Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

😅😅😅 mkuu huchoki kufanya matusi

sie bado vijana hatujamaliza bado 😅😅😅

Mie namalizia ngwe ya mwisho mwisho namuachia game Mzee wa kupambania

soon nafunga ndoa takatifu 😁😁 nipo hapa nasaka mke ambae atakuwa amefanana na mie
Mzee baba legend National Anthem naona unakaribia kutundika daruga. Tasnia ya uchakataji mbususu umeitendea haki 🤣🤣🤣
 
Take self ujue unapigania Nini kesho mpige self muone kazeeka .
Mume ametukanwa !?? Kwa lipii??
Madam unajua matusi ??

Ngoja nikupe mfano ya vitu vya mtu kama mie. I think umeerewa vitu vidogo pesa pia ipo mtoko wa mumeo mwisho wapi??
Dubai au Newyork kwenye zile hotel za five stars??

Sie matamanio ndio haya bibie pole umekosea njia
Mmh
 
Back
Top Bottom