Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,483
- 176,531
🤣🤣🤣🤣🤣lizee lako ambalo halina hela
Huu ni msiba auntie!! Inabidi kikao cha ukoo cha dharura kikae. Sasa lizee halafu halina hela si balaa hili🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣lizee lako ambalo halina hela
Sikuitia tu flower akupe vidonge vyako.
Nitafute kwa kweli....
Ila isije ikaleta balaa Shem...
Ugomvi siwezi mimi![]()
Tulikuwa tunapiga story tu babe!!Kunani tena babe!!
Huu ni msiba auntie!! Inabidi kikao cha ukoo cha dharura kikae. Sasa lizee halafu halina hela si balaa hili![]()


ndio vizuri auntie chaguo lako hilo mzeeke pamojaAuntie hiyo kauli huwa ni tanu siku ya kufunga ndoa tu🤣🤣🤣ndio vizuri auntie chaguo lako hilo mzeeke pamoja
Kaniumiza kweli kaenda kuleta sijua hawara zake au kaenda kuleta wake zake eti wanitishie Mimi hajui Mimi nimezaliwa Arusha bangi tumevuta aibu tumeitupa kule .Umemuumiza sana dadangu mzuri Unique Flower
Unaogopa nini?
Nacheka kwa kujificha![]()
Sitaki Ban mimi....Unaogopa nini?
Nimeshakureport unanisumbua kamtu akmechunwa mahala pengine na kameshatoa kamshahara kake kote mie mnanitupia lawamaHivi wewe ni wa kunifanyia hivi kweli jmn?




sasa hivi wacha niendelee kupitia huu mkeka mpaka kesho jioni hamna aliyekataja nakatokea