ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,554
- 119,574
Maisha yanataka hivyo, sifi leo wala kesho kwa kuwa sitapata stress. Ila hata wewe uko kama mimi tu mkuu.Ninakukubali unajua kuishi na watu sana mwamba
Maisha yanataka hivyo, sifi leo wala kesho kwa kuwa sitapata stress. Ila hata wewe uko kama mimi tu mkuu.Ninakukubali unajua kuishi na watu sana mwamba
Unajua vile nakukubali mtu wangu.
Nilitegemea hili....sawa
Kuna raha sana kuishi kama mjinga flani ilhali unajua ukifanyacho🤣🤣Maisha yanataka hivyo, sifi leo wala kesho kwa kuwa sitapata stress. Ila hata wewe uko kama mimi tu mkuu.
Wallah shem ile selfie ikajaa kwenye kiti, nikajisemea huyu Mungu amembariki zaidi, ukajaza vile viti vya cello, unekalia juu juu...hivi unakumbuka nilikuambia eh![]()



Unajua vile nakukubali mtu wangu.
Ubarikiwe sana kwa wema wako.
Nisisubiri kutoa historia nikupe haki yako ukiwa hai.
Barikiwa mnoo





Mmmmh haaa heeee
Taratibu Shem wangu...
Pambania kombeDaaah!!
Ninayetoka naye Mimi katajwa na mwingine!
Cheupe mbona unafukua makaburi ya Unique tena![]()

we mzee nimeshindwa kuvumilia na kupita kimya mnisamehe tu bure
Inauma sana auntie
Mkuu pale ni pa moto, hapaeleweki wallah! Ukiingia kizembe unaweza anikwa mchana kweupe![]()



pamoja na kupigwa mishale mingi we mzee kumbe waoga
Ndg yangu shunie...Halafu ukawa unachochea moto
Maisha yanataka hivyo, sifi leo wala kesho kwa kuwa sitapata stress. Ila hata wewe uko kama mimi tu mkuu.


mnanifurahisha nyie wanaume wawili
Maisha mafupi mwanangu, kuzimu hakuna kucheka😄mnanifurahisha nyie wanaume wawili