Reasonable doubt!Una miaka 40 kweli?
au wewe ndo mwenye 20 huyo dada ana 40?
Hahaaa aaaaaa [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji104] he sounds definitely like teenager!!Una miaka 40 kweli?
au wewe ndo mwenye 20 huyo dada ana 40?
we ni mtu mzima tumia busara zako hapoDah, kuna demu umri wake yapata 20yrs mimi nina 40 yrs. Huyu msichana alikuwa anaonyesha kunitaka lakini nampotezea sana, sasa leo amenitega kweli, amenikuta sehemu yangu ya kazi kaanza kunipigisha story mara dada yangu kasafiri( anaishi kwa dada yake), mi nikajua tu anataka anipe mambo. Sasa nikazuga ili kumpotezea, mara ananiambia naogopa kulala peke yangu, nikawa si comment chochote, mwisho akaniambie, naomba uje home leo usiku hali anajua mi nina mke.
Sipendi kufanya mapenzi kwa kutumia condomu na pia kama siijui afya ya mwanamke sipo tayari kufanya mapenzi. Kwa vile huyo msichana ametokea kunizimia, nami sina mazoea naye sana ( siijui background yake) naogopa kumvunja moyo. Simuelewi anataka mapenzi au anataka pesa zangu
Nifanyeje wakuu ili nisimkatishe tamaa, yaani amenilazimisha sana.
Reasonable doubt!
na mm ndio najiuliza hapa kabla sija comment, 40 yrs like seriously?Una miaka 40 kweli?
au wewe ndo mwenye 20 huyo dada ana 40?
Dah, kuna demu umri wake yapata 20yrs mimi nina 40 yrs. Huyu msichana alikuwa anaonyesha kunitaka lakini nampotezea sana, sasa leo amenitega kweli, amenikuta sehemu yangu ya kazi kaanza kunipigisha story mara dada yangu kasafiri( anaishi kwa dada yake), mi nikajua tu anataka anipe mambo. Sasa nikazuga ili kumpotezea, mara ananiambia naogopa kulala peke yangu, nikawa si comment chochote, mwisho akaniambie, naomba uje home leo usiku hali anajua mi nina mke.
Sipendi kufanya mapenzi kwa kutumia condomu na pia kama siijui afya ya mwanamke sipo tayari kufanya mapenzi. Kwa vile huyo msichana ametokea kunizimia, nami sina mazoea naye sana ( siijui background yake) naogopa kumvunja moyo. Simuelewi anataka mapenzi au anataka pesa zangu
Nifanyeje wakuu ili nisimkatishe tamaa, yaani amenilazimisha sana.