Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Inawezekana ana overlook hayo unayomfanyia.
Mueleze kwamba hiyo simu niliyokununulia ndio sijali? Au unataka niwe nakupa pesa mkononi mama?
asante umeniongezea kitu...dah tusio na pesa kwa hali hii tutaishia kuwaita kinadada shemeji
 
Kushindwa kupo lakini hapaswi kuwa na kauli za kijinga namna hiyo kwani wangapi wenza wao wana smart kali tu zaidi ya maza inaonekana anataka kurenew contract from somewhere ndo maana sababu kibao anatoa, mimi katika maisha yangu hakuna kinachonikera kama kauli zinaweza kunifanya nimuache kabisa bila kutegemea. Anapaswa kumtia moyo mwanaume na sio kumchamba aende akaolewe sasa na NMB au M-PESA Pumba kabisa.
 
Kushindwa kupo lakini hapaswi kuwa na kauli za kijinga namna hiyo kwani wangapi wenza wao wana smart kali tu zaidi ya maza inaonekana anataka kurenew contract from somewhere ndo maana sababu kibao anatoa, mimi katika maisha yangu hakuna kinachonikera kama kauli zinaweza kunifanya nimuache kabisa bila kutegemea. Anapaswa kumtia moyo mwanaume na sio kumchamba aende akaolewe sasa na NMB au M-PESA Pumba kabisa.
asante mkuu nimekuelewa sana sasa nifaje katika hilo nipo njia panda kijana mwenzio.
 
Joyce kiria kaalibu watu.wakina Cherroke D'Ass waje bongo kuchukua vipaji vipya,watu wamegeuza mbushe dili

Wakacheze porn Tu kwa maana hakuna namna
 
asante mkuuu nina mawazo sana ningekuwa mlevi ningelala baa leo
Wanawake wengine sio waelewa mkuu, tena hawathamini misaada midogomidogo, hata ukiwapa mikubwa kam magari pia watakuudhi tu.
Yaani ingekuwa mimi tena ningecheeka na kuendelea na mambo yangu kiroho safi.
Labda ndo unaanza mahusiano.
Hicho ni cha mtoto makubwa yanakuja jiandae
 
Sasa mkuu mbna easy tu yale uliyokua unafanya kupitia kujiongeza yageuze kuwa cash then uwe unatuma same amount then ajue kua kutunzwa ni zaid ya kupewa hela.
Ikitokea shida/raha toa mchango then kaa kimya
 
Wanawake wengine sio waelewa mkuu, tena hawathamini misaada midogomidogo, hata ukiwapa mikubwa kam magari pia watakuudhi tu.
Yaani ingekuwa mimi tena ningecheeka na kuendelea na mambo yangu kiroho safi.
Labda ndo unaanza mahusiano.
Hicho ni cha mtoto makubwa yanakuja jiandae
nifanyaje mkuu...ni kweli mimi bado sijakomaa kwenye mahusiano nishauri tafadhali
 
Sasa mkuu mbna easy tu yale uliyokua unafanya kupitia kujiongeza yageuze kuwa cash then uwe unatuma same amount then ajue kua kutunzwa ni zaid ya kupewa hela.
Ikitokea shida/raha toa mchango then kaa kimya
asante mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako.
 
Kama pesa inatuliza mwanamke basi kuna waziri flani ana hela hatari sana. Lakini mkewe anagegedwa na jamaa bwege kabisa hana lolote. Mwanamke ukimpa hela shida ukimpa zawadi shida. Hapo mkuu umefanya kosa kumpa hio simu ya bei kubwa ndio imemfanya kupanda chati sasa. Ushauri wangu meza mate tafuta mpya lakini hata huyo mpya usitegemee kuwa malaika. Mimi kwa sasa nagegeda tu moyo wa mapenzi nimeutia pause kwanza. Manake waigizaji wengi kuliko hali halisi yaliokufika yameshawafika wengi na hio kauli ya dharau ndio imeanza hapo kuna muendelezo tu tena. Hakuna maneno matamu tena(kishakuchoka huyooo)
 
Back
Top Bottom