Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Dah, kuna demu umri wake yapata 20yrs mimi nina 40 yrs. Huyu msichana alikuwa anaonyesha kunitaka lakini nampotezea sana, sasa leo amenitega kweli, amenikuta sehemu yangu ya kazi kaanza kunipigisha story mara dada yangu kasafiri( anaishi kwa dada yake), mi nikajua tu anataka anipe mambo. Sasa nikazuga ili kumpotezea, mara ananiambia naogopa kulala peke yangu, nikawa si comment chochote, mwisho akaniambie, naomba uje home leo usiku hali anajua mi nina mke.
Sipendi kufanya mapenzi kwa kutumia condomu na pia kama siijui afya ya mwanamke sipo tayari kufanya mapenzi. Kwa vile huyo msichana ametokea kunizimia, nami sina mazoea naye sana ( siijui background yake) naogopa kumvunja moyo. Simuelewi anataka mapenzi au anataka pesa zangu
Nifanyeje wakuu ili nisimkatishe tamaa, yaani amenilazimisha sana.
Kama huna uhakika na hafya yake we muulize"eti baby ulishatembea na wanaume wangapi
?Jibu utalopata ni hili "mmoja tu baby ila wewe ndo wa pili[emoji12] [emoji12] [emoji84]
 
Una ela au Vicent mkuu?anyway,kapenda ivyo vijicent vyako.mpe tuu bila mgegedo.
 
Kwani akiri yako inakutumaje kwa hilo hebu tuambie kwanza maana maelezo yako yanamkanganyo
 
Njoo kwanguu sitaki pesa zakoo.[emoji1] [emoji2] [emoji3] ni ushauri tu napenda nikupe
 
Una miaka 40 kweli?
au wewe ndo mwenye 20 huyo dada ana 40?
Maswali muhimu haya. Nimejiuliza sijapata jibu. Post hii ilitakiwa iwe ya kijana aliye katika umri wa 20s. Mfikirie Zitto aliyetimiza umri huo atoe hoja kama hizo. Aiseeeeee
 
Kuwa mkweli basi...kati ya wew na yey nani anamiaka 20...naona kama umekosea kutyp hapo
 
Back
Top Bottom