Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hapo mwanzo alisema anaumwa jino nikampa pesa akang'oe hiyo pesa nilifosi sana maana nilikuwa sina ikapita sasa juzi nampigia simu apokei miss call zidi ya nne asubuhi miss call 2 jioni miss call.

2. Sasa jana akanibeep nikampigia baada ya salaamu ananimbia tumbo linauma yuko kwenye period nikamwambia pesa sina wangu unabahati mbaya na mie maana kila unapo kuwa na shida kwa kipindi hiki pesa nakuwa sina lakini usiwaze subiri mwezi ukigeuka nitakuwa vizuri.

Kwa sababu kuna vitu nilifanya ndivyo vilivyonigalimu mpaka nimeishiwa pesa sasa nikarudi kwenye point kwanini jana akupokea simu yangu. Kheeee!

Akanikatia simu wadau
kama hujala mzigo basi tena....apo hakuna jipya ni kuchunwa tu...fanya ule ili muwe sawa
 
mpende sana mwanamke anayependa pesa anakupa morali kila kukicha kuzitafuta zaidi mng'ang'anie huyo kama ruba usimwache
 
Jamani! sasa kama kakata simu si ungempigia tena??
 
ImageUploadedByJamiiForums1456413636.228420.jpg

Siku zinasonga na maisha yanabadilika,Unakumbuka miaka ya 90's jinsi mapenzi yalivyokuwa na nguvu?
Vipi leo,Bado mapenzi yanaile nguvu yake ya asili au fedha ndio mpango mkakati kwa sasa?
Kwa mitazamo yenu,Ipi nafasi ya fedha kwa sasa na ipi nafasi ya mapenzi.Kipi kinanguvu kati ya Hela na mapenzi?
Vinategemeana au havitegemeani?Na kama havitegemeani kipi chenye nguvu?Mapenzi Vs Fedha..!
 
Bado yana nguvu ile ile.ukiona tofauti ujue either wakati wa kujipambanua haujafika.
 
Yana nguvu kubwa sana, hujawah ona mke wa mtu anamsaliti mumewe tajiri kwa kapuku tu, ukija kuuliza unaambiwa yule mwanamke pale alikuwa haambiw wala hasikii la mtu
 
Dunia imebadilikaa, hata km mapenz yapo ni kwa wachache na huwez tolea mifano ila sasaa ni [emoji389] [emoji389] [emoji389] [emoji389] [emoji389]
 
Mapenzi ni hisia zinazotoka mioyoni mwa wapenda nao...na sio mifukoni mwa wapendanao....wapendanao hutumia pesa kunogesha penzi na kulifurahia penzi....hii inatokana na mfumo wa maisha kuwa huwezi kwenda sehemu za raha na umpendae bila ya kuwa uwezo wa kumudu gharama za mahali hapo....
Lakini vile vile kamwe pesa haiwezi kununua penzi bali pesa hununua tendo la ngono....

Dhana kubwa ya kuwa fedha ina nguvu kwenye mapenzi ni kutokana na wadada wengi na wakaka kuitumia miili yao kama vyanzo vya kujipatia kipato.....

WATU WANATAKIWA WAJUE KUTOFAUTISHA KATI YA ULIMWENGU WA MAKAHABA NA ULIMWENGU WA MAPENZI.....
 
mapenzi mbona yanajitegemea yenyewe, ila ukiyoforce yatakuonyesha, teh!
 
Wadau wote wa Jf habari za leo,Mungu awabariki sana.

Nina swala moja nataka kujiuliza kwenu kwamba hivi tokea nianze uhusiano na msichana ambaye ni mpenzi wangu haja wahi kuniomba hela.

Yaani mpaka mimi niamue kumpa kiasi fulani cha ndio anapokea, lakini yeye huwa hawezi kuniomba hela. Hivi nikwanini ebu naombeni mnisaidie kwaupande wa uzoefu wenu pamoja na mawazo yenu.
Hakuna mapenzi bila pesa, na ndio maana hajakuomba lakini unampa pesa, baadhi wanaweza kukataa mdomoni lakini huo ndio ukweli, na huyo wako ni mjanja anajua kwa wanaume wengi ukimuomba pesa ni sawa kuchana tiketi ya kuolewa na malengo yake ni kuolewa.
 
Kizazi hiki pesa ndio sabuni ya roho,msipoteze muda kusaka au kuwinda mapenzi kwa ngonjera na sms kibao,kwanza saka mpunga wa kutosha,na ikibidi nunua asset za kiwango nyumba mzuri na usafiri wa uhakika,ndio mtego wa penzi la kileo.Lakini hakikisha ufulii au sivyo atakukimbia
 
Wenye kumegewa wengi kuna kitu wamekosa,habari zenu wana jamii tuache kutumia mda mwingi kwa kuupoteza social network bila ya faida kama na wewe inakuhusu naomba unitafute kupitia watsap number yangu +255656202162 nikuelekeze nini chakufanya kikakupa kipato na kufanya miradi mbali mbali
"Mapenzi kamari lakini hajui kukupuna"?
KARIBU SANA KIJANA
 
Back
Top Bottom