa leo wanaoamini kuwa Tabia inafundishika.

Sasa kwa maisha ya sasa na jinsi minavyowaona wadada wa kileo kama ukimiliki msichana mrembo wa kuvutia na hauna hela ujue kuna mambo mawili, kwanza yawezekana una zali la mentali, ambalo kwa miaka hii ya karibuni limepotea, pili unasaidiwa pia kula chakula cha ndoa na mtu mwingine mwenye pesa.

Ili kuondokana na kero hii njia kuu ni moja kupigana kiume, usiku na mchana kuzisaka pesa, ukizipata utapata mrembo wa aina ile unayemtaka vinginevyo kumiliki binti mrembo na mzuri wa sura ni ndoto za alinacha.

Kama wanaume tukiwa wavivu kujituma tutegemee mambo mawili kwanza kukumbatia ule useme wa mwanamke tabia na kutumia usemi huu kama kimbilio letu la kujitenga na mabinti warembo au tusubiri zali la mentali.
Mkuu nawe una ndoto za kumiliki mrembo?
 
Haya maneno ya kujipa moyo tu, kama wengi wasemavyo uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu....Whoopi alianza kushika pesa kabla ya Beyoce lakini hamfikii Beyonce kwa uzuri! Oprah ni billionare lakini hamfikii Beyonce kwa uzuri.....
[emoji39] Mkuu una Point....yani kuna watu wanazaliwa naturally warembo tu....na wengine mikorogo tu ndio inawakubali wanakua warembo[emoji4]
 
Siku zote mwanamke km hajakupenda hajakupenda hata ufanyie nini,,, na Siku zote pesa haiwezi kununua upendo wa dhati pesa hauwezi kununua furaha ya moyo pesa hauiwezi kununua mapenzi,,, ila pesa inaweza kununua NGONO unaweza ukawa hauna pesa na mwanamke akukupenda tena anakila sifa ya kuitwa mwanamke huna hata mia lkni karidhika na wewe,,, vile vile unaweza ukawa na pesa lkn mapenzi takakutesa vilivyo kila Siku kwako nikilio afadhali ya Jana,,,, Mapenzi si pesa vijana wenzangu tuamke tuache kudanganyana na km mababu zetu wangekuwa wanajali sana fedha wa na mabibi zetu sidhani hata sisi Leo tungekuwepo,,, mapenzi ni zaidi ya pesa.. Unaweza ukawa na pesa lkn huna furaha ya moyo lkn unaweza ukawa huna pesa lkn huoni kuwa km huna pesa kila siku wewe ni MTU wa tabasamu na niwape siri moja asilimia 50% ya wanaume wanaoimba kila siku mapnzi ni pesa hawajiamini ndiyo sababu wanaona bila pesa huwezi kupata mpnz mzuri wa jinsi unavyomtaka wewe,, alfu kitu kingine mazingira unayojiweka hivyo hivyo unapata mpnz kutokana na ulivyo,, naabishaye yeye jeuri, ukimpata anaye kupenda kwa dhati alafu hayupo venye unataka wewe, nenda ka mbadilishe awe jinsi utakavyo wewe hayo ni yangu akili zangu mwenywe
[emoji8] ubarikiwe
 
inamana mkuu wenye pesa wake zao hawaliwi?

Ifike mahali tusidanganyane mkuu mwanamke ni akuridhie mwenyewe ila swala la kumiliki mwanamke kisa pesa hapa tunafeli sana mkuu ,maana wenye pesa kila siku wanachapiwa na tunashuhudia mitaani ..

Kuwa napesa hakusababishi mwanamke wenye kujielewa kukubali


huwa tunashindwa kuelewa kuna mwanamke na kijimwanamke
Nakuelewa kinoma nyoka babu ujawahi niangusha katika comment zako... Udumu....
 
Espy kila kitu kina nafasi yake ikiwemo pesa tunachokataa kuipa pesa nafasi kubwa kuliko nafasi yake yenyewe hiyo pesa

Mapenzi Sio pesa ila pesa ina kajisehemu kadogo kwenye ustawi wa mapenzi

Tusiipe pesa nafasi kubwa ya kutawala mapenzi na ndomana siku ikiondoka huwa na penzi linasambaratika .

Sababu kubwa penzi lenu kubebwa na pesa na kuimarishwa kwahiyo nguzo inapoanguka lazima penzi nalo lianguke
Usiseme ina kijisehemu wakati hata nafsi yako inajua si kweli, ina nafasi kubwa tu, huo ni mfumo wa maisha kwa ujumla na mapenzi yakiwemo, hivyo ikikosekana hata mapenzi yanaathirika pia. Ifikie hatua tukubaliane na uhalisia.
 
Back
Top Bottom