Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Kujua ni kazi sana, labda utumie njia za kijasusi, kuna mmoja namjua kaishatoa kama 5 lakini kamwe huwezi jua. Hata kwa njia za kijasusi kupata idadi kamili ni kazi sana. Kaa karibu na Pharmacies wanazouza dawa inaitwa Misoprostal (sina uhakika na spelling zake) utastaajabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kama unataka kujua kuwa ameshawahi kushika mimba kwenye maisha yake unaweza mtambua...

Angalia Ile sehemu ya titi yenye weusi unauzunguka chuchu ile sehemu kwa mtu aliyeshika mimba huwa nyeusi zaidi kuliko ambaye hajawahi,na kovu halifutiki ng'oo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm mbona Mimi nna chuchu black sana ila sijawai toa kijusi na matari wangu chini ya kitovu uko mweusi tii but sina mimba..so inategemea
 
Mm mbona Mimi nna chuchu black sana ila sijawai toa kijusi na matari wangu chini ya kitovu uko mweusi tii but sina mimba..so inategemea
Bila Picha ya hayo Maeneo Mkuu..Hili bandiko ni INVALID!!!

Typed Using KIDOLE
 
Hahahaa if she's not a virgin don't trust her on anything she tells you about her previous sexual encounters she had.

Asilimia kubwa ya wanawake walioanza kufanya mapenzi kuanzia miaka 16 baada kumaliza kidato cha nne, wengi wao mpaka wanapofika umri wa utu uzima yaani uzee unapoanza miaka 25 wananakuwa wametoa toa sana mimba angalau moja kwa wastani. Hasa hasa wale wasomi wasomi ndio watoaji wakubwa compared to their counterparts who they are or were not on schooling systems.
Hahahah uzee unaoanzia 25 years . Waafrika mnashida aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi uende na mas-haf au bible mpe akamate halafu muapishe akiri kuwa hajawahi.
 
Kuna mshkaji flani ni doctor hapa kitaa ameshajenga nyumba kwa pesa za kutoa mimba, yaani daily lazima ale vichwa na sometime huwa anawagonga kwanza.
 
Tuttyfruity,
Anything past 25 years, majority of them they're not after thrill and excitement wao wanatafutaga mume.
😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom