Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

Aaah kumbe Balozi upo katikati kuweka mambo sawa,
Ndugu Balozi kweli upo tayari kubeba hili
Naomba nikuhakikishie, huyu ni kijana wangu namuaminia kabisa. Atautangazia umma ili uwe huru. Hem mkubalie kijana nae ale mema ya nchi
 
Naomba nikuhakikishie, huyu ni kijana wangu namuaminia kabisa. Atautangazia umma ili uwe huru. Hem mkubalie kijana nae ale mema ya nchi
ERoni sikujua kumbe umesomea BA in international Relationship
 
Kwenye Zaburi Daudi aliandika hivi:

Onjeni muone kuwa Bwana ni mwema.

Nakushauri thubutu kuwa wangu hutojuta mrembo😍
Jitahidi mkuu muda ni mchache mafisi wasituwahi🤣
 
Kwenye Zaburi Daudi aliandika hivi:

Onjeni muone kuwa Bwana ni mwema.

Nakushauri thubutu kuwa wangu hutojuta mrembo😍
amadala pls, hear him out(sijui nimepatia ila msikilize kijana). Wewe hutaki kufurahia mema ya Tanzania?
 
Back
Top Bottom