Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Utamjuaje mwanamke aliyetoa ujauzito?

Inategemea mimba aliitoa ikiwa katika stage gani

kwa stage ya 1 to 3 month huwezi hata kujua asee

ila wale kuanziia 4 to 9 hao hawana tofauti na wanawake

waliozaa wenye watoto,tofauti yao ni moja tu kwao

huyu mmoja hana mtoto yule mwenzake ana watoto.

kwa hiyo

kama unaweza kujua mwanamke mwenye mtot yukoje

apply formula hyo hyo kwa aliyetoa mimba kuanzia mwezi wa 4-9
 
Mwanamke Kutoa Mimba haimaanishi hajawahi kuzaa ila ni Mama wa marehemu.kwa hiyo Kama utaoa binti asiye bikra basi ujue kuna uwezekano ukawa baba wa Marehemu...
 
Munusishe ugoro kwenye papuchi akipiga chafya na vitu vyeupe vizito kutoka kunako

Huyo tayari katoa mimba
 
Kuna mtoto flani ninayepunguzia ugwadu kwake. Huyo mtoto ni mzuri jamani ila sasa juzi nimekaa nae kumbe kashapigwa mimba na mbabu flani ila hataki kuzaa nae so akaamua ku abort.

Siku ameniita ni siku amebugia midawa ya kufyatua mzigo i was so suprised aisee, nilichoweza kumsaidia ni kumuongezea Sanitary Pads tu.

Katika Story story ananiambia ila ametoa mimba kwa staili karibia zote na hii rekodi ya sasa itakuwa mimba ya 7 kutoa. Alianzia Zenji alipokua anafanya kazi ya hoteli. Aisee nilibaki mdomo wazi na kuona kumbe kuna watu wana roho ngumu aisee. Mimba 7?
 
Kuna mmoja nilikuwa naongea nae story tu za kawaida.

Nikaingiza moto ya kumtisha sana kama aliwahi kutoa mimba. Alinywea sana akakosa raha kabisa na akaanza kuniambia tuziache hizo story maana huwezi jua kesho.

Nikajiongeza.

So hiyo ni njia nyingine: Anzia mbali kwenye mazungumzo umlete tarfatibu taratibu ataingia kingi tu na utaondoka na majibu tako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu 7 tu!! Wew waliowahi toa zako jumla zimefika ngapi?
Kuna mtoto flani ninayepunguzia ugwadu kwake. Huyo mtoto ni mzuri jamani ila sasa juzi nimekaa nae kumbe kashapigwa mimba na mbabu flani ila hataki kuzaa nae so akaamua ku abort.

Siku ameniita ni siku amebugia midawa ya kufyatua mzigo i was so suprised aisee, nilichoweza kumsaidia ni kumuongezea Sanitary Pads tu.

Katika Story story ananiambia ila ametoa mimba kwa staili karibia zote na hii rekodi ya sasa itakuwa mimba ya 7 kutoa. Alianzia Zenji alipokua anafanya kazi ya hoteli. Aisee nilibaki mdomo wazi na kuona kumbe kuna watu wana roho ngumu aisee. Mimba 7?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom