Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

watu wanafikiri heshima ni kuwa tajiri tu ndo wanajiangiza katika utajiri wa kichawi huku wakiangamiza ndugu zao ili heshima ibaki. matokeo yake ni mabaya mwishowe. heri kukosa mali ila sio akili. tutafute ela kihalali Mungu anaonesha njia.
 
Senior Boss mila za kichaga usipofata ka ni ukoo lazma uangamie bila kupenda watu kuenda kinyume na miiko ya kikoo na familia bora hyo kuliko kutoa mikafara.

mbona ni balaa sana. wanadamu wana mambo sana.
 
Last edited by a moderator:
Ukisikia paa ujue kuna mtu limempata. nina hakika hii post ya Mshana imekushika pabaya

haiwezi kunishika pabaya kwani mimi sio tajiri ila nimetoa tu angalizo kwa vijana waache kukuta tamaa kwa mawazo ya ushirikina.
wafanye kazi na waache kutumia kuzidi wanachotafuta.
 
Aaaah bwana wewe acha ibishi bwana, wakinga wengi walipata utajiri kwa njia za majoka.... unajua nini kuhusu mwakipande

mwakipande alishakufa more than 10 years ago na wakinga wanazidi kuwa matajiri na kuteka miji mingi.
sasa sijui kama nguvu za mwakipande bado zipo.
vijana fanyeni kazi, punguzeni matumizi ya anasa pesa mtaipata na mtakuwa matajiri.
we mauzo yako kwa siku laki 1 aafu unaenda kula starehe 80000 sasa si umekula na mtaji?
 
Kuna mmoja nikikua naambiwa ukiingia dukani kwake anakuona upo uchi nikabisha nikaenda na mazivu yangu nikanunua vitu wakati nataka kuondoka akanipatia nyongeza ya kiwembe nilibaki tu nashangaa.
Halafu akienda mdada yupo period anahudumiwa na Mke wake tu..usichezee mkinga na watu wanapanga foleni dukani kwake

Haaaaaa haaaaaa u made my day!
 
Mkuu palipo na damu kuna agano!!
Hili somo pana.

Sasa basi hakuna chochote kinachokamilisha agano/mkataba isipokua damu.na kumbuka kwenye hayo maagano/mikataba huwa kuna mashart!....

Sasa basi kinachofanyika kwa waganga baada ya msaka huo utajiri kuwekeana mkataba/agano,mashart pamoja na yote huambiwa leta kuku,mbuzi,ng'ombe, mtu kulingana na level ya utajiri though kwa kuanza wengi wanaanzia hapa chini yaani kuchinja kuku,mbuzi nk

Sasa hapa mganga anachofanya ni kidogo tu kuyaita hayo majini/mapepo ya utajiri na kuyaambatanisha na mhusika,so hizo roho au majini yanatii na kumfanyia kila kitu huyu mhusika anachotaka kulingana na mashart husika aliyopewa huko!!

Sasa kadri utajiri unapokua,ujue na kafara zinatofautiana ndo hufikia mahali zinatakiwa damu za watu!!!ss hapa ndo kasheshe ilipo!
Na pia inategemea mashart yenu mliyopeana Kule mwanzo!

Baadhi ya mashart unaweza kuta kila mzaliwa 1 kwny hiyo family anatolewa kafara,au kufanywa zezeta au hakuna kuoa/kuolewa,hakuna kufanikiwa ht ufanyaje,au kifafa kwa mtt 1 yaani mengi mno!!!

Nb,ubaya wa mashart hayo huwa yanabeba ukoo/familia nzima na hapa ndo shida!

aisee kazi kweli kweli,,ila kwann wasiwe wanatumia za wanyama tuu,,inakuaje kuaje mpk wanafkia kutoa uhai kabisa? na km ni damu bas kwann hata wasingekua wanaenda kuiba ama kununua za kwenye mabenk ya damu mahospitalini?

nahisi nahitaji ufafanuzi zaidi katika mechanism ya kuua mtu na kupata utajiri asee!
cc mshana jr
 
Last edited by a moderator:
The sad part is this, when these people die, they all go to hell. Why can't you ask God to bless you?

Proverbs 10: 22 The blessing of the LORD, it maketh rich, and he addeth no sorrow with it.

I love you Jesus.


Stories about hell and heaven to many people seem non sense!
Wanasema hakuna kitu kama hicho, maisha ni hapa hapa duniani na ukifa ndiyo mwisho. Hivyo hufanya kila juhudi ya kufurahia maisha ya duniani kwa kujipatia utajiri kwa njia yoyote ile iwe haramu au halali.
Kuna matajiri wengine japokuwa ni washika dini wazuri katika madhehebu yao lakini hudhulumu wanyonge haki zao!
 
aisee kazi kweli kweli,,ila kwann wasiwe wanatumia za wanyama tuu,,inakuaje kuaje mpk wanafkia kutoa uhai kabisa? na km ni damu bas kwann hata wasingekua wanaenda kuiba ama kununua za kwenye mabenk ya damu mahospitalini?

nahisi nahitaji ufafanuzi zaidi katika mechanism ya kuua mtu na kupata utajiri asee!
cc mshana jr

Wanafikia kuua binadamu wanapofika level fulani ya utajiri
Ni lazima utoe damu inayokuhusu na itakayokuuma hili ni sharti kubwa sana na muhimu
Damu lazima iwe ya moto tena hai, ile ya kwenye bank ya damu sio ya moto tena sio hai kwa kuwa uhai umebaki na mtoaji damu
Damu ya mtu uliyemuua ndio muhuri na kitambulisho cha kuzimu vibebavyo utajiri wako
 
Last edited by a moderator:
Utajiri mzuri ni kuwa na furaha na familia yako, sio kuwaua. Pesa haileti furaha

Na furaha ya familia huwa na maana zaidi kama hakuna changamoto zinazohitaji pesa kuzitatua
 
Kiyoya hii kitu ni kila mahali mpaka kwenye ndoa na mahusiano hata kwenye dini zetu huwezi amini watu wanaroga sana tu,ila niliamua kuanza na kipengele kimoja kwanza cha utajiri .nitakuja na kingine cha dini ambacho najua nitapata upinzani mkubwa sana
vica of christ au?habari ya kubusu pete ya askofu na kupata baraka!!!Kuzika mabaki ya watakatifu kwenye miimbali!!moon and sun god-Mshana ukisikia watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa habari ndo hiyo!!
 
vica of christ au?habari ya kubusu pete ya askofu na kupata baraka!!!Kuzika mabaki ya watakatifu kwenye miimbali!!moon and sun god-Mshana ukisikia watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa habari ndo hiyo!!

Ni vema tusiingie kwenye kukashifu imani za wengine Kiyoya! Mambo kama hayo yanafanyika rasmi na mbele ya wote na yana maelezo na ufafanuzi wake! Uchawi hauna
 
Last edited by a moderator:
kuna watu waki dhulumiwa hata mia fasta wanapanda ndege home kuchinja ng'ombe!!
 
SISI wakinga hatutumii uchawi bali maarifa tu. Kwanza utakubaliana na mimi kwamba wakinga ni wachapa kazi, hili halina ubishi it is there for all to see.
Wakinga sio wahongaji, wakinga hawavai nguo za bei mbaya, hawanunui magari ya kutanulia, hawanywi pombe za matanuzi, hawali nyama, wakisafiri hawali njiani maana kuna ule mkate wao wa kikinga ambao husafiri nao, kanisani wanatoa kiasi kidogo tu. Kwanini wasilimbikize mali ? Hutegemei kuona tajiri mbondei kwasababu tabia zao ni kinyume kabisa na za wakinga. Kama kuna mtu alishawahi kuona tajiri wa kibondei aingie pm nimtumie vocha anipigie.

mkuu sio wote ila wengi wenu kwa ugagula na kuwafanya ndugu zenu mandondocha ni hatari.
 
Back
Top Bottom