Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kweli kabisa kipi cha kufanya maana nimekuelewa vilivyooo mkuu na shukran kwa uchambuzi wako
Mwanamke ni waziri mkuu. Mwaname ni rais. Mfanye waziri mkuu wako atende unayoyaamini bila kumlazimisha wala kumbughudhi
 
Mi pesa wala haina nafasi katika mapenzi. . . Napenda kupendwa tu na mchumba angu

Pesa baba angu ananipaga
Utapewa hadi lini? Je ukikutana na boi venye anakupenda na bado ana vinje/cash? Na ukakutana na jua kali na anaupendo ule ule(usiniulize nimepimaje) kama wa chali ako na vinje.. Utachagua yupi
 
Utapewa hadi lini? Je ukikutana na boi venye anakupenda na bado ana vinje/cash? Na ukakutana na jua kali na anaupendo ule ule(usiniulize nimepimaje) kama wa chali ako na vinje.. Utachagua yupi
Nitachagua ninayempenda zaidi kati yao
 
Wana taka vyote, yaani ukiweza kumkuna vizuri na pesa unayo hapo habanduki ng'oooooo
 
Mi pesa wala haina nafasi katika mapenzi. . . Napenda kupendwa tu na mchumba angu

Pesa baba angu ananipaga
Hahahaha ustaki kunichekesha huwa mnasemaga ivo ivo mwisho wasiku unakunagundua kuwa unamshefa
 
Wana taka vyote, yaani ukiweza kumkuna vizuri na pesa unayo hapo habanduki ng'oooooo
Mkuu na inawezekana ukawa navyo vyote maana wengi wenye pesa huwa hawana muda wa kumridhisha mwanamke wanachojuwa wao kujiridhisha ww usio kuwa na kitu na utahakikisha unamridhisha maana ndo kete yako ya mwisho ukifeli hapo unaachwa[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom