kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
- Thread starter
- #121
Kias
Karibu
Mm mbona Mimi nna chuchu black sana ila sijawai toa kijusi na matari wangu chini ya kitovu uko mweusi tii but sina mimba..so inategemea
Uongo...Labda kama unataka kujua kuwa ameshawahi kushika mimba kwenye maisha yake unaweza mtambua...
Angalia Ile sehemu ya titi yenye weusi unauzunguka chuchu ile sehemu kwa mtu aliyeshika mimba huwa nyeusi zaidi kuliko ambaye hajawahi,na kovu halifutiki ng'oo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wameshindwa kukupa jibu ila am telling you zipo njia my dear brother nazo ni hizi hapa÷
°kama hujakuta bikra believe me kashawahi toa tena sio moja
°Ukiona mwanamke hapendi kula sana ugali trust me one of them
°Ukiona anapendwa sana na mama yake haa hujue hayo majanga mzee abortion happen
Progress not perfection






Chizi wewe Tobaaa toba toba, atakufa jamani si umwambie tu atumie njia za uzazi wa mpango sasa, mimba saba si mchezo jamani,,,....... Hizo miso zinapasua kizazi atakufa ohooooKuna mtoto flani ninayepunguzia ugwadu kwake. Huyo mtoto ni mzuri jamani ila sasa juzi nimekaa nae kumbe kashapigwa mimba na mbabu flani ila hataki kuzaa nae so akaamua ku abort.
Siku ameniita ni siku amebugia midawa ya kufyatua mzigo i was so suprised aisee, nilichoweza kumsaidia ni kumuongezea Sanitary Pads tu.
Katika Story story ananiambia ila ametoa mimba kwa staili karibia zote na hii rekodi ya sasa itakuwa mimba ya 7 kutoa. Alianzia Zenji alipokua anafanya kazi ya hoteli. Aisee nilibaki mdomo wazi na kuona kumbe kuna watu wana roho ngumu aisee. Mimba 7?
Dawa ya vidonda vya tumbo pia mbona!
Anzisha mada ya kutoa mimba. Mwangalie vizuri usoni uone response yake..Habarini za mda huu?
Niko hapa ili tupeane maalifa mbali mbali ambayo yanaweza kutusaidia kujenga na kubomoa pia kama inawezekana.
Twende kwenye msingi wa mada kwa wataalam naomba kufahamu utamjuaje mwanamke au mshichana alietoa mimba hasa kwa Sisi vijana wabichi tunaotafuta wanawake wakuoa?
Naomba kufahamu wajuvi tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tobaaa toba toba, atakufa jamani si umwambie tu atumie njia za uzazi wa mpango sasa, mimba saba si mchezo jamani,,,....... Hizo miso zinapasua kizazi atakufa ohoooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Form 4 failure wa kitambo atajuaje hayo. Siku akishaolewa kisha mimba zikaanza kutereza kwa sababu ya weak uterine walls ataelewa tu. Ni swala la muda tu!