Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Utajiri wa watu wingi hutoka kwa shetani na hasahasa wafanyabiashara (kuanzia mamalishe mpaka kwa kina Rothchild na Aliko Dangote), wanasiasa, wanamichezo, wasanii, viongozi wa dini (karibu hao wooote unaowaona ni matajiri wa kutupa), wanasayansi kina Bill Gates hao, nk.

Na utajiri huo umelezwa wazi katika biblia.

Mathayo 4:8-9 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,
9 akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.


Lakini je, yafanii kuupata ulimwengu wote na kuukosa uzima wa milele? Tujihadhari sana na mambo ya dunia.
 
Una uthibitisho wa haya unayosema? Kama wewe siyo mshirikina utayajuaje haya?
Utajiri ni ile hali ya kumiliki mapesa mengi na kuwa na mali nyingi, utajiri ni mzuri kwa kuwa unakupa uwezo nguvu mamlaka sifa na umaarufu!kwa kifupi Utajiri ni kitu chema.

Watu wengi hutafuta utajiri kwa njia mbalimbali halali na haramu wao wanachotaka ni utajiri ili waweze kutimiza ndoto zao nyingi.

Sasa kuna wakati mtu hutafuta utajiri kwa njia za mkato hapa nazungumzia kwa njia za ushirikina na uchawi.

Utajiri huu ni mzuri na huja haraka lakini ukiwa na masharti mengi lakini kubwa likiwa ni kutoa kafara la damu kwa kuangamiza roho.

Unapoingia kwenye utajiri huu mwanzoni utafurahia na masharti utayaona mepesi lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda mambo hubadilika na tabu huanzia hapo.

Mwanzoni utaambiwa toa kafara la damu ya kuku baadae itakuja mbuzi, halafu itafuatia ng'ombe na mwishowe itakuja binadamu mmoja na hatimaye kwa makundi.

Hii yote ni kutaka kulinda utajiri wako usiporomoke na ukivunja masharti kila kitu kinaharibika .

Kuna pia masharti ya kujisaidia kulala kula kuvaa na hata matumizi ya vitu mbalimbali. Mwanzoni inakuwa ni rahisi tu kwenda sambamba nayo lakini mbeleni mambo hubadilika hasa pale watu wanapoanza kuhoji hiki au kile.

Wote tunajua jamii ya watu wenye ulemavu wa ngozi inavyoteketea kutokana na waganga wa kienyeji kuwaaminisha wateja wao kuwa viungo hivyo vikichanganywa na dawa nyingine huleta utajiri bahati nguvu na uwezo! Kuna zaidi ya waganga 300 kwenye mahabusu na Magereza mbalimbali wenye kesi zinazowahusisha na mauaji ya albino.

Jamani utajiri wa masharti ya namna hii haufai na mwishowe huwa na anguko kuu tunashuhudia visa vya kila aina kuhusiana na utajiri wa namna hii lakini kila uchao watu hawakomi kuendelea kuutafuta.

Hakika dunia inaumwa.
 
Mshana Jr yani huu uzi wako ni kweli kabisa. Kuna tajiri fulani anamiliki mababasi ya Urio Arusha wanadai eti kapewa masharti awe analala chooni tu tena choo cha shimo. iyo ruti ya ngarenanyuki yeye ndie alikuwa anamiliki peke yake ukijifanya uingie iyo ruti utakiona. kuna jamaa alipeleka gari lake huko asubuhi akapakia akizan abiria mbele ya safari kuangalia nyuma wote walikuwa nyani wakamuambia dereva tunakusamehe kwa leo. nasikia wadau wanadai jamaa alijisahau cku moja akalala chumbani na kitandan alikula mkongoto mkali na wa haja kutoka kwa majini na mabas yake kuharibika na kupata pancha biashara ikayumba. lisemwalo lipo!
 
Mshana Jr yani huu uzi wako ni kweli kabisa. Kuna tajiri fulani anamiliki mababasi ya Urio Arusha wanadai eti kapewa masharti awe analala chooni tu tena choo cha shimo. iyo ruti ya ngarenanyuki yeye ndie alikuwa anamiliki peke yake ukijifanya uingie iyo ruti utakiona. kuna jamaa alipeleka gari lake huko asubuhi akapakia akizan abiria mbele ya safari kuangalia nyuma wote walikuwa nyani wakamuambia dereva tunakusamehe kwa leo. nasikia wadau wanadai jamaa alijisahau cku moja akalala chumbani na kitandan alikula mkongoto mkali na wa haja kutoka kwa majini na mabas yake kuharibika na kupata pancha biashara ikayumba. lisemwalo lipo!

Bado kuna watu wanaulizia uthibitisho! Utafikiri wanaishi mwezini hizi habari zipo nyingi mno na zipo kila mahali kwenye jamii zetu
 
Utajiri una madaraja na kila daraja lina kafara lake mfano
Milioni 20-50 ni tofauti na milioni 100-200 na kila daraja huhitaji kitu kikubwa zaidi au damu nyingi zaidi

Uko vizuri hebu endelea kushuka zaidi ingia deep tupate picha halisi maana na sisi tusijetolewa kafara
 
Aaaah bwana wewe acha ibishi bwana, wakinga wengi walipata utajiri kwa njia za majoka.... unajua nini kuhusu mwakipande

Ww usimtaje uyo mzee bila sababu katuwezesha wengi tuache na mila zetu nyie endeleeni na dini zenu za magumashi
 
kisu kwenye mfupaumegonga mshana jr
kanda ya ziwa matajiri wengi ni shida,kuna ndugu wawili nawafahamu kabisa utajiri wao unamashaka kabisa ,kuna huyo mzee ni maarufu congo,rwanda na Burundi yote wanamtumia kwa mambo hayo.hii dhana ya utajiri wa kishirikina ipo sana watu wanajenga nyumba zao lazima wafukie vitu kibao eti kinga...watu wana mihirizi kibao kiunoni.

Mtaje uyo mzee na eneo analotoka nani anataka kuishi chini ya dola moko arifu


kisu kwenye mfupaumegonga mshana jr
kanda ya ziwa matajiri wengi ni shida,kuna ndugu wawili nawafahamu kabisa utajiri wao unamashaka kabisa ,kuna huyo mzee ni maarufu congo,rwanda na Burundi yote wanamtumia kwa mambo hayo.hii dhana ya utajiri wa kishirikina ipo sana watu wanajenga nyumba zao lazima wafukie vitu kibao eti kinga...watu wana mihirizi kibao kiunoni.
 
Mtaje uyo mzee na eneo analotoka nani anataka kuishi chini ya dola moko arifu

Tatzo unafikiri masharti unapanga ww. Nenda ukapewe masharti magumu, sijui utalia na nani.

Masharti mengine sio kabsa Joh mbaya hakuna kurudi nyuma. Utajuta. Pigana ki halali tu.

We ngoja ukaambiwe mara moja kila mwezi lazma utinduliwe 0713. Unless unataka/unapenda ushenz huo.
 
Thank you. Sijawahi ona wachagga tukifanya mila kwa nia mbaya kama ni hvyo watu wangepiga kelele sanaa.

Kuna watu nawajua wamekua wakiugua kwa muda mrefu sanaa, hangaika kote, maombi kwa sana na hospitali, toa hela kibao, wapii hamna nafuu. Wamerudi Moshi wamefanyiwa mila wamepona wanadunda mpaka kesho.

Ivi vitu watu wana dharau ila vipo. Usione mwanao anafanya vitu vya ajabu ajabu ukasema zezeta au ana kasoro flan. See beyond what u see or understand under normal circumstances.

Nikweli kabisa senior boss wachaga mila ndio kila kitu na asiefata hupata shida sana
 
kama hawaendeshi magari,hawali nyama,hawavai vizuri,hawendi vacation,hawa enjoy .hiyo pesa haina maana.mi nawaona ni masikini.siyo matajiri. Tajiri unaogopa kula nyama? Ha ha ha h..

wewe unaona kula nyama ndio utajiri. sikuhizi unaambiwa nyama ni sumu unashauriwa uepuke nyama
 
Nikweli kabisa senior boss wachaga mila ndio kila kitu na asiefata hupata shida sana

Kuna tofauti kubwa kati ya mila na uchawi. Mila za kichagga si uchawi bali ni ibada flan za Miungu ya asili.

Zina madhara kama ukoo wenu una practice alaf we uache. Kama unaacha shikilia imani yako thabiti kama uko nje ndani kwa uroho wa mbege na nyama utapata shida sanaa. Wengi hawajui asili ya nyumba zao ndio maana wanateseka na kila wanachofanya hakifanikiwi.

Mchagga anayejielewa hawezi acha kufanya mila. Not exactly kila mwisho wa mwaka but in any major event of ur life (pia si lazma kuangusha ng'ombe au mbuzi. Unaweza tumia mbege au maziwa kufanyia ibada/sala hyo na majani flan yaitwayo " Masale" au " Isale ". Inategemea)

Kuna Mti wake special (Isale) wa ukoo/familia unaoteshwa kwenye eneo maalum ya nyumba yenu ni hapo ndio mnapo fanyia sala/ibada fupi kabla ya kuchinja au kumwagia mbege/maziwa kiasi flan kwenye Ardhi nyingine mna inywa.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mila na uchawi. Mila za kichagga si uchawi bali ni ibada flan za Miungu ya asili.

Zina madhara kama ukoo wenu una practice alaf we uache. Kama unaacha shikilia imani yako thabiti kama uko nje ndani kwa uroho wa mbege na nyama utapata shida sanaa. Wengi hawajui asili ya nyumba zao ndio maana wanateseka na kila wanachofanya hakifanikiwi.

Mchagga anayejielewa hawezi acha kufanya mila. Not exactly kila mwisho wa mwaka but in any major event of ur life (pia si lazma kuangusha ng'ombe au mbuzi. Unaweza tumia mbege au maziwa kufanyia ibada/sala hyo na majani flan yaitwayo " Masale" au " Isale ". Inategemea)

Kuna Mti wake special (Isale) wa ukoo/familia unaoteshwa kwenye eneo maalum ya nyumba yenu ni hapo ndio mnapo fanyia sala/ibada fupi kabla ya kuchinja au kumwagia mbege/maziwa kiasi flan kwenye Ardhi nyingine mna inywa.

Binafsi nazipenda na kuziheshimu sana mila za wachaga
 
Binafsi nazipenda na kuziheshimu sana mila za wachaga

Watu wana tafsiri vibaya in reality its not bad at all kwasababu haidhuru au kuumiza mtu. Ukiona mtu kafa sabab ya mila ni sababu kuna vitu alitakiwa kufanya hakufanya (in extreme cases) ni nadra sana mtu kufa.

Utateseka kupatwa na matatzo sanaa au kuumwa bila nafuu ila kufa sidhani. Mtu mjanja anakua anajua tatzo ni nini na akisharekebisha nyumbani mambo yananyooka kazini, biashara, nyumbani na maendeleo ya watoto fresh tu.
 
Kuna mfanya biashara mmoja (mchagga) mkubwa tu hapa Dar nampata...yuko makini sanaa ana utajiri wa ajabu (hayuko top 10 among the richest in Tz, maybe top 20 or 25).

Hela zake ni za mapaka live, kama una akili zilizotulia ni rahisi kumjua. Ndugu zake wengi wanakuambia jamaa sio kabisa. Washazika sana ndugu zao wakimlaumu jamaa. Kila baada ya muda flan anaanguka mtu ki utata sanaa uki connect the dots, with facts and good analysis unajua kabsa jamaa anahusika.

I'm chagga i kno my people well...Hizi issue zipo sanaaa. Nashindwaga elewa ki undani kuna mechanism gan kati ya kutoa ndugu na kupata utajiri. Whats the secret code behind ?? Ukiangalii juu juu utaona tu jamaa anajituma kwa bidii nd stuff like that. Ki uhalisia unakuta anaogopeka balaa.

Shetani anapenda damu sana. Hata wewe leo mtoe kafara mwanao wa kwanza au dingi halafu muambie shetani maneno haya. Lucifer natoa sadaka hii ili niwe tajiri, n=sio urongo ndani ya miezi sita utakua nazo tu. kama unabisha au huna kazi tembelea Mererani, yaani wewe sululu moja tu ardhini unaibuka na bonge la jiwe. Ila tu unaemtoa kafara awe blood relative. Yaani ndugu wa damu.
 
Back
Top Bottom