Verily Verily
Senior Member
- Jan 4, 2007
- 192
- 148
Utajiri wa watu wingi hutoka kwa shetani na hasahasa wafanyabiashara (kuanzia mamalishe mpaka kwa kina Rothchild na Aliko Dangote), wanasiasa, wanamichezo, wasanii, viongozi wa dini (karibu hao wooote unaowaona ni matajiri wa kutupa), wanasayansi kina Bill Gates hao, nk.
Na utajiri huo umelezwa wazi katika biblia.
Mathayo 4:8-9 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,
9 akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.
Lakini je, yafanii kuupata ulimwengu wote na kuukosa uzima wa milele? Tujihadhari sana na mambo ya dunia.
Na utajiri huo umelezwa wazi katika biblia.
Mathayo 4:8-9 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,
9 akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.
Lakini je, yafanii kuupata ulimwengu wote na kuukosa uzima wa milele? Tujihadhari sana na mambo ya dunia.