Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,560
Sir, dogo gani huyo? Au huyo mdada niliyemnukuuHuyu dogo tangu utotoni alikuwa anang'ata nyonyo za mama sana, msumbufu hatari🤣🤣🤣
Sir, dogo gani huyo? Au huyo mdada niliyemnukuuHuyu dogo tangu utotoni alikuwa anang'ata nyonyo za mama sana, msumbufu hatari🤣🤣🤣
😅😅😅 uje leo tuvute uone raha nayopata mwenzako , hata hamu ya kuwa na wapenzi inakuwa haipo unaweza ishi single foreverVitu unavuta hata shetani anashangaa🤣🤣🤣
Namuongelea National Anthem mkuuSir, dogo gani huyo? Au huyo mdada niliyemnukuu
Nyau wewe🤣Umbwaaa hiii!!!
![]()
Weeeeeh!! Mimi niishi single mimi? Ili nigundue mbadala wa O2 au😳😳😳😳😳😅😅😅 uje leo tuvute uone raha nayopata mwenzako , hata hamu ya kuwa na wapenzi inakuwa haipo unaweza ishi single forever
Weeeeeh!! Mimi niishi single mimi? Ili nigundue mbadala wa O2 au😳😳😳😳😳
Akuuu, vuta mwenyewe.
Mkuu wewe matawi sana na Mzee wa kupambania😅😅😅 kwani tunao ishi single tunagundua nini zaidi ya kupigika tu, na hatuna kibalo mbele za Bwana ila tuna kibali cha uhuru usio na mipaka
😅😅😅 mkuu huchoki kufanya matusiMkuu wewe matawi sana na Mzee wa kupambania
Niliwaona mnajadili watoto wa kimataifa mara mnaenda Taiwani mara Malaysia kutuliza hamu zenu mnarudi bongo.
Nyie ni wa moto sana.
Sisi na ERoni tupo na wazee wenzetu akina Cillah humu🤣🤣🤣
Najua huo uhuru usio na mipaka ndio unaoutaka. Huo uhuru sio mzuri. Ndio manaa unavuta vitu vya ajabu.😅😅😅 kwani tunao ishi single tunagundua nini zaidi ya kupigika tu, na hatuna kibalo mbele za Bwana ila tuna kibali cha uhuru usio na mipaka
Nani aje kumalizia na kopo lililotumika dunia nzima?🤣🤣🤣🤣😅😅😅 mkuu huchoki kufanya matusi
sie bado vijana hatujamaliza bado 😅😅😅
Mie namalizia ngwe ya mwisho mwisho namuachia game Mzee wa kupambania
soon nafunga ndoa takatifu 😁😁 nipo hapa nasaka mke ambae atakuwa amefanana na mie
Hebu liache lizee langu lisilo na hela asijejing'ata na hata bima ya afya hana🤣🤣🤣🤣Mkuu wewe matawi sana na Mzee wa kupambania
Niliwaona mnajadili watoto wa kimataifa mara mnaenda Taiwani mara Malaysia kutuliza hamu zenu mnarudi bongo.
Nyie ni wa moto sana.
Sisi na ERoni tupo na wazee wenzetu akina Cillah humu🤣🤣🤣
😅😅😅 sipendi haya mambo, acha niendelee tumia uhuru wangu ipasavyoNajua huo uhuru usio na mipaka ndio unaoutaka. Huo uhuru sio mzuri. Ndio manaa unavuta vitu vya ajabu.
Namuonea huruma huyo wifi yangu. Sijui kamkosea Mungu nini kikubwa hadi apewe National Anthem awe mumewe🤣🤣🤣🤣Nani aje kumalizia na kopo lililotumika dunia nzima?🤣🤣🤣🤣
Cillah?
Sema lile dishi kuyumba lilijua kuropoka🤣🤣🤣🤣Ayatoe wapii!! Kapaukiana tu🤣🤣🤣
😅😅😅 alafu ujue atafaidi sana, si umesikia watu wabaya tunakufa mapema, atakuja abaki na urithi wake kiroho safi na mie namrisisha kila kituNamuonea huruma huyo wifi yangu. Sijui kamkosea Mungu nini kikubwa hadi apewe National Anthem awe mumewe🤣🤣🤣🤣