Hiyo ndinga ni full machenical hamna hydraulic humo unatumia kifua chako mwanzo mwisho, gari ngumu kama unaendesha nyumba2011 dereva wa chuo cha mati-ilonga aliwapeleka wanachuo msamvu akiwa na gari kama hilo,lilivyofika stand wapga debe na abiria wakaanza kumpigia makofi kwa kumpongeza kuendesha ndinga kama hyo
Too late, tutaenda tu kuhani
Dogo anaogopa t shirt yake kubwa kuliko kanzu
Kumbe ndo maana dogo analiaDogo anaogopa t shirt yake kubwa kuliko kanzu
Kwa hiyo profile yako nadhani wewe ni mpenzi mkubwa wa doctor who .
Picha ya kwanza:
Hakika mkuu, haya matukio huwa ni ya kusikitisha sana.Picha ya kwanza:
Patrice Lumumba Waziri Mkuu wa Congo, alikuja pinduliwa na kuuwawa januari 17, 1961 na Majeshi ya Mabeberu Ubelgiji wakishirikiana na Kiongozi wake wa Jeshi General Mobutu Sesseseko Nkuku wa Zabanga.
Picha ya Pili
Rais Kapteni Thomas Isdore Sankara akiwa na rafiki yake wa muda mrefu Kapteni Blaise Compaoure.
Rais Sankara baadae alikuja pinduliwa Oktoba 25,1987 na rafiki yake huyo na kisha kuuwawa na Kurithi kiti cha Urais wa Burkina Faso(Upper Volta).
Kwa hakika Kikulacho Kinguoni Mwako
Bukoba hii, njia ya kutoka kashura kwenda kasarani.
Wakuitwa BAYABO. Anaeshikilia ubingwa wa sura mbaya Tanzania nzima since 90s
A/K/A BAYABOMasood sura mbaya