Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Wanaume wanavyo define upendo ni tofauti kabisa na wanawake.

UPENDO KWA MWANAMKE NI PAMOJA NA:-
Kuwa huru kufanya chocho anachojisikia na asiingiliwe wala kubughudhiwa kwenye hilo,

Atimiziwe kila kitu anachotamani kuwa nacho au kukipata.

Kwenye swala la pesa akipewa moja atataka mbili, akipewa mbili atataka tatu ni marathon.

Kila mwanamke mrembo anataka wanaume woooote wenye hela wawe wake.

Wanaposhindwa kuwa tayari kugegedwa huangushia jumba bovu kwa mwanaume eti hakumuandaa (yeye hawezi na hataki kujiandaa au kuwa tayari)

Asipofika kileleni analaumu hajafikishwa wakati hakufanya jitihada za kutoka mabondeni, most of the time wanawaza pesa badala ya kuusikilizia muziki wa kuwapeleka "monduli juu"

Failure za wanawake mara zote analaumiwa mwanaume.

Nitarudi kwa ajili ya kiumeni. Keep on reminding me.
 
nisaidie mkuu ivi mtu kama huyo ungemuelewaje? ukizingatia wote atuna kazi?
Sasa wote hamna kazi, unato wapi pesa ya kumnunulia gesi ilhali Mama yako anatumia jiko la mkaa, halafu unatoa huduma zote hizo hadi kwao lakini bado unasema ni Mpenzi wako, tafakari kwanza unachohitaji kutoka kwa Mwanamke wa maisha yako.
 
kuna mwanafalsafa mmoja alisema mwanamke akiwa na mabwana wa2 m1 akamnunulia gari na mwingine akamnunulia ua wote mnakuwa na points sawa bila kujali kipi kina gharama
kwa hiyo mm nakushauri achana naye kwani hata ukianza kumpa pesa baadae ataona hazitoshi

ACHANA NAYE,
PIGA CHINI
ATAKUSUMBUA
 
Mwanamke wee mpe hela tu, mengine achana nayo we mpe hela!halafu ndio umpe na maua, lakini hela kwanza
 
Mwambie sawa Nimeshindwa Harafu unadelete na Numba unajaribu atekae kupenda Acha kulazimisha ,,Yawezekana umechokwa
 
usijibu kata simu hlf mapenzi ndo yaishie hapo yaan usipokee simu wala kusoma sio kujibu yan ht kusoma msg aliyotuma hamna mwanamke mpuuzi km asiyejua kuapriciat effort za mwanaume hafai ht kwa bure
 
usijibu kata simu hlf mapenzi ndo yaishie hapo yaan usipokee simu wala kusoma sio kujibu yan ht kusoma msg aliyotuma hamna mwanamke mpuuzi km asiyejua kuapriciat effort za mwanaume hafai ht kwa bure
 
Dah, kuna msichana umri wake yapata 20yrs mimi nina 40 yrs. Huyu msichana alikuwa anaonyesha kunitaka lakini nampotezea sana, sasa leo amenitega kweli, amenikuta sehemu yangu ya kazi kaanza kunipigisha story mara dada yangu kasafiri (anaishi kwa dada yake), mi nikajua tu anataka anipe mambo.

Sasa nikazuga ili kumpotezea, mara ananiambia naogopa kulala peke yangu, nikawa si comment chochote, mwisho akaniambie, naomba uje home leo usiku hali anajua mi nina mke. Sipendi kufanya mapenzi kwa kutumia condomu na pia kama siijui afya ya mwanamke sipo tayari kufanya mapenzi. Kwa vile huyo msichana ametokea kunizimia, nami sina mazoea naye sana (siijui background yake) naogopa kumvunja moyo.

Simuelewi anataka mapenzi au anataka pesa zangu nifanyeje wakuu ili nisimkatishe tamaa, yaani amenilazimisha sana.
 
Back
Top Bottom