Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

jaman wana MMU tumsaidiaje huyu mzee inaonekana kama anogopa kubakwa

mapenz ya mwendokasi ayoo!!!
 
Hahahaha!!kati ya mitandao ya kijamii inayonifurahishaga pale tu ninapo log in ni huu mtandao pendwa wa JAMIIFORUMS hasa jukwaa pendwa la MMU..Jf na iheshimiwe na watu wote milele ameeeen.
 
Hahahaaaa! Iam around 60 yrs, but if a loose girl like the one in this case comes by my way, I wouldn't mind eating her pussy man...
 
Sasa si umpe mwenzio japo hata usiku mmoja tu. Mungu anakuona shauri yako
 
kwa akili hizi za baadhi ya watanzania nina uhakika ccm itatawala milele.
 
Habari za jioni wakuu,

Kuna swali huwa najiuliza sana kwa kipindi kirefu sana katika maisha yangu na bila kupata majibu sahihi ya swali langu, kipi hasa watoto wa kike wanachokitaka, pesa au mapenzi ya kweli.

Mfano utakuta mdada ana mtu wake mwenye pesa lakini bado anakituliza roho chakepembeni na pia utamkuta dada anakituliza roho lakini anahaha kumtafta bwana mwenye pesa sasa huwa naashindwa elewa hasa hawa dada zetu kipi wanataka na je kuna uwezekano mtu kupata vyote.

Namaanisha akawa anapata mapenzi ya kweli na pesa wakati huo huo na kama inawezekana mnijuze na kama inashindikana mnisaidie ni nini hasa hawa dada zetu wanataka hasa kwenye maisha. Maana ukimkuta mwenye pesa anatafuta mapenzi ya kweli na mwenye mapenzi ya kweli anataka na mwenye pesa? Yupo alobarikiwa kupewa yote kwenye maisha.

Naombeni msada wenu katika hili naamini ntajifunza mengi kutoka kwenu,
matusi sitaki wala kejeli maana sijamtukana mtu wala kumkejeli mtu ukiona hulielewi pita tu mbali mzee.

Nawasilisha
 
Women want what is not around. Ukiwa na busara hazitatosha atataka mkali mkali. Ukiwa na pesa atataka asiye nazo ili tu amringishie na kumhonga hizo hizo za aliyenazo.

Ukiwa dr atataka soja..ukiwa soja atamtaka ticha.

NB: ni mbaya kuhitimIsha tabia za mwanamke mmoja kwa wanawake wote.
 
Women wants everything.......


akipata handsome atataka mwenye dushelele kubwa
akipata tajiri atataka anaejua kusikiliza
akipata anaejua kusikiliza atataka anaejua kuhonga
hayaishi mahitaji yao.....
Duuuh mkuu umenifunguwa macho maana umetambaa kwenye wigo mpana shukran na endelea kunishushia mauzoefu juu ya hawa watu
 
Hawaeleweki hao kama ilivyo papuchi yao...akiinama iko mbele,akisimama iko chini akilala iko juu,akifanya hv iko vle ili mradi tafrani tuuuuu...
Da kweli mkuu sasa tunafanyaje ili twende nao sawa maana mimi sioni jema kwao
 
Women want what is not around. Ukiwa na busara hazitatosha atataka mkali mkali. Ukiwa na pesa atataka asiye nazo ili tu amringishie na kumhonga hizo hizo za aliyenazo.

Ukiwa dr atataka soja..ukiwa soja atamtaka ticha.

NB: ni mbaya kuhitimIsha tabia za mwanamke mmoja kwa wanawake wote.
Kweli kabisa kipi cha kufanya maana nimekuelewa vilivyooo mkuu na shukran kwa uchambuzi wako
 
Back
Top Bottom