Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

Kwahiyo Anne wewe wa kumdalalia mume wangu kweli!!!!?
Mume wako ni ERoni ?
Wahalali??
Halafu humu jf nani anajua nani??
Kingine mbona umepanic hivyoo???
Ukiwa hivyo humu utasurrender nakuzimia Kuna watu hawana hiyana na hawajui yupi ni yupi wanasema tu wanachojisikia .
So cool down kama tu.

Nimeungilia course umenishangaza umekuja na jazba unaniambia najiamini .
For whom ??
Since 2019 na mchumba tayari so humu nikujifurahisha nawatu wanajua so kumpiga mkwara mtu
usiyemfahamu ni kosa lajinai.
Tu assume kuwa nimemzoea huyo wako je nani kamzoesha mwenzake Huwa ni wanaume wa humu mtu hujanamakeke yake naanashawishi uanze utani naye unaanza .

Let me make this clear siwezi kuwaga na wanaume za watu . Either awe Hana huyo mke wamesaparate so Hilo kwangu naweza .

Mimi nimtani tu ila ukinitibua weweee ni dawa chungu kuliko mrobaini .

Unadhani nitaolewa naye lah aisee sio nyota yangu ujue tu.

Asilimia kubwa hujui kila lengo na matamanio ya mtu mie napenda vitu vipya wanaume za watu ni vitu used kitu ambayo ni chefu kwangu hata kama kaoa 3 months licha ya nyie mko kama 20 years mmeshasonga pole ni Bora uolewe na muhindi kama waafrika wote wameisha ambayo sio vitu used.
 
Mume wako ni ERoni ?
Wahalali??
Halafu humu jf nani anajua nani??
Kingine mbona umepanic hivyoo???
Ukiwa hivyo humu utasurrender nakuzimia Kuna watu hawana hiyana na hawajui yupi ni yupi wanasema tu wanachojisikia .
So cool down kama tu.

Nimeungilia course umenishangaza umekuja na jazba unaniambia najiamini .
For whom ??
Since 2019 na mchumba tayari so humu nikujifurahisha nawatu wanajua so kumpiga mkwara mtu
usiyemfahamu ni kosa lajinai.
Tu assume kuwa nimemzoea huyo wako je nani kamzoesha mwenzake Huwa ni wanaume wa humu mtu hujanamakeke yake naanashawishi uanze utani naye unaanza .

Let me make this clear siwezi kuwaga na wanaume za watu . Either awe Hana huyo mke wamesaparate so Hilo kwangu naweza .

Mimi nimtani tu ila ukinitibua weweee ni dawa chungu kuliko mrobaini .

Unadhani nitaolewa naye lah aisee sio nyota yangu ujue tu.

Asilimia kubwa hujui kila lengo na matamanio ya mtu mie napenda vitu vipya wanaume za watu ni vitu used kitu ambayo ni chefu kwangu hata kama kaoa 3 months licha ya nyie mko kama 20 years mmeshasonga pole ni Bora uolewe na muhindi kama waafrika wote wameisha ambayo sio vitu used.
Wacha bwana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Asee kuna mdada humu nilimuotea kwenye uzi wa selfika akanikosha nafsi reymage chombo sana. Wengine siwajui kabisa.
 
Back
Top Bottom