Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,653
- Thread starter
- #41
Kutoka muhimuNa sisi wagonga ulimbo(waganga njaa) tunaruhusiwa kuchagua wa kutoka nae?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kutoka muhimuNa sisi wagonga ulimbo(waganga njaa) tunaruhusiwa kuchagua wa kutoka nae?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Unatakiwa uje utujuze, miujiza bwana aliyokutendeaMimi tena mrejesho?😂😂😂😂nitake radhi
Tupe uzoefu, utatoka nao vipi wote kwa wakati mmoja?Mie natoka na mademu wanne hapa JF ila hawajuani mmoja ni mke wa afande, mwingine ni mwanachuo halafu wawili ni single mothers tena mmojawapo kazaa na mzungu
NB: wote hawa niliwapata kwa kutumia ID yangu nyingine tofauti na hii maana huwa nikitumia Id hii mademu wa Jf wananitosa kisa nauzaga majeneza ila nikitumia ile Id fake ambayo napendaga kuongelea maada za magari ya bei na safari za nje ya nchi huwa warembo wa humu wanaingia mkenge maana wengi wao wana tamaa halafu hata tukionana akaniona muonekano wangu (bonge japo sio kama Peter Msechu) hawa warembo wanaamini mie ni mfanyabiashara mkubwa wa magari hawajui kama ndo yule muuza majeneza na sanda wa hapa Dodoma
Wakulungwa sio watu wazuriEmbu mtaje maana ushanchanganyia mambo. Hayo masifa uliyoyasema tanafanana na nnayetaka kutoka naye
We mtu anatoa description zinafanana na za mwingine, si ataje tu jina yaisheWakulungwa sio watu wazuri
NdioTupe uzoefu, utatoka nao vipi wote kwa wakati mmoja?
MweNye kiti wa Nini??Utakuwa mwenyekiti wa kamati
Hapigi mizinga kweli
Anajiandaa kwa mashambulizi
Mimi nimetamani kutoka na wewe siku nyingi Sana tatizo unanichomoleaga nje tu.Nipe fursa basi hata leo tu.Nitatoka na Mtu atakaye kibali kutoka na mie ila asiwe mchovu
ha ha ha
Katoto sio kasumbufu?
Utakuwa na nani?Mmmmh
Simu lazima iwe na chaja; unaishije?Mim sina mchumba sina, sina kipozeo, sina kishikwambi nipo kama sipo hapa ndani.
Wa huku hawana makuuMimi wangu mda huu anakula bata pangani pekee yake hana hata mpango na mimi