Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Habarini za mda huu?

Niko hapa ili tupeane maalifa mbali mbali ambayo yanaweza kutusaidia kujenga na kubomoa pia kama inawezekana.

Twende kwenye msingi wa mada kwa wataalam naomba kufahamu utamjuaje mwanamke au mshichana alietoa mimba hasa kwa Sisi vijana wabichi tunaotafuta wanawake wakuoa?

Naomba kufahamu wajuvi tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako ni tata kidogo, ila kama unataka kumjua aliyekwisha toa mimba, ni vizuri kwanza ukamjua ambaya hajatoa mimba.

Vigezo utakavyo tumia kumjua ambaye hajatoa, basi vitumie pia kumjua aliyetoa mimba.
 
Wote wameshindwa kukupa jibu ila am telling you zipo njia my dear brother nazo ni hizi hapa÷

°kama hujakuta bikra believe me kashawahi toa tena sio moja

°Ukiona mwanamke hapendi kula sana ugali trust me one of them

°Ukiona anapendwa sana na mama yake haa hujue hayo majanga mzee abortion happen

Progress not perfection
Duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtoto flani ninayepunguzia ugwadu kwake. Huyo mtoto ni mzuri jamani ila sasa juzi nimekaa nae kumbe kashapigwa mimba na mbabu flani ila hataki kuzaa nae so akaamua ku abort.

Siku ameniita ni siku amebugia midawa ya kufyatua mzigo i was so suprised aisee, nilichoweza kumsaidia ni kumuongezea Sanitary Pads tu.

Katika Story story ananiambia ila ametoa mimba kwa staili karibia zote na hii rekodi ya sasa itakuwa mimba ya 7 kutoa. Alianzia Zenji alipokua anafanya kazi ya hoteli. Aisee nilibaki mdomo wazi na kuona kumbe kuna watu wana roho ngumu aisee. Mimba 7?
We jiulize kwanini shetan alichagua kuongea na mwanamke?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujua ni kazi sana, labda utumie njia za kijasusi, kuna mmoja namjua kaishatoa kama 5 lakini kamwe huwezi jua. Hata kwa njia za kijasusi kupata idadi kamili ni kazi sana. Kaa karibu na Pharmacies wanazouza dawa inaitwa Misoprostal (sina uhakika na spelling zake) utastaajabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ya vidonda vya tumbo pia mbona!
 
Mwanamke au msichana aliyetoa mimba lazima kuna vitu hivi utaviona
Kukonda
Stress
Kunuka sehemu za siri
 
Kuna mtoto flani ninayepunguzia ugwadu kwake. Huyo mtoto ni mzuri jamani ila sasa juzi nimekaa nae kumbe kashapigwa mimba na mbabu flani ila hataki kuzaa nae so akaamua ku abort.

Siku ameniita ni siku amebugia midawa ya kufyatua mzigo i was so suprised aisee, nilichoweza kumsaidia ni kumuongezea Sanitary Pads tu.

Katika Story story ananiambia ila ametoa mimba kwa staili karibia zote na hii rekodi ya sasa itakuwa mimba ya 7 kutoa. Alianzia Zenji alipokua anafanya kazi ya hoteli. Aisee nilibaki mdomo wazi na kuona kumbe kuna watu wana roho ngumu aisee. Mimba 7?
Shetani huyo! Full stop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtoto flani ninayepunguzia ugwadu kwake. Huyo mtoto ni mzuri jamani ila sasa juzi nimekaa nae kumbe kashapigwa mimba na mbabu flani ila hataki kuzaa nae so akaamua ku abort.

Siku ameniita ni siku amebugia midawa ya kufyatua mzigo i was so suprised aisee, nilichoweza kumsaidia ni kumuongezea Sanitary Pads tu.

Katika Story story ananiambia ila ametoa mimba kwa staili karibia zote na hii rekodi ya sasa itakuwa mimba ya 7 kutoa. Alianzia Zenji alipokua anafanya kazi ya hoteli. Aisee nilibaki mdomo wazi na kuona kumbe kuna watu wana roho ngumu aisee. Mimba 7?

duuuh uyo kakubuhu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom