Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Sijaelewa kwanini unaipenda mila ya kichaga ilhali ni sawa na uchawi tuu?
jambilo ni ngumu kuelewa sometimes kuwa kwanini mtu anapenda kitu fulani hii ni kwasababu mtu huyo ni 'single entity' inayojitegemea kwa kila kitu
 
Last edited by a moderator:
Shetani anapenda damu sana. Hata wewe leo mtoe kafara mwanao wa kwanza au dingi halafu muambie shetani maneno haya. Lucifer natoa sadaka hii ili niwe tajiri, n=sio urongo ndani ya miezi sita utakua nazo tu. kama unabisha au huna kazi tembelea Mererani, yaani wewe sululu moja tu ardhini unaibuka na bonge la jiwe. Ila tu unaemtoa kafara awe blood relative. Yaani ndugu wa damu.

Kwahiyo unataka kuniambia wana sayansi na wana geographia walitumia uchawi kutambua maeneo yenye madini na kuya plot kwenye map ??

Vp kuhusu vifaa maalum vya kupima maeneo ya madini na kina chake ?? Ni uchawi pia ??
 
wanao enda kwa waganga hasa kijana ambaye ni chini ya miaka 30 ujue maarifa yamekwisha,tena huu mtindo ambao waganga wanalaza mteja wake ni hatari sana...rizika na unacho kipata
 
mshana jr

Mimi nachojiulizaga hizo kafara huwa zina uhusiano gani na utajiri? yani ni process gani inafanya mtu apate hayo mahela baada ya kumuua ndugu/jamaa yake.

Abeli alipotoa sadaka kwa Mungu alikubaliwa lkn Kaini alipotoa yake alikataliwa. Sasa Kaini kamuua nduguye ili:
1) Atakapotoa sadaka next time akubaliwe maana yu peke yake.
2)Arithi mali za ndugu yake.
Mungu alichukia na kumlaani Kaini lakini kwa kuwa Shetani anafanya kinyume na Mungu, akawa upande wa Kaini. Hivyo ndivyo inavyofanyika hata sasa kwa utajiri wa kichawi.
 
Last edited by a moderator:
Kiyoya hii kitu ni kila mahali mpaka kwenye ndoa na mahusiano hata kwenye dini zetu huwezi amini watu wanaroga sana tu,ila niliamua kuanza na kipengele kimoja kwanza cha utajiri .nitakuja na kingine cha dini ambacho najua nitapata upinzani mkubwa sana

Ha ha mshana jiandae na huo UPINZANI MKUBWA!!!
 
Last edited by a moderator:
Bado kuna watu wanaulizia uthibitisho! Utafikiri wanaishi mwezini hizi habari zipo nyingi mno na zipo kila mahali kwenye jamii zetu

Bila kumsahau kilenga yule anaepeleka magari yake kule kwenu upareni. %90 matajiri wengi hawakosi mauza uza.
 
Shetani anapenda damu sana. Hata wewe leo mtoe kafara mwanao wa kwanza au dingi halafu muambie shetani maneno haya. Lucifer natoa sadaka hii ili niwe tajiri, n=sio urongo ndani ya miezi sita utakua nazo tu. kama unabisha au huna kazi tembelea Mererani, yaani wewe sululu moja tu ardhini unaibuka na bonge la jiwe. Ila tu unaemtoa kafara awe blood relative. Yaani ndugu wa damu.

Kwa Mungu na kwa shetani kote lazima uende na sadaka ili ufanikiwe. Ila kwa shetani ni maangamizo makuu.
 
Kama ni ulaji wa vijogoo na wapendwa mke , watoto na ndugu kampeni hii ipelekwe Ukingani Makete na Mbozi. Kama ni ni ulaji viungo binadamu linawahusu ukanda wa Ziwa, Subawanga na hususani watia NIA nafasi za Ubunge na Uraisi.
 
SISI wakinga hatutumii uchawi bali maarifa tu. Kwanza utakubaliana na mimi kwamba wakinga ni wachapa kazi, hili halina ubishi it is there for all to see.
Wakinga sio wahongaji, wakinga hawavai nguo za bei mbaya, hawanunui magari ya kutanulia, hawanywi pombe za matanuzi, hawali nyama, wakisafiri hawali njiani maana kuna ule mkate wao wa kikinga ambao husafiri nao, kanisani wanatoa kiasi kidogo tu. Kwanini wasilimbikize mali ? Hutegemei kuona tajiri mbondei kwasababu tabia zao ni kinyume kabisa na za wakinga. Kama kuna mtu alishawahi kuona tajiri wa kibondei aingie pm nimtumie vocha anipigie.

Huo ndio uchawi, kwa siku unatengeneza milioni kumi alafu unashindia sukuma wiki.
 
Kuna mmoja nikikua naambiwa ukiingia dukani kwake anakuona upo uchi nikabisha nikaenda na mazivu yangu nikanunua vitu wakati nataka kuondoka akanipatia nyongeza ya kiwembe nilibaki tu nashangaa.
Halafu akienda mdada yupo period anahudumiwa na Mke wake tu..usichezee mkinga na watu wanapanga foleni dukani kwake

Huko Mbeya ndio usiseme...wakinga walituchungulia sana.
 
Back
Top Bottom