Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mchovu wa kusugua ama?Nitatoka na Mtu atakaye kibali kutoka na mie ila asiwe mchovu
Mchovu wa kusugua ama?Nitatoka na Mtu atakaye kibali kutoka na mie ila asiwe mchovu
😁😁😁😁😁
Hahaha, kumbe nachezea bahati zangu hapa?
Mi nakuangalia tuHahaha, kumbe nachezea bahati zangu hapa?
unavyojishauaHahaha...fatilia comments zote ujioneewitty acha masihara basi!!
Sio kweli, huyo Unique ndio kasema na unamjua vizuriHahaha...fatilia comments zote ujionee


Jamani hutaki posho ya meza 😄😄Kheeee mim sitamani kabisa kabisa kabisa.
😂😀Hauna mbambamba
Kwakweli nashukuru Kwa ilo maana nilikuwa nasubiri wasiotakiwa niwaalike waje niwapikie ugali na dagaa X mas wapunguze majonzi 😂😂😂😂
Mambo hayo🥰 niandalie gauni la sikukuu Sasa na skonkonko 😂😂
Komenti bora kabisa kwenye huu uzi. Naanza kufolo inilavu!Msisahau makadirio yenu ya kujifungua yatakuwa September 2023 😂😂😂nipo nimekaa pale
Kumbe kwenye kuchagua mchumba hadi unapiga kingereza!I will prefer Glenn 😍
Mkuu tulia tulia tafadhali😂Kumbe kwenye kuchagua mchumba hadi unapiga kingereza!
Daaah, mtoto ametema yai kabisa ili kukuchagua mkuu. Nielekeze mganga wako na mimi niende. Maana sijapata request hata kwa kiswahili.Mkuu tulia tulia tafadhali😂
Hahaha...Kuna wengine kama wawili angalia vizuriSio kweli, huyo Unique ndio kasema na unamjua vizuri![]()
Aisee haya nasubiri hiyo siku ya kutoka, usinizingue mkuuMimi nitatoka na financial services my beautiful baby