Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Sawa Mkuu...Ndio, huo ndio ukweli.
Ratiba imejaa na ni ratiba nyeti kuliko.
Sawa Mkuu...Ndio, huo ndio ukweli.
Ratiba imejaa na ni ratiba nyeti kuliko.
hukunielewa mkuu.Ninekusoma mkuu🤣
Binadamu uliyekamilika, inakuwaje ukose mtu?Tusiokua na watu tujuaneee![]()
Anaogopa mizinga ya hapa na palePamoja Mwana....
Kwamba huna ratiba ya kuonana na Mwana JF yoyote![]()
Napewaga tu Baby girl treatments....Na uzuri alionao kweli asipige mizinga?

🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka mno...
Huyu sio jobless, pili ni mcha Mungu, tatu ana malezi bora kabisa.Na uzuri alionao kweli asipige mizinga?
Habari zipi hizo mjomba!!
Madhara kwenye nini?