Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Kuna ugumu Fulani,ila kwa mwanamke aliyetoa mimba Mara kadhaa cervix inakuwa loose kwa sababu imeshafunguka,lakini kwa mimba zilitokea karbia na kujifungua kuna vialama na stretch mark zinakuwepo sehemu za kiunoni ivi,in general its difficult

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo mkeo / gash wako atapata tabu sana maana unamchukulia kozi za kijasus huku.
Nimeona uzi wako unaouliza namna ya kujua Tigo/0713 ya mwanamke iliyochakatwa..Saa hiz tena naona unataka kujua namna gan ya kumjua aliye abort.!!
Mkuu ww piga chin tu kama unaona humuwezi au humuelewi elewi..mana wahenga walishasema ukimchunguza sama samaki hutamla

 
Mkuu huyo mkeo / gash wako atapata tabu sana maana unamchukulia kozi za kijasus huku.
Nimeona uzi wako unaouliza namna ya kujua Tigo/0713 ya mwanamke iliyochakatwa..Saa hiz tena naona unataka kujua namna gan ya kumjua aliye abort.!!
Mkuu ww piga chin tu kama unaona humuwezi au humuelewi elewi..mana wahenga walishasema ukimchunguza sama samaki hutamla
nisaidie mkuu kumjua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kama unataka kujua kuwa ameshawahi kushika mimba kwenye maisha yake unaweza mtambua...

Angalia Ile sehemu ya titi yenye weusi unauzunguka chuchu ile sehemu kwa mtu aliyeshika mimba huwa nyeusi zaidi kuliko ambaye hajawahi,na kovu halifutiki ng'oo.

Sent using Jamii Forums mobile app

aah ati ninimbona mi zangu nyeusi tiima sjawah kutoa.....aah weeee umenivuruga
 
habarini za mda huu?

niko hapa ili tupeane maalifa mbali mbali ambayo yanaweza kutusaidia kujenga na kubomoa pia kama inawezekana.

twende kwenye msingi wa mada kwa wataalam naomba kufahamu utamjuaje mwanamke au mshichana alietoa mimba hasa kwa Sisi vijana wabichi tunaotafuta wanawake wakuoa?

naomba kufahamu wajuvi tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kumsafisha kizazi kwani?
Ukishamjua umpe antibiotic au?
Acha ukuda kwa hao mama Wa marehemu kijana.
Kuna mlevi mmoja amesikika akisema eti kutoa mimba kunamfanya mtoaji awe mama Wa marehemu..
 
Hutaweza kumjua kwa kuangalia kwa macho. Pili, kutokuwa na ubikira tu ni tiyari kuwa weye sio wa kwanza. Sasa kama unataka kuoa ili upate uzao inamaana kuwa aliyekuwahi alipata kiumbe hapo ambacho kilizimwa mapema kabla hakijaona dunia.
Unataka wife ambaye atakuzalia mtoto?? Pima oil kwanza, akiisha kujaa, weka ndani. Usiulize hii yako ni ya ngapi humo kwani unachotaka ni mtoto sio wa ngapi humo. Mimba yako ni ya ngapi anayejua hilo ni mwenye ujauzito. We shukuru kuwa kakuruhusu wako azaliwe hai. Ongeza mapenzi tu angalao akupe tena chance
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom