Labda umeshaga wahi bila kujua ,aah ati ninimbona mi zangu nyeusi tiima sjawah kutoa.....aah weeee umenivuruga




haiwezekaniAkitoa huwa dalili za mimba zinakata ndani ya siku 2, dalili zinakataga mapema sAana.kumfamhamu ni ngumu, labda kama siku kadhaa baada ya kutoa hua akipima vipimo vinaonesha mimba ipo..... lakini baada ya muda kupita kutambua ni ngumu
Unaota Mkuu, inafutika vizuri tu.Labda kama unataka kujua kuwa ameshawahi kushika mimba kwenye maisha yake unaweza mtambua...
Angalia Ile sehemu ya titi yenye weusi unauzunguka chuchu ile sehemu kwa mtu aliyeshika mimba huwa nyeusi zaidi kuliko ambaye hajawahi,na kovu halifutiki ng'oo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akitoa huwa dalili za mimba zinakata ndani ya siku 2, dalili zinakataga mapema sAana.
Kumbuka hata mimba yenyewe huwa inatoka ndani ya masaa yasiyozid 5.
Vile vipimo vitaendelea kusoma positive si zaidi ya wiki moja na nusu. Vingine hata baada ya wiki vinasoma negative, nadhani inaweza ikawa anategemea na ukubwa wa mimba, homoni za mtu.
Achana na mistro, zina laana zile dawa.
Sent using Jamii Forums mobile app



daah et zina laanaHuenda zikawa 10, kumbuka kasema chache ili walau usimwone muovu.Kuna mtoto flani ninayepunguzia ugwadu kwake. Huyo mtoto ni mzuri jamani ila sasa juzi nimekaa nae kumbe kashapigwa mimba na mbabu flani ila hataki kuzaa nae so akaamua ku abort.
Siku ameniita ni siku amebugia midawa ya kufyatua mzigo i was so suprised aisee, nilichoweza kumsaidia ni kumuongezea Sanitary Pads tu.
Katika Story story ananiambia ila ametoa mimba kwa staili karibia zote na hii rekodi ya sasa itakuwa mimba ya 7 kutoa. Alianzia Zenji alipokua anafanya kazi ya hoteli. Aisee nilibaki mdomo wazi na kuona kumbe kuna watu wana roho ngumu aisee. Mimba 7?
Wewe nini? (joke)

.Mm mbona Mimi nna chuchu black sana ila sijawai toa kijusi na matari wangu chini ya kitovu uko mweusi tii but sina mimba..so inategemea
aah ati ninimbona mi zangu nyeusi tiima sjawah kutoa.....aah weeee umenivuruga
Wote wameshindwa kukupa jibu ila am telling you zipo njia my dear brother nazo ni hizi hapa÷
°kama hujakuta bikra believe me kashawahi toa tena sio moja
°Ukiona mwanamke hapendi kula sana ugali trust me one of them
°Ukiona anapendwa sana na mama yake haa hujue hayo majanga mzee abortion happen
Progress not perfection
Unewahi shika mimba? Kama hujawahi subiri ushike ndo utaelewa ninachozungumza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata uyo sijamtumia